Pengo kwenye Muungano

Pengo kwenye Muungano

Hata iweje ameshakuwa rais wenu. Anaongoza vizuri kuliko hao unaowaona wazawa
kwani nani kasema si Raisi wetu aliyewekwa na Tanganyika ??

Anaongoza vizuri kwa sababu hakuna aliye wako kauwawa au kujeruhiwa na yale majeshi ya Burundi mliyoyakodi na majeshi ya Tanganyika
 
NYERERE ON ISLAM IN ZANZIBAR

It appears that Nyerere is one of the best known political figure, but the least understood of African leaders. Millions of Africans who struggled for liberation from the Western imperialism, believed that Nyerere is the supreme theoretician and practitioner of the African Liberation. Others concidered him as the man who committed himself and the resources of his country to rid the African continent from the hegemony of European colonialism and apartheid, sponsored by the Ducth Reformed Church, the major evils of Western imperialism in the African history. According to some political philosophers, Nyerere is the most outstanding political guru, thinker, writer and spokesmen in Africa and the chief architect of socialism in Tanzania, branded as "Romantic Tanzaphilia" by Professor Ali A. Mazrui.

In the Euro-Christian parlance, Nyerere was a serious bulwark against what was believed as Communism in Zanzibar. This was concorted and by the American Government. because the book, US Foreign Policy and Revolution: the Creation of Tanzania by Amrit Wilson revealed some official US documents, including from the CIA that regarded Nyerere as the only "responsible" African leader to suppress (Islam in) Zanzibar which was erroneously equated with communism during the Cold war. Before the creation of Tanzania in 1964, Nyerere was frequently heard and so quoted that he wished he could tow out Zanzibar into the Indian Ocean, if he can. Tanzania received more Western aid per capita than any other African country. But to many Islamists in Zanzibar, Nyerere is a devout Catholic and Crusader against Islam in Zanzibar though it was only recently that the book "The Course of Islam in Africa" by Mervyln Hiskett indicated that the Union was imposed by Nyerere for Crusade against Islam in Zanzibar:

Union was imposed on the Muslims of Zanzibar by Nyerere, a militant Christian and his henchmen Okello against the will of the Zanzibari people, and that has been followed by a deliberate campaign to extinguish the Islamic character of Zanzibar under a secular constitution." (p. 170).

This started after Nyerere had expelled the active Tanganyikan Muslims from their executive leadership of TANU, he exerted his efforts for intervention of the Muslims in Zanzibar. He first manipulated Abeid Amani Karume (1905-1972), born in Nyasaland (Malawi) who was the President of the African Association (AS) but his party was not formed for the independance of Zanzibar. Because they stated in their AFRIKA KWAETU (Afrika is Our Home), the official mouthpiece of the African Assocaition:

We wish to assure all the so called Zanzibaris that anything short of an African state will never be accepted when self-government is achieved in this Protectorate. We are also opposed to multi-racial government in these islands. It is against all this Association stands for. We want Zanzibar to become an African state like the Gold Coast. (Afrika Kwetu, May 5, 1955).



Nyerere manipulated Abeid Karume to merge the African Association (AA), a surrogate of Tanganyikan Association (TAA) under Nyerere, with the Shirazi Association (SA), whose President was Thabit bin Kombo bin Jecha al-Shirazy (1904-1988), a Muslim born at Kizimkazi in Zanzibar. Nyerere formed Afro-Shirazi Party (ASP) on February 5, 1957 but under Karume. Consequently in 1960, Sheikh Muhammad bin Shamte bin Hamad al-Shirazy, a school Principal born at Chambani, Pemba and Sheikh Ameir Tajo Ameir al-Shirazy, formed the Zanzibar and Pemba Peoples' Party (ZPPP) whose Secretary General was Abdullah Amour Suleiman al-Shirazy, born at Pemba. He was the editor of Mwangaza (The Light), the mouthpiece of the ZPPP, believed as the sole party for the indigenous Muslims in the Zanzibar and Pemba.

Orientalists emphasize the differences between the Africans and Arabs but ignore the impact of Islam, which is so strong in Zanzibar politics that led the coalition of the ZPPP and Zanzibar Nationalist Party (ZNP) in 1961, after the ASP had failed to win the support of the ZPPP to form a coalition force for the so called African independence. Following their discussion with Sheikh Ameir Tajo Ameir and the ZNP delegates flew to Pemba for discussion with Sheikh Muhammad Shamte Hamadi. Other delegates were Sheikh Miraji Shaalab, Abdul Rahman Muhammad Babu, Sheikh Maalim Hilal and Sheikh Ali Muhsin.

