Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Asiyejitambua huyu! Kauli ile ni msimamo wa Watanzania tulio wengi. Unazidi kupoteza mvuto kwenye jamii ya Watanzania kwa kutokemea maovu ya dikteta uchwara.
Pamoja na uhuru uliokuwa na wa kutoa mawazo, BAK, maneno uliyotumia kujadili mada kuhusu Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini, Mhadhama Kardinali Pengo, ni ya kitoto. Kama wewe ni mtu mzima ni mtu mzima hovyo.

Siyo tu umemdharirisha kama yeye, bali hata nafasi katika jamii, Kanisa Katoliki na waumini wake wote.

Sikubali kwamba kauli ya Askofu mtajwa na Kardinali Pengo inawakilisha mawazo ya Watanzania mlio wengi. Ni kauli inayowakilisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Niliwahi kuandika humu jamvini, kwamba wanaotaka Katiba mpya si wananchi ila wanasiasa tena uchwara. Katika Katiba JMT, nikikuuliza ni Ibara ipi inamnyima raia kufanya shughuli zake za kimaendeleo, au haki na uhuru wake? Utabaki kuropoka tu.

JITAMBUE KWANZA NDIO UWEZE KUMJIBU MTU KAMA MHADHAMA KARDINALI PENGO.

Kama hukufunzwa na wazazi wako, utafunzwa na dunia. Hata maandiko matakatifu yanatutaka kutii mamlaka, na kuheshimu wazazi, tupate maisha mema na bora duniani.
 
Kati ya vitu vinavyo nifanya nisiende kanisani, Pengo namba moja. Akitoka madarakani ntarudi kwa nguvu zote.
 
esitena tetena,

Pengo akitaka kujua kama ni msimamo wa Kanisa au la,Aendeshe kura ya maoni miongoni mwa Wakatoliki tupate jibu kamili siyo kupinga tu! Katiba Mpya ndo yenyewe.
 
Yote hayo anayasema Pengo leo ni kwa sababu anayetawala sasa ni Mkatoliki ambaye inadaiwa kwa makusudi anaipa Favor ya juu taasisi ya ukatoliki hapa Tanzania.

Kama mtawala angekuwa ni muislamu(Kama kipindi kile cha Kikwete) Askofu Pengo ungemwona yuko busy kila Jumapili kuikosoa serikali na kudai uwepo wa katiba mpya yenye kutoa haki kwa watanzania.
Hata wakati wa Kikwete,Pengo haelewekieleweki au umesahau kipindi Gwajima anamuuliza maharage aliyokula ameyatoa wapi?
 
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Asante mkuu kwa ufafanuzi, gwajima alishawahi kumwambia hivyo hivyo lkn bado hajasikia anajiona boss wa kanisa katoliki tz kitu ambacho sio kweli, hata aliyoyasema yeye ni maoni yake binafsi na sio msimamo wa kanisa
 
Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?
We kwani hujamsikia vizuri, anapinga katiba mpya huyu mzee, katumwa na magufuli
 
um
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,

Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake


Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza

"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine

Unapotosha umma wewe kardinal ni mkuu wa kanisa Katoliki nchni na hakuna askof anayeteuliwa bila mapendekezo yake na ushauri kwa papa sasa leo hii unadanganya na kumlingansha shekh mkuu wa mkoa dsm na mashekh wa mikoa mingne unakosea ukweli ulipaswa kumlingasha muft wa tanzana na shekh wa mkoa wowote Tanzana na jibu ni kwamba anayeshikilia cheo cha kitaifa ndiyo boss wa wote hayo mengine ni utendaji wa ndani ya Kanisa.
 
Pamoja na uhuru uliokuwa na wa kutoa mawazo, BAK, maneno uliyotumia kujadili mada kuhusu Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini, Mhadhama Kardinali Pengo, ni ya kitoto. Kama wewe ni mtu mzima ni mtu mzima hovyo.

Siyo tu umemdharirisha kama yeye, bali hata nafasi katika jamii, Kanisa Katoliki na waumini wake wote.

Sikubali kwamba kauli ya Askofu mtajwa na Kardinali Pengo inawakilisha mawazo ya Watanzania mlio wengi. Ni kauli inayowakilisha wanasiasa wenye uchu wa madaraka.

Niliwahi kuandika humu jamvini, kwamba wanaotaka Katiba mpya si wananchi ila wanasiasa tena uchwara. Katika Katiba JMT, nikikuuliza ni Ibara ipi inamnyima raia kufanya shughuli zake za kimaendeleo, au haki na uhuru wake? Utabaki kuropoka tu.

JITAMBUE KWANZA NDIO UWEZE KUMJIBU MTU KAMA MHADHAMA KARDINALI PENGO.

Kama hukufunzwa na wazazi wako, utafunzwa na dunia. Hata maandiko matakatifu yanatutaka kutii mamlaka, na kuheshimu wazazi, tupate maisha mema na bora duniani.
BAK katumia maneno yapi mabaya? Huyo Pengo ashavimbiwa vya kunyonga sasa hivi anatupumilia tu hewa chafu

Halafu huyo ni mwanadamu kama wewe kuwa Kadrinali hakumfanyi awe malaika hivyo akiongea ujinga atakosolewa tu
 
Uingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Ile ni nchi ya kifalme huwezi kuifananisha na tz nchi ya democracy
 
Huyu ni askofu wangu jimbo la Dar ila kwa hili hapana simuungi hata kidole.
 
esitena tetena,

Sitaacha kuwa Mkatoliki maana wewe pengo sio Yesu ila hapo babaumechemka. Hata kama nimwenzetu kama ni lazima tumpinge na tumpinge tu.Je tulipoteza hela bure kuandaa katiba mpya? Nashauri waumini wa Dar tuprotest kwa kukataa kutoa sadaka jumapili ya kesho ili tutume ujumbe kwa Pengo aache kurudi na mtawala kisa ni mmoja wetu.
 
Sitaacha kuwa mkatoliki maana wewe pengo sio Yesu ila hapo babaumechemka. Hata kama nimwenzetu kama ni lazima tumpinge na tumpinge tu.Je tulipoteza hela bure kuandaa katiba mpya? Nashauri waumini wa Dar tuprotest kwa kukataa kutoa sadaka jumapili ya kesho ili tutume ujumbe kwa Pengo aache kurudi na mtawala kisa ni mmoja wetu.
Huyu hafai kabisa kuwa kiongozi wa kanisa ni mnafiki na haaminiki
 
Mimi ni mkatoliki kabisa. Pengo kwakwel binafsi nilimtoa thamani kitambo sana.
Huyu Mzee enzi za utawala wa Muislam kikwete alikuwa busy kwa mkatoliki Slaa. Leo karudi kwa Sinzonje mkatoliki mwenzake.
Mbinguni hatutaingia kupitia pengo kama mpaka mafuta wa bwana bali tutaingia kupitia matendo mema. Hata suala la Lissu kanisa Katoliki walitoa statement baada ya kelele nyingi za watu ukizingatia Lissu ni mkatoliki.
Duuh kanisa Kwasasa siyo la wenye haki.
Kanisa katoliki linaangalia upande wenye maslai
 
Ahadi 70 au 120 Mkuu?
Mwa 6:3
Ufafanuzi tafadhali.
Mkuu ni 70 ukiwa na nguvu basi 80 mambo ya agano la kale yamefanyiwa review na ujio wa Bwana Yesu

Huko kwenye agano la kale kuna walio ishi miaka 900 je unafikiria inawezekana kwa sasa hivi kuishi miaka 900?
 
Back
Top Bottom