Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Hahahahaaha . Natambua Yesu alishuka kuzimu kuchukua funguo za mauti na kuzima.
Hii pia ni stories za kidini ukisema kwamba Yesu alishuka kuzimu kuchukua funguo au za mamlaka hakuna hichi kitu kwenye Bibilia yako tafuta utakuja kujua kuna vitu nimapokeo tu na Mungu atupe macho kiviona maan vinatengeza imani siyo na kuondo ile kweli ya Kristo.
 
Hapo ndo utaelewa Kuhusu na sovereignty yake naomba kusema Mungu ajili sana kuhuse hii itakuwa imeakaa namna ni ngumu kueleweka kile anachokuwa anakita Mungu kwenye maisha amekita tu haijalishii vip maan Sovereignty ni kubwa kuliko za kwetu au kiumbe chochote kwa Sababu amaamua kuonyesha utakufu wake na huwa anasababu zake kama Ayubu vile shetani kaenda kumshitaki kwa Mungu baada ya mahojiano Mungi atamba kuhus Ayubu akimwambia shetani Umemwona mtumishi wangu Ayubu huko Dunian , shetani kama Kawaid yake akasema aaah si kwa sababu umemzingq na mali na vitu , shetani akaomba ruhusu ya kumgusa maan Mungj aliuwa ameweka ulinzi kwa Ayubu.

Mungu akaruhusu na kumwambia usiguse tu roho yake , embu jaribu kuangali kwanza Maongezi Mungu na shetani hahaha na shetani anavyotushitakiaa huku juu yani Ni Mshitaki lakin Mungu kwa kujivunia Ayubu akaruhusu ila Ayubu akawez kushida majaribu yake na Mungu alijia atapata utukufu kutoka kwa Mtumishi wake hata passport na vile vilivyokuwepo mwanzoni hii imenipa someone mtazamo tufauti, lakini katika zamani hizi imeandikwa kweny ufunuo kwamba tazama mshitaki wenu ibilisi ametupwa chini yule joke wa zamani aliyekuwa akiwasitaki ndugu zetu.

Ina maana shetani alikuwa na ofisi mbinguni mbele za Mungu kuwashitakia watakatifu lakin imekushakuandi imeondolewa huko na kutupwa dunian lakini maandko haya yanasema kuanguja kwake na kwa hasira na yuk duniani anatafuta watakatifu kuwameza kam simba kwa hiyo ni angalizo pia shetani atatumia ujinga wetu kutushitaki kwenye nafsi zetu kwa kutoko na jiona hatufai mbele za Mungh na hichi ndicho kila wakati anakitafuta kwa mamini au matakatifu utoke ujione human mbele za hapo atakuwa amekupata kirahisi kwa kutumia kutukujua kwako kwamb Mungu amekusamehe na anakupenda.

JHata tunaposea kwa sababu ukiwa unahujumiwa ni mbaya zaidi kuliko kosa ulilolifanya kwa ukijihmu na kushitaki utako nje Ya Mungu na utakosa Msaada na Mugu hapo hawezi kukusaidi kabisa kwenye changamoto yako kwahy Shatani anachezahiyo game sana na warming ndo maan kwa kutokujua na tunakuwa tunakosa ujasiri mbele za Mungu hataka tunakisea Lazima tuwekenda kwa Mungu tukiwa tunajua hapo ndipo msaada ulipo bila nafsi zetu kutuhukumu na hii ndio inajenga mahusiano yetu Mugu katika Kristo na kupata fursa ya Kubadikika ba kukua ndani Mungu.

Kikubwa shetani ni mshitakii anatumia ujinga wako ili ujione human na usi ruhusu Dhamiri iki kushitaki juu kosa lako kwa kujitenga mbali na Mungu bali kuonyesha sehemu falani kuna tatizo kwahyi shukuru kwa umeliona na kuhusishq Mungu akakubadilishe na mwelezee Baba yako na utapata msaada na wala siyo kujitenga na Mungu hiyo kitu Mungu hapendii kabisa kabsia.

Asanteni

Code hatari saana ila ipo wazi saana,
Ndugu yangu nilipoanza kupata hofu kwenye maisha yangu nilipopata ufahamu kwenye kisa cha Ayubu....

Kili nifanye nijawe na hofu kila nikikisoma kile kisa wakati mwingine hadi machozi, unajua kwann??

Nilijiuliza mtu ka Ayubu aliyemkamilifu aliweza kupitia MATESO MATESO MATESO NA MAGUMU MAGUMU MAGUMU NA MAUMIVU KIASI KILE kisa tuu ni kwa ajili ya mahojiano ya Mungu na shetani, tena Mungu ndo anamshtu shetani maana shetani hakua hata na habari na Ayubu...

Mungu akaruhusu yote hayo!!!!!!! Mi nabaki speechless namuomba aniongoze mwenyewe nguvu zishaniishia sijiwezi kabisaaaa.... na napitia magumu saana kwaajili ya hili.
 
Kwa hilo andiko lako umepotosha japo sijasoma lote nimeishia pale uliposema eti shetani alikuwa kama "waziri mkuu kwenye serikali ya Mbinguni"

Mnamuongezea sifa za kijinga na kumpamba bila sababu. Hakuna sehemu kwenye Biblia inasema kuwa shetani alikuwa nani au "kiongozi wa malaika kama wengi wanavyoamini na kufundisha" hata kama sijasoma andiko lako lote naamini kwa sentensi hiyo hapo juu unamaanisha hivyo. Yeye alikuwa kerubi kama makerubi wengine mkuu na kusema ana mamlaka ndio maana alikaa na kupiga story na Yesu kule jangwani kwa simu 40 pia ni uongo. Biblia inaeleza Yesu alifunga siku 40 jangwani na aliposikia njaa yaani siku ya mwisho ndipo Ibilisi alikuja kumjaribu pitia chakula na sio kama alikuwa anapiga naye story hizo siku 40.

Infact, nje ya mada yako. Je unamjua mzee Sweya Makungu Mstaafu mmoja hivi kule Iringa?
We jamaaa kama kitu hujui usipinge. Huyo mwamba mleta mada hapo juu kaongea vitu vya msingi sana. sasa wewe unakuja na uelewa wako wa kuku mwenye kideri, unaanza kupinga.
 
Kwa hilo andiko lako umepotosha japo sijasoma lote nimeishia pale uliposema eti shetani alikuwa kama "waziri mkuu kwenye serikali ya Mbinguni"

Mnamuongezea sifa za kijinga na kumpamba bila sababu. Hakuna sehemu kwenye Biblia inasema kuwa shetani alikuwa nani au "kiongozi wa malaika kama wengi wanavyoamini na kufundisha" hata kama sijasoma andiko lako lote naamini kwa sentensi hiyo hapo juu unamaanisha hivyo. Yeye alikuwa kerubi kama makerubi wengine mkuu na kusema ana mamlaka ndio maana alikaa na kupiga story na Yesu kule jangwani kwa simu 40 pia ni uongo. Biblia inaeleza Yesu alifunga siku 40 jangwani na aliposikia njaa yaani siku ya mwisho ndipo Ibilisi alikuja kumjaribu pitia chakula na sio kama alikuwa anapiga naye story hizo siku 40.

Infact, nje ya mada yako. Je unamjua mzee Sweya Makungu Mstaafu mmoja hivi kule Iringa?

Luka 22:3 SUV​

Shetani akamwingia Yuda, aitwaye Iskariote, naye ni mmoja wa wale Thenashara.

1 Pet 5:8 SUV​

Mwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka-zunguka, akitafuta mtu ammeze.
 
Back
Top Bottom