Nyerere ruled for twenty eight years (1961-1989) as the President and the Chairman of the ruling party in Tanzania. During his chauvinistic and autocratic leadership, the Rev. Frank Schildknecht, a White Father who monitored all the Muslim activities throughout the African continent for the Roman Catholic Church sent a report in July 1963 to the Pope at the Vatican City that the East African Muslim Welfare Society (EAMWS) is becoming stronger and constitute a threat to the future of Christianity for spreading Islam. The EAMWS built several mosques, dispensaries and twenty three schools throughout the East African countries. It also The proposed to build the first Muslim University in Zanzibar, similar to the Beirut University to produce local Muslim professionals. On February 25, 1965, Nyerere banned the Muslim Education Union which was founded to train Muslims who were not allowed into the government primary schools. He also banned the EAMWS in 1968 with following short statement:

The Minister of Home Affair has by command of the President (Julius Nyerere) declared the Tanzania Branch of the East African Muslims Welfare Society (EAMWS) and Tanzania Council of the East African Muslim Welfare Society to be unlawful societies under the provisions of section 6(1) of the Societies Ordinance. (The Standard, December 20, 1968).



The advisor of the EAMWS Sheikh Hassan bin Ameir al-Shirazy was arrested and deported to Zanzibar. The Jamiy�t al-Isl�miyyah fi Tanganyika, which focused on the pressing educational needs of Muslims in Tanganyika was also banned in 1970 in the gist of secularism of education, before the government expressed its hostility in 1973 that only adults could perform Hajj (pilgrimage) to Saudi Arabia and only once in their life time. Some Christians are hostile to Hajj because it is used for the enhancement of the global Muslim Brotherhood and enrichment of the Islamic education among the pilgrims.

Nyerere's vicious Crusade against Zanzibar to join the Organization of Islamic Conference (OIC), was unprecedented. His government suggested in 1988 to change the name of Dar es Salaam (The House of Islam), the capital of Tanzania where the Popal Office is represented for the African continent. But hostility to Islam was manifested on May 7, 1988 during the Conference of the ruling Chama Cha Mapinduzi (The Party of Revolution) at Dodoma. Under his Chairmanship in the Conference, the Chama Cha Mapinduzi suggested the abrogation of Islamic Law in Tanzania, though 65% of its population is Muslim. This political crusade under the auspices of the rulimg party, triggered a mammoth demonstration in Zanzibar on May 9, 1988 by Muslim youth after the Juma’a (Friday) prayers during the month of Ramadh�n.

While the Muslims protested and demanded restoration of the Islamic State in Zanzibar, a massive police contingent, armed with clubs, tear gas and guns attacked the protesters. In the shooting, Ali Mansour Ali, active member of the D�wat al-Islamiyy�h, was martyred. One of the protesters died the following day in the General Hospital among other hundred who were hospitalized but scores, including female Islamists were accused of "inciting" instability against secularism. It was imposed by Nyerere in 1979 when he addressed some Muslims at the Beit al-Ajaib (The House of Wonders) in Zanzibar.

Adding the fuel to the fire, the police arrested four ulama, including Sheikh Nassor bin Ali, imam of the Kikwajuni Mosque. They were accused of being the instigators of the demonstration because shortly after of theirKhutba (sermon) in the Muslim youths mass demonstration protesting the blantant suggestion for the abbrogation of Islamic Law in Tanzania. After the mass demonstration, Seif Shariff Hamad, the then charismatic Chief Minister of Zanzibar (1984-1988), famous for being outspoken and his sentiments were linked with Islam, was sacked with his six colleagues; namely Soud Yusuf Mgeni, Minister for Agriculture and Livestock Development as well as member of the National Executive Committee (NEC) of the ruling party of CCM. Others were Hamad Rashid Muhammad, union Deputy Minister of Finance, Planning and Economic Affairs, Suleiman Seif Hamad, Deputy Speaker of Zanzibar House of Representative, Khatib Hassan Khatib, Member of Parliament, Shaaban Khamis Mloo, Member of House of Representative, Ali Haji Pandu, Member of House of Representative and Minister of Natural Resources and Tourism also former Chief Justice and Masoud Omar Said, Minister of Education. Ali Saleh, a freelance journalist who informed the BBC about the Muslim protest in Zanzibar against abrogation of Islamic Law in Tanzania, was thrown into jail and more Christian soldiers were sent to contain the Muslim "fundamentalists" in Zanzibar. This was accordance with recommendation of the American CIA for the creation of Tanzania. It was recommended by William Attwood, the then US ambassador in Kenya that "the Western powers prepared a contingency plan in case the Union would fail...and (after the union), the laws of Tanganyika would become supreme to round up (Muslim) radicals in Zanzibar."

The situation was aggravated by the Crusadic visit to Zanzibar in March 1989 of Nyerere, whose well publicized speeches called for tougher repressive measures against what he described as "dissidents" in Zanzibar, where Islamists interpreted his visit and speeches as a CCM conspiracy against Islam. As interpreted, his visit led to massive arrests of leading public figures, including Seif Shariff Hamad, who was jailed for allegedly being in possession of secret government documents. He was then purportedly rumored by the CCM on charge of being foreign agent and adui (enemy) of the Union though many young Islamists in Zanzibar extolled him as shujaa (hero) and charismatic leader. He was released in 1991 due to pressure from the Amnesty International.

Prior to his prominence in Zanzibar, Seif Shariff was so active in Islamic movement that he had served as the president of Muslim Students Association of the University of Dar es Salaam (MSAUD), and he worked with Professor Muhammad Hussein Malik, an Islamist from Pakistan who came to Dar es Salaam in 1964. Both Islamists had played a formative role in the ideological development of Muslim Youths in Tanganyika and formed Workshop ya Waandishi wa Kiislamu (Muslim Writers Workshop) in 1975. It was unprecedented that Professor Muhammad was forced to leave Tanzania.

When Seif Shariff returned to Zanzibar, he challenged the status quo and became the most favored leader of the opposition party, the Civic Union Front (CUF) in Zanzibar for the 1995 general election in Tanzania, the last East African country to reluctantly accept the inevitable of multi-partism for power sharing. The state control media favors the CCM which received TShs. 250m (�330,000.00) for her campaign, while the CUF was given only TShs. 1.5m (�1,562.00). Members of the electoral commission are predominantly Christians and some are apologetic to Christianity or puppets of Nyerere who is pathologically opposed to any Islamic leadership for the betterment of the Christian Church Movement in Tanzania.

Myopic beyond help!

Hujikiti kwenye mambo ya msingi ya mada, umechepuka toka kwenye mada kwa kuingiza udini, do you think Watz wote wana dini au wanataka dini?! Pursue GOD do not pursue religion. I am worried as for your trait of mental bondage on other people's works most often, why you have no creativity and initiative?

attachment.php

Do not spoil Muungano!

Taswira kwa hisani ya google.
 
Myopic beyond help!

Hujikiti kwenye mambo ya msingi ya mada, umechepuka toka kwenye mada kwa kuingiza udini, do you think Watz wote wana dini au wanataka dini?! Pursue GOD do not pursue religion. I am worried as for your trait of mental bondage on other people's works most often, why you have no creativity and initiative?

attachment.php


Taswira kwa hisani ya google.


Mimi sina udini , mwenye udini ni huyo aliyeivamia Zanzibar aliyefuata maagizo ya kanisa lake la Kikatoliki

Vitabu vya Kanisa la kikatoliki ndivyo vinavyosema ,

Hayo si maneno ya Gavana



Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu​



- May 02, 2016

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.

Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.

Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.

Kuhusu utendaji wa serikali ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kardinali Pengo anasema hali inaonesha viongozi wa taifa hili wameanza vizuri na kasi yao inaleta matumaini makubwa.
 
Myopic beyond help!

Hujikiti kwenye mambo ya msingi ya mada, umechepuka toka kwenye mada kwa kuingiza udini, do you think Watz wote wana dini au wanataka dini?! Pursue GOD do not pursue religion. I am worried as for your trait of mental bondage on other people's works most often, why you have no creativity and initiative?

attachment.php


Taswira kwa hisani ya google.

Kardinali Pengo anakwambia , huyo mliyempa uungu Yesu , amewapa jukumu la kuulinda muungano huu

Kazi kwako


nyerere.jpg
 
Nyerere ni babako, baba wa Ma-Hizbu, baba wa ASPs, baba wa Zanzibar, baba wa Wasuni, baba wa Washia, baba wa Waibadi, baba wa Wakatoliki, baba wa Waprotestanti, baba wa Wa-Bahai, baba wa Wapagani, baba wa Wahindu, baba wa Tz kupitia Ubaba wake wa Taifa.


Kardinali Pengo anakwambia , huyo mliyempa uungu Yesu , amewapa jukumu la kuulinda muungano huu

Kazi kwako
 
Nyerere ni babako, baba wa Ma-Hizbu, baba wa ASPs, baba wa Zanzibar, baba wa Wasuni, baba wa Washia, baba wa Waibadi, baba wa Wakatoliki, baba wa Waprotestanti, baba wa Wa-Bahai, baba wa Wapagani, baba wa Wahindu, baba wa Tz kupitia Ubaba wake wa Taifa.

Pengo anakwambia ,

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
Nyerere ni babako, baba wa Ma-Hizbu, baba wa ASPs, baba wa Zanzibar, baba wa Wasuni, baba wa Washia, baba wa Waibadi, baba wa Wakatoliki, baba wa Waprotestanti, baba wa Wa-Bahai, baba wa Wapagani, baba wa Wahindu, baba wa Tz kupitia Ubaba wake wa Taifa.


IMG_2885.JPG




1605028_magufuli-pengo.jpg




p6.jpg
 
Mimi sina udini , mwenye udini ni huyo aliyeivamia Zanzibar aliyefuata maagizo ya kanisa lake la Kikatoliki

Vitabu vya Kanisa la kikatoliki ndivyo vinavyosema ,

Hayo si maneno ya Gavana



Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu​



- May 02, 2016

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.

Kardinali Pengo anasema ni jambo la kushangaza jinsi Mungu anavyotenda mambo yake kwa wanadamu kwani alileta Imani Katoliki kupitia Zanzibar na kwamba baada ya Uhuru Mungu aliwapatia neema watu wake wa pande mbili za Zanzibar na Tanganyika kuungana na kuwa kitu kimoja.

Anasema wakati Kanisa likijiandaa kwa adhimisho la Jubilei ya miaka 150 ya uwepo wa Kanisa Katoliki katika eneo la Afrika Mashariki ifikapo 2018 Zanzibar haiwezi kuwekwa pembeni.

Kuhusu utendaji wa serikali ya awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kardinali Pengo anasema hali inaonesha viongozi wa taifa hili wameanza vizuri na kasi yao inaleta matumaini makubwa.
For information sake, the Church is an advocate of Multilateralism, you and your religion are the opposite of the credo.

No one can quantify development of Tz without mentioning noble role of the Church (Roman Catholic inclusive). All Pre and Post Independence Strategic Social Amenities were owned by the Church for universality NOT unilaterality. Get amazed by the following:

Health Services
1. Bugando Medical Centre owned by Catholics.
2. Ndanda Mission Hospital owned by Catholics.
3. Kilimanjaro Medical Centre owned by Lutherans.
4. Mbeya Referal Hospital owned by Moravians.
5. Muhimbili Hospital was originally for Anglicans.
6. Shirati Referal Hospital owned by Mennonites.
7. Kolandoto Mission Hospital owned by African Inland Church Tz.
All the above time memorial.

Education Services
1. St. Francis Pugu owned by Catholics (Rais Big Ben alipita hapa).
2. St. Mary's Tabora school owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Mwl. Nyerere).
3. Minaki school owned by Anglicans.
4. Ndanda Secondary owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Rais Big Ben).
5. Ikizu School (Butiama District) owned by Seventh Day Adventists (hapa ndipo palimpika msomi maarufu duniani Prof. Philemon Sarungi)
6. Cardinal Rugambwa School owned by Catholics.
7. St. John's Mazengo School owned by Anglicans (now St. John's University).
All the above time memorial.

What did your religion offer for Tz since pre and post independence? Zanzibaris (Hizbus inclusive) schooled in those facilities, medically treated in the hospitals, got employment therein afterwards!
 
For information sake, the Church is an advocate of Multilateralism, you and your religion are the opposite of the credo.

No one can quantify development of Tz without mentioning noble role of the Church (Roman Catholic inclusive). All Pre and Post Independence Strategic Social Amenities were owned by the Church for universality NOT unilaterality. Get amazed by the following:

Health Services
1. Bugando Medical Centre owned by Catholics.
2. Ndanda Mission Hospital owned by Catholics.
3. Kilimanjaro Medical Centre owned by Lutherans.
4. Mbeya Referal Hospital owned by Moravians.
5. Muhimbili Hospital was originally for Anglicans.
6. Shirati Referal Hospital owned by Mennonites.
7. Kolandoto Mission Hospital owned by African Inland Church Tz.
All the above time memorial.

Education Services
1. St. Francis Pugu owned by Catholics (Rais Big Ben alipita hapa).
2. St. Mary's Tabora school owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Mwl. Nyerere).
3. Minaki school owned by Anglicans.
4. Ndanda Secondary owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Rais Big Ben).
5. Ikizu School (Butiama District) owned by Seventh Day Adventists (hapa ndipo palimpika msomi maarufu duniani Prof. Philemon Sarungi)
6. Cardinal Rugambwa School owned by Catholics.
7. St. John's Mazengo School owned by Anglicans (now St. John's University).
All the above time memorial.

What did your religion offer for Tz since pre and post independence? Zanzibaris (Hizbus inclusive) schooled in those facilities, medically treated in the hospitals, got employment therein afterwards!

Pengo anakwambia ,

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
For information sake, the Church is an advocate of Multilateralism, you and your religion are the opposite of the credo.

No one can quantify development of Tz without mentioning noble role of the Church (Roman Catholic inclusive). All Pre and Post Independence Strