Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Na mimi ni mkatoliki vile vile. Ilikuwa sawa kabisa kwa kanisa kutokukurupuka.mimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi ni mkatoliki vile vile. Ilikuwa sawa kabisa kwa kanisa kutokukurupuka.mimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Wenziyo wana albadri ya Askofu Mubga....Kwani Pengo ndiye kanisa?
Ungejua tu hata maaskofu wenzake wanamuona mzigo usingesema haya
Pengo sio kanisa katoliki.na kiufupi amechokwa .tena sio kuchokwa kidogo.sana tu
Baraza la Maaskofu ndilo lenye mamlaka na Kanisa katoliki Tanzania
Natumaini ulisoma hili Tamko la TEC
Baraza la Maaskofu Katoliki watoa tamko kulaani wauaji na shambulio kwa Tundu Lissu
Kabisa hapa hakuna kupepesa macho.....
....hoja safi
tatizo braza niko huwa unaongea baada ya kupiga nyagi
Vipi unaamini kwa siasa za Chadema za sasa zina ushawishi wowote zaidi ya kuonewa huruma.?huhitaji kusema kuwa huna chama.
Unashauri mbinu gani labda?
Girl..stay calm..take your way.we take our way
Vipi unaamini kwa siasa za Chadema za sasa zina ushawishi wowote zaidi ya kuonewa huruma.?huhitaji kusema kuwa huna chama.
Unashauri mbinu gani labda?
Girl..stay calm..take your way.we take our way
Sijaongelea wakati huu bali 2010-2015.!kwani CHADEMA wamesema wanataka mchango wa kanisa kwenye kukua kwake>?
Naunga mkono HOJAWakuu natanguliza salamu .
Maelekezo makuu ya Mungu kwa wanadamu ni kuishi katika kweli iliyojaa haki tupu , kutenda mema na kukataa maovu , hivyo tunategemea kiongozi yeyote wa dini ya kweli aishi na atende kama Mungu alivyoelekeza .
Kardinali Pengo anatenda kinyume na Maagizo haya ya Mungu , ni wazi ameamua kujipambanua kuukumbatia unafiki , Amejipachika usemaji wa Kanisa kinyume cha utaratibu .
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Naomba kuwasilisha .
mimi ni mkatoliki, ilishangaza kuona kanisa katoliki halikulaani kushambuliwa kwa tundu lissu
Mawazo ya Pengo yasiwe mawazo ya waumini wa kanisa katoliki Mimi hata Leo nimekuwa kanisani mapadri wengi hawapendezwi ya yanayoendelea nchini kwa mafundisho yao hasa wanashangaa matamshi ya pengo na wanamkosoa bahati ni kuwa sio kila kanisa lina mwandishi wa habari..Uchaguzi wa 2010 Kanisa lilishiriki kikamilifu kuwashawishi waumini wake, kutoa waraka wa aina ya viongozi wanaohitajika, kutoa elimu ya uraia na haki zao kwa waumini wao.
Ni wakati huo Chadema ilikuwa inaungwa mkono na jamii kubwa hasa wasomi na vijana.
Ni wakati huo Watanzania wengi walijitolea kuitetea Chadema kwa jasho na Damu....
Ilifika wakati ikawa ni aibu kwa Mtanzania hasa wa mjini kujitambulisha yeye ni ccm.
Iwe kwenye mkusanyiko au vyombo vya usafiri ukitetea ccm jamii yote inageuka kukuangalia wewe ni mtu wa aina gani...
Hii yote ilichangia na ushawishi wa Kanisa....
Uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 uliweka rekodi kwenye siasa za upinzani Tanzania hasa Chadema, Chadema walichukua vijiji vingi sana hata kule ambako hakukutarajiwa walishinda.
Hii yote ilitokana na Mbegu iliyopandwa kwenye uchaguzi wa 2010.
Kosa kubwa mlilofanya ni kumkabidhi Lowasa chama, wenye akili walikaa pembeni na wengine kumuunga mkono Magufuli....wasomi wengi walikaa pembeni, watetezi walikata tamaa. chama kikabaki kutembelea kivuli cha 2010.
Kosa kubwa zaidi mnalolifanya ni kulishambulia Kanisa na viongozi wake, hili ndio kosa litakalowapoteza zaidi kwenye siasa za ushindani.
Dunia yote inatambua uwezo na nguvu ya ushawishi wa Kanisa, hivyo kujaribu kupambana na kanisa ni sawa na kunywa chai kwa mluzi....
Wewe sikia aibu kwa sababu hujui taratibu za matamko ya kisiasa yanayotolewa na kanisa katoliki. Kama Kadinali Pengo anatumika na CCM sasa unasemaje kuhusu kauli ya Balozi wa Vatican nchini Tanzania ambae ametoa maoni kama ya Cardinal Pengo kuhusu sakata hili? Wewe hamia tu dhehebu la UKAWA huko kwa wakatoliki hakukufai.Kabisaa
Huyu mzee anatufedhehesha sana wakatoliki (Roman Catholic - TC)
Najisikia aibu kuwa na kiongozi mnafiki level hii
Hafai kwakweli hafai
Ni vema sasa Kwa kulinda heshima yake lililojiwekea miaka mingi , kanisa Katoliki linapaswa KUMTIMUA kardinali Pengo ili akaendeleze harakati zake za kupinga katiba mpya ndani ya chama chake cha ccm .
Nakubaliana nawe kuhusu hilo kwenye maandishi mekundu. Na hakuna Ibara au Kifungu chochote kinachohusu haki na uhuru kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja au kundi, cha Katiba iliyopo kilichobadilishwa kwenye Katiba inayopendekezwa. Kama vipo, nitajie.Haya ni mawazo yako. kwa upande wangu Pengo amejidhalilisha sana kupinga uwepo wa katiba mpya. na huwezi kusema suala la katiba si la wananchi wakati hao hao wananchi ndio waliotoa maoni ya namna wanavyotaka nchi yao itawaliwe. Katiba na maendeleo huwezi kuvitenganisha
Pengo ni msemaji au Rais wa TEC?Hapo kuhusu Gwajima ni uwongo mkubwa. Pengo hajawahi mshitaki Gwajima.
Pia kumbuka maelezo ya Pengo yalikuwa kwamba anafafanua kuwa kauli ya Niwemugizi siyo ya kanisa kwani tayari ulikuwa na hiyo argument iliyohitaji ufafanuzi
Mimi mkatoliki ila hii kauli huwa inanipa ukakasi kidogo! Ni kweli Papa anateuliwa na Mungu!? Kiaje?Kikatoliki Papa ndiyo Mkuu wa Kanisa Katoliki aliyeteuliwa na Mungu, hakuna njia nyingine hapo!
Mada umeielewa lakini.?Wewe unazungumzia KKKT siyo Katoliki!!