mimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Vijana mashabiki Wa Chadema na Demokrasia maji Taka.
Majuzi huko bongo kulikuwa na mjadala wa uhuru Wa mitandao ya Jamii ,mada Nzuri na ya kuvutia. Uzuri Wa mjadala ni pale pro and cons zinapojadiliwa kwa usawa ,hoja na ustaarabu WA kimantiki ili kupata compromise ya what’s really positive for the betterment of this given Society.
Given Society in this instance ni Tanzania. In general mitandao ya kijamii kama yenyewe ilivyo haina shida. Na experience yangu kwa kupitia humu Nimeona uhuru Wa kutoa maoni upo. Ingawa kikubwa nilichoona. Wengi humaanisha hakuna uhuru Wa maoni kwanza kimkumbo mkumbo tu na Zaidi sana wanamaanisha uhuru Wa „Kupinga tu na kutukana tu ,na kutumia Lugha yeyote“bila kujali heshima na utu Wa mwingine regardless of chama Au itikadi yake. Bahati mbaya hata Viongozi waliotoa mada hawajazingatia this given Society na hali yake.
Tumekuwa tukidhani kuwa hoja lazima iwe against the government and Sio inayotuhusu kutokana na uelewa wetu. Ndo mana hapa Jamii F. Matusi. Kashfa ndo hoja of the day. Mtu anatafuta namna yoyote aingize hoja ili kusema ujinga na fustrations zake ambazo angeweza kuzitatua binafsi au kwa msaada Wa wanaomzunguka.
Demokrasia ndo neno linalozungumziwa karibu kila Siku. Na nilichogundua Vijana wengi hata hawaelewi maana ya neno lenyewe. Kwao Demokrasia ni jambo La kufanya na Serikali tu. Na Hasa ruksa ya kutukanana na kusingiziana habari. Neno Uhuru Sio licence. Uhuru unakuwa na Rights na obligations kadiri ya hali yako kama mwanadamu. Kama mtanzania na kama baba. Mtoto mama. Mwanafunzi mwalimu. Kiongozi. Nk. (Maadili ya given Society).
Jamii F sasa inajipambanua kama Mahali penye Vijana Au wazee („watoto“) Wa chama pendwa cha Humu CDM. Wamekuwa hawaheshimu maoni ya wengine. (Demokrasia) wamekuwa searchers and seekers of negativity.JF imekuwa Sio Mahali Pa pro and cons in search for a solution bali kupinga bila tafakari ya wenyewe binafsi. You want Demokrasia lakini we wenyewe Mtu akienda kinyume Lugha huja matusi na kibaraka.
Vijana „Watoto“ ukiamua kupigania kitu pigania si kile tu mbele ya PUA yako bali global and Metaphysikal —the truth not only logically. Jitunze kuheshimu hoja na uelewa Wa wengine. Jifunze kutumia Lugha inayokutambzlisha wewe .kwamba hata Leo Id yako ikifumuka Wazi heshima yako na utu na msimamo utatambulika.
Lema alimtaja Muro ,na Muro akamtaja Lema. Ona sasa Vijana Wa Demokrasia wanapotokea. Kelele. Matusi kashfa. And then wanasema Demokrasia Mkasome kwanza Nendenni mkajitambue na rudisheni Hela manazopewa kuwa wapingaji mpaka uhalisia Wa wazazi wenu. Then come and demand Demokrasia. Leo kuwa Mbunge eti Sio muhimu kukaa na kufanya Kazi jimboni. Ohhhh kweli Demokrasia inachu