Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,201
- 236
hey pretty how are u doing anything special
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shy mwambie pretty ainue uso juu kidogo, tuone macho tu!
...wengi humu mnajitia kinyaa, inachefua nk...hivi mnajua ma hausigeli wenu wanawawekea nini kwenye vyakula? au mnajiramba tu mkikuta mlenda kwenye mboga?
...hasa nyie mnaojidai kula mahanjumati ilhali mnawatenga ma-hausigeli wajipikie ugali tena wale huko huko jikoni?, mnataka cctv majumbani kwenu muone 'siri ya urembo?' ...
pia naamini kuwa damu iliyochemka haina madhara sababu inakuwa kama blood pudding!
Ndio maana hupati mademu wa maana....
haaa! u have made ma day.
hey pretty how are u doing anything special
Hiyo lazima tuwagaie at the end of the day kama unapenda ngono nzembe unakufa. Mungu apishie mbali kweli siwezi kama sipendwi sipendwi tu.
...wengi humu mnajitia kinyaa, inachefua nk...hivi mnajua ma hausigeli wenu wanawawekea nini kwenye vyakula? au mnajiramba tu mkikuta mlenda kwenye mboga?
...hasa nyie mnaojidai kula mahanjumati ilhali mnawatenga ma-hausigeli wajipikie ugali tena wale huko huko jikoni?, mnataka cctv majumbani kwenu muone 'siri ya urembo?' ...
mumiani
Hey shy! Im doing great.hey pretty how are u doing anything special
Hey shy! Im doing great.
sijambo kaka!Hujambo mdada?
Kuna story moja nilisikia similar to this, kuwa mwanadada anaweka kipande cha nyama kwenye naniliiu kwa siku moja au mbili akiitoa uko anachanganya na vipande vingine mwanaume ukila hiyo ndio ngoma inakuwa imetoka aka Limbwata.
Ila mwanamke/mwanaume anayetumia dawa ili uwe naye huyo hakufai na hafaia kuwa kwenye jamii.(IMO)
Hayo mambo ya kuweka vipande vya nyama kwenye vagina ndio sababu ya mtu kupata ma-fungus na mi-bacteria infection.....yuuuuck...ogopa sana wanawake wenye mambo ya kishirikina