Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Kwa hiyo kauli ya Pengo ndio kauli ya kanisa ??!!Hapo kuhusu Gwajima ni uwongo mkubwa. Pengo hajawahi mshitaki Gwajima.
Pia kumbuka maelezo ya Pengo yalikuwa kwamba anafafanua kuwa kauli ya Niwemugizi siyo ya kanisa kwani tayari ulikuwa na hiyo argument iliyohitaji ufafanuzi
Nyie wakosa adabu wa chadema huko mnakokwenda msidhani mnakijenga chama bali ni kuendelea kkiuwa.Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Papa hana amri yoyote ndugu kama makadinali wakimgomea ndio maana kuna kitu kinaitwa sinodi wanakutana wale wanaamua wanazodoana wee huko ndani wakitoka na jibu moja
Papa hajiongozi bali anaongozwa na makadinali kote duniani hawa wanauwezo wa kumwambia huko unakoenda siko
Kuwa nastaha unapotoa Maoni yako, pia tambua kuwa na kiti vatcan na kuwa na opportunity ya kumpigia simu Papa siosababu tosha ya kutokuwa Msaliti. Askofu Niwemugizi, alisema Maoniyake yasichukuliwe kuwa ni Maoni ya kanisa. Yeye ni mtanzania kama wewe na Mimi anahaki ya kutoa Maoni. Na huo ni wajibu na haki ya kila binadam aliye hai.
MUNGU alikwambia lini kwamba amemteua Papa Ndani ya kanisa katoliki au umejitungia
Wew jamaa ni msema kweli
Nakushauli tafuta elimu
Uoni wako hafifu!!Ni swala la mtazamo tu, kwako ni kauli ya ukakasi kwa wengine ni kauli ya Mungu kwani Kardinali ni mtumishi wa Mungu ambaye ameteuliwa na Mungu kuwa Kardinali wa Kanisa Katoliki hivyo sauti yake ni sauti ya Mungu kwa wafuasi wa Kanisa Katoliki!
Katafute elimu yani kasomeNajaribu tu kuwa Mkweli, na UKWELI ndiyo huo!
Ni serikali ilimshitakiPengo sidhani Kama alimshitaki gwajima. Andika unachotaka kumpinga bila kutia chumvi.
Papa nini wewe mammalia ? umesahau papa Francis aliachia ngazi sasa nani mkubwa kati yake na huyu kijakazi wa CCM?
Katafute elimu yani kasome
Sio ameolewa kwenye jimbo na Papa yeye huidhinisha tu ila wanaoteua jina ni barazaNi nani amekudanganya Kanisa Katoliki linajitegemea? Hivi hizi Dini mnazielewa lkn au mnafwata mkumbo tu? Hivi unafahamu kwamba Askofu Mkuu wa Jimbo lao ameletwa kwenye Jimbo lako na Papa aishiye Roma na kwamba wewe kama muumini na mkazi wa hilo Jimbo hauna uwezo wowote wa kuamua ni Askofu yupi awe Mkuu wa Jimbo lako? Ni kama vile Mkuu wa Mkoa/Wilaya Raisi ndiyo anaamua nani amlete kukuongoza Mkoani/Wilayani kwako na haijalishi kama unampenda au laa na hakuna kitu utafanya, basina Ukatoliki ni hivyo hivyo!
Halafu upuuzi mwingine anaoufanya ni kutaka kauli yake ndio isimame kwa niaba ya wakatoliki wote.Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Hata wakati wa Kikwete huyu bwana Pengo mambo yake ni haya haya ya kuwakana wenzie!! Wakati wa bunge la katiba alilikana waraka wa baraza la maaskofu Tz. Ni TABIA yake anatumika na Magogoni kutuliza upepo.Kinachotia shaka enzi za kikwete kabisa hili lilikua mbele kukosoa lkn Tangu alipoingia mkatoriki du! Kimyaaaaaaaaa totolo.
Hivi nini kimelisibu wajameni?????
Kwan kukaa na papa ndo nn....papa naye c binadam km wewe ..Nyie ndo wale mnaoweza hata kujidhalilisha utu wenu kisa umaarufu wa MTU.. C bora hata ungesema Ibrahim anaeketi mbimgun kwa MunguWewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
utakuwa msaada mkubwa kwa watu..Ni kweli uko sawa, kwani bado najifunza sijafikia ukingoni bado!
Kwani Papa Mungu?Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya inaitwa st mary mbalizi... kuna moja iko hapo pwani inaitwa st. Mary's pia au maarufu kama Visiga seminarySaint Mery's ni shule za madhebu ya kilokole na siyo shule za kanisa katoliki.