Sweya Makungu
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 508
- 601
- Thread starter
- #201
HaaaaaaaaNashangaa binadamu anaenda chooni kama mimi anakemea "toka shetani ". Ni usanii tu!!.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaaaaaaNashangaa binadamu anaenda chooni kama mimi anakemea "toka shetani ". Ni usanii tu!!.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Naam ukiwa na uwepo wa Mungunimesoma andiko lote ila nikuambie tu mtoa mada shetani ni muoga mno ukiwa na imani dhabiti ya Yesu...
Soma vizuri ufunuoBiblia gani inayosema robo tatu ya malaika walimfuata shetani??
nimefikia hyo sehemu nikashangaa ila all in all bado naendelea kusoma
DuuuuuuuWengine hawataelewa ulicho kiandika.
Wao wanaamini Shetani ni Jinni au Mtu anayetenda mambo Mabaya.
Wanaamini kuwa hakuna kiumbe kwa asili yake kinaitwa Shetani.
Wanamaanisha Shetani ni matendo maovu ya mtu au Jinni.
Watakuja kutoa ufafanuzi.
Kiumbe kilichopewa laana pale Edeni ya kuwa "hakika utakufa " , ni mwanadamu siyo malaika Wala Shetani..Mkuu samahani, na utani sahihisha kma nitakuwa nmekosea.
Kama malaika ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini malaika watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]
Kama mwanadamu ana roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini wanadamu wote watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]
Kama shetani ni roho(nafsi), IMEANDIKWA: Kila nafsi itaonja umauti. Kwangu naamini mashetani/ shetani watatolewa roho na watakufa pia[emoji3581]
Sasa pia uliandika MUNGU, nae ni roho (nafsi)[emoji777]
Hapo ipo vipi ?? wakati huo kwenye Quran and bibble imeandikwa kila nafsi itaonja umauti. Vipi kuhusu hili?? Kiufupi naomba ungemuelzea vizuri MUNGU kwa utukufu wake na ukubwa wake kwa unyenyekevu wa hali ya juu plz.
Ukiniambia MUNGU ni ROHO, kama inani changanya hivi. Kwa maana imeandikwa kila nafsi/roho itaonja umauti.
Kama nakosea naomba nikoselewe ili nielimike[emoji3578]
Nafikiri Ww ndio usome tena ...na unionyeshe mahali wamesema robo tatu ya malaikaSoma vizuri ufunuo
Mkuu chukua pepsi, fanya tutafutane umeongea kitu yaan.Shida makanisa ya sasa yanapenda Hela tu kama sadaka. Na Wakati Mungu anapenda sadaka za viumbe zaidi.
Weka proofUkiwa msomaji Biblia mzuri utakutana na yote hayo
Walkkole mnatuchanganya mara mseme damu ya yesu iliyimwangika msalaban ndio sadaka ya mwishoMkuu andiko lako ni ziri mno mno na nimependa maana umeandika mengi yaliyo na uhalisia
Mungu na akasema tumuumbe mtu kwa mfano wetu. Hii n kumaanisha sisi tunauwezo wa Kiingu,yan tunaumba kwa kinywa. Na shetani analifahamu hilo ila anatuchanganya na kutufanya tujiumbie mabaya . Mfano tunaitana mbwa.paka na majina mengne mabaya ambayo yanaenda kutukaa.
Shetani anatushika na kutuzui tusimtolee Mungu sadaka iliyo safi na nzuri ndo maana leo hii mtumishi wa Mungu akisiamma na kutoa somo kuhusu kutoa sadaka vita vinainuka.
Tunaomba pasipo kuambatanisha maombi yetu na sadaka,hatushukuru baada ya kujibiwa sasa hizi ndizo mbinu shetani anatumi ili kutudidimiza, na shetani atatafuta mawakala wake na kuwajengea hali ya kuelezea sadaka namna inawafaidisha watu wa Mungu na watu wataamin. Hii inajenga gap kati ya wanadamu na Mungu. Sadaka shetan mwenyewe anaiogopa kutokana na nguvu yake kwahyo sadaka anaipinga kuliko kawaida
Kitu nilochojifunza kihusu sadaka. Kwa shetani watu wanafanikiwa sana maana sadaka zao ni kubwa sana mfano mtu anamtoa kafara mzazi wake ili awe tajiri. Mtu anaua gar nzima ili awe tajiri. Kwa shetani hakuna sadaka ndogo na ndo maana mtu akienda kwa mganga sadaka yake ndogo utasikia kuku. Sasa kwa Mungu ni wangap wanatoa hata hiyo kuku? Shetan anashika sana fahamu zetu hata biblia hatuisomi na kuona nguvu ya sadaka ilivyoandikwa katika maandiko matakatifu.
Shetani amekuja kwaajili ya kuchinja na kutuangamiza na hana jema kwetu.
Barikiwa sana kwa andiko hili.
Yesu kristu akupe afya njema nyenye kila aina ya mafanikio na baraka
Nextime usichoke kuleta andiko zuri kama hili
Acha tu nifurahiii🤣🤣🤣🤣Walkkole mnatuchanganya mara mseme damu ya yesu iliyimwangika msalaban ndio sadaka ya mwisho
Mimi pia nimewaza kama wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe utakuwa apostle sio bure katika yote umeona sadaka tu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata yule uliyeniambia ni mfuatilie youtube nae humuamini ?Mi simuamini kiongozi yyte wa dini,kwanza Hana Cha kunisaidia!
Pili ,Mungu wetu Jesus,Jehova,Elohim ,Bwana wa majeshi ...hatetewi,ila anajitetea ....
Ila kuhusu kumwabudu,kumtukuza , kumtumikia yeye ni sahihi ndo anachotaka
Kumbe Ayoub alibonga na shetani kitaani ? Hahahaha,jamaa ( shetani) mzururaji tu mjini hapaHuyo hapa chini alikuwa Jinni au Mtu?
Au alikuwa (Kinyume/Uongo) kama unavyo sema?
Ayubu 1:7
Bwana akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe?
Ndipo Shetani akamjibu Bwana, na kusema, Natoka katika kuzunguka-zunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.
Yule sio kiongozi wa dini!Hata yule uliyeniambia ni mfuatilie youtube nae humuamini ?
Ok ila nakuelewa sana mtumishi ,nikiona andiko lako natulia kulisoma na kulielewa
Soma hili kwenye biblia ya kingerezaKumbe Ayoub alibonga na shetani kitaani ? Hahahaha,jamaa ( shetani) mzururaji tu mjini hapa
HakikaHao ni vyombo tuu vinatyowa wakati wowote