Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Pengine Unamsikia tu Shetani Juu juu. Humfahamu Vizuri na Unasema ni Adui Yako

Wengine hawataelewa ulicho kiandika.

Wao wanaamini Shetani ni Jinni au Mtu anayetenda mambo Mabaya.

Wanaamini kuwa hakuna kiumbe kwa asili yake kinaitwa Shetani.

Wanamaanisha Shetani ni matendo maovu ya mtu au Jinni.

Watakuja kutoa ufafanuzi.
Duuuuuuu
 
Mkuu samahani, na utani sahihisha kma nitakuwa nmekosea.

Kama malaika ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini malaika watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Kama mwanadamu ana roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini wanadamu wote watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Kama shetani ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini mashetani/ shetani watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]

Sasa pia uliandika MUNGU, nae ni roho (nafsi)[emoji777]

Hapo ipo vipi ?? wakati huo kwenye Quran and bibble imeandikwa kila nafsi itaonja umauti. Vipi kuhusu hili?? Kiufupi naomba ungemuelzea vizuri MUNGU kwa utukufu wake na ukubwa wake kwa unyenyekevu wa hali ya juu plz.

Ukiniambia MUNGU ni ROHO, kama inani changanya hivi. Kwa maana imeandikwa kila nafsi/roho itaonja umauti.

Kama nakosea naomba nikoselewe ili nielimike[emoji3578]
Kiumbe kilichopewa laana pale Edeni ya kuwa "hakika utakufa " , ni mwanadamu siyo malaika Wala Shetani..
 
Mkuu andiko lako ni ziri mno mno na nimependa maana umeandika mengi yaliyo na uhalisia
Mungu na akasema tumuumbe mtu kwa mfano wetu. Hii n kumaanisha sisi tunauwezo wa Kiingu,yan tunaumba kwa kinywa. Na shetani analifahamu hilo ila anatuchanganya na kutufanya tujiumbie mabaya . Mfano tunaitana mbwa.paka na majina mengne mabaya ambayo yanaenda kutukaa.

Shetani anatushika na kutuzui tusimtolee Mungu sadaka iliyo safi na nzuri ndo maana leo hii mtumishi wa Mungu akisiamma na kutoa somo kuhusu kutoa sadaka vita vinainuka.

Tunaomba pasipo kuambatanisha maombi yetu na sadaka,hatushukuru baada ya kujibiwa sasa hizi ndizo mbinu shetani anatumi ili kutudidimiza, na shetani atatafuta mawakala wake na kuwajengea hali ya kuelezea sadaka namna inawafaidisha watu wa Mungu na watu wataamin. Hii inajenga gap kati ya wanadamu na Mungu. Sadaka shetan mwenyewe anaiogopa kutokana na nguvu yake kwahyo sadaka anaipinga kuliko kawaida

Kitu nilochojifunza kihusu sadaka. Kwa shetani watu wanafanikiwa sana maana sadaka zao ni kubwa sana mfano mtu anamtoa kafara mzazi wake ili awe tajiri. Mtu anaua gar nzima ili awe tajiri. Kwa shetani hakuna sadaka ndogo na ndo maana mtu akienda kwa mganga sadaka yake ndogo utasikia kuku. Sasa kwa Mungu ni wangap wanatoa hata hiyo kuku? Shetan anashika sana fahamu zetu hata biblia hatuisomi na kuona nguvu ya sadaka ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu.

Shetani amekuja kwaajili ya kuchinja na kutuangamiza na hana jema kwetu.

Barikiwa sana kwa andiko hili.
Yesu kristu akupe afya njema nyenye kila aina ya mafanikio na baraka
Nextime usichoke kuleta andiko zuri kama hili
Walkkole mnatuchanganya mara mseme damu ya yesu iliyimwangika msalaban ndio sadaka ya mwisho
 
Huyo shetani wa kwenye biblia kajikuza mweyewe kwenye biblia.

Ushetani ni sifa ya watu, ukiwa na ushetani wewe ni shetani. Sifa ya kwanza ya shetani kukufuru kwa kufanya shirki ya kutokuamudu Mwenyezi Mungu mmoja asiyezaa wala kuzaliwa.
 
Hili andiko Shetani kachukia, ndugu mtoa andiko kama ulikuwa unaamini nguvu za Mungu kwa kiwango cha chini ya asilimia 100% naomba jaziliza ifike 100% kabisa au ivuke. Huu Uzi mzuri sana umerejea maandiko, kwa wanaosoma Biblia huu uzi umeeleweka vizuri sana. Hapo Shetani asifikiri tunamsifia nguvu zake ila tumegundua kumbe tukitaka kupambana nae tumwite mbabe wake ampe mabanzi apite kule[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinyago kiitwacho shetani kiliumbwa Ili tushindanishwe nacho sio!!?

Tuwe Kwenye vita inayochosha AMBAYO inaumiza si ndio!!!

Binadamu ni kiumbe mwenye hasara Bora mnyama anaechinjwa na kuliwa!!

Yaani vita vita vita dhidi ya kiumbe mwenye nguvu sana si ndio!!?

Inasikitisha sana!
 
Mi simuamini kiongozi yyte wa dini,kwanza Hana Cha kunisaidia!
Pili ,Mungu wetu Jesus,Jehova,Elohim ,Bwana wa majeshi ...hatetewi,ila anajitetea ....

Ila kuhusu kumwabudu,kumtukuza , kumtumikia yeye ni sahihi ndo anachotaka
Hata yule uliyeniambia ni mfuatilie youtube nae humuamini ?

Ok ila nakuelewa sana mtumishi ,nikiona andiko lako natulia kulisoma na kulielewa
 
Huyo hapa chini alikuwa Jinni au Mtu?
Au alikuwa (Kinyume/Uongo) kama unavyo sema?

Ayubu 1:7
Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe?
Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
Kumbe Ayoub alibonga na shetani kitaani ? Hahahaha,jamaa ( shetani) mzururaji tu mjini hapa
 
Hata yule uliyeniambia ni mfuatilie youtube nae humuamini ?

Ok ila nakuelewa sana mtumishi ,nikiona andiko lako natulia kulisoma na kulielewa
Yule sio kiongozi wa dini!
Nampenda ,namfuatilia sbb anafundisha kweli ya Mungu hafundishi kuijua au kuishika dini...
Maana Kuna tofauti kubwa sana kati ya issue ya' dini' na ya' kiroho '...

Kwahiyo nilikwambia umfuatilie Ili ujifunze ...
Dini zimeharibu sn watu
Zimepotosha kweli ya Mungu
Watu wengi wamejikuta wameshika dini sio Mungu tena
 
Back
Top Bottom