Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaruka ruka Kama chura aliyeangukia kikaangoni kifupi ulitakiwa useme uingereza haina katiba ila inatawaliwa na sheria zilizopitishwa na bunge zinazogusa kila eneoUsikariri! Nani aliyekudanganya kuwa UK haina katiba? UK does not have a codified constitution. Hiyo haina maana kuwa haina katiba. Katiba yao imeundwa na Acts of Parliament, Court Judgments na Conventions.
Nielimishe mkuu hapo huwa sielewi kitu wanaposema UK hawana katibaUsikariri! Nani aliyekudanganya kuwa UK haina katiba? UK does not have a codified constitution. Hiyo haina maana kuwa haina katiba. Katiba yao imeundwa na Acts of Parliament, Court Judgments na Conventions.
UK wanayo katiba, unwritten constitution.Nielimishe mkuu hapo huwa sielewi kitu wanaposema UK hawana katiba
Wewe Mungu akurehemu tu, Pengo ni askofu wa jimbo la Dar es salaam, mamlaka yake inaishia kiluvya ukivuka tu daraja kuingia kibaha Pengo hana mamlaka napo.Nani anamjua Nimewemugizi bhana? Pengo ndo kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Tanzania, ndio maana wakatoliki kote Tanzania humuombea Pengo katika sala zao baada ya pope, huyu jamaa ndo anatoa report ya maaskofu wote Tanzania kwa pope juu ya mienendo yao na ku propose nani amrithi hapo baadae ,kwa hiyo pengo ni mkubwa wao.
You are writing BS. Kwa taarifa yako tu.Porojo nyiingi na kiingereza cha kuchovyachovya hakitabadilisha ukweli ndugu.PAPA SI MUNGU NA ROMA SIYO MBINGUNI.kwaheri
Nachukia kujadili masuala ya imani hasa kama sijui nani ninajadili naye. Why don't you believe what you believe?Ila mnaamini bikira Mariam yupo mbinguni......si ndio,au?
Asiyejitambua huyu! Kauli ile ni msimamo wa Watanzania tulio wengi. Unazidi kupoteza mvuto kwenye jamii ya Watanzania kwa kutokemea maovu ya dikteta uchwara.
Acha kua mbumbumbu wewe uingereza inayo katiba sema katiba yao haijaandikwa ni unwritten constituionUingereza haijawahi kuwa na katiba na haina mpango wa kuwa na katiba lakini ni nchi iliyoendelea.Katiba sio kipaumbele cha maendeleo
Wewe Mungu akurehemu tu, Pengo ni askofu wa jimbo la Dar es salaam, mamlaka yake inaishia kiluvya ukivuka tu daraja kuingia kibaha Pengo hana mamlaka napo.
Maaskofu wote wa majimbo ya Tanzania wana hadhi sawa na hakuna mkubwa zaidi ya mwenzake.
Makao makuu kuwepo Dar haimaanishi Pengo ni mkuu wa maaskofu wote hakuna kitu kama hicho kwenye system ya kanisa katoliki.
Wanaomumbea Pengo ni makanisa ya jimbo la Dar es salaam ambako yeye ndio kiongozi wao na siyo sehemu nyingine acha kupotosha kitu usichokijuwa.
Mwakilishi wa Papa Tanzania ni balozi wa Vatican na siyo huyo Askofu Pengo.
Akili za kijinga kama hizi ndio zimemfanya Makonda ajione yeye ni zaidi ya wakuu wa mikoa mingine, huu ni upumbavu mtupu.
Pengo ni archbishop maana yake ni chief or high level leader , na hukaa makao makuu tu, hivyo St peter la dar sio tu jimbo la Dar es salaam bali ni makao makuu ya kanisa katoliki Tanzania, mtu anae kaa makao makuu ndo kiongozi mkuu wa kanisa ila kanisa analosalisha kama mtume . Ndio maana hata niwemuguzi akifikia hatua ya kuwa archibishop atatoka huko aliko aje Dar akisubili pengo kuresign au kufariki yeye arithi, ndio maana hata pengo mwenyewe baada ya Rugambwa kuona hali yake sio nzuri aliteuliwa kuwa archibishop, maana yake alikuwa normal BISHOP kama wengine, na baada ya rugambwa kuresign ndo akamrithi na kuwa cardinal, kutomtambua pengo kama kiongozi mkuu wa kanisa katoliki Tanzania sio sahihi. Labda twende tukaangalie details za archinishop, bishop & cardinal yana maana gani, pengine wakatoliki waje watueleze kwa undani zaidi.
Ana 73 sasa,bado miaka miwili astaafu.Hivi huyu ana miaka mingapi? Ameshafikisha ile 70 ya ahadi?
Sasa mbona huyu ana sauti kubwa?Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,
Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake
Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza
"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
kumbe yule msaidizi ana sauti, sasa huyu kwa nini anamkanusha mwenye sauti kubwa?Mkuu raisi wa baraza la maaskofu ni wa Iringa, Ngalalekumtwa alichukua kutoka kwa huyo wa Mwanza Dr. Ruweichi na msaidizi ni Niwemugizi wa jimbo la Rulenge kama sijakosea!
kwani aliyesema atalihamasisha kanisa kuhusu mchakato wa katiba ni kanisa gani?Pengo kasema ukweli kuwa si msimamo wa kanisa .. Basi kwanini misimamo awamu hii hamna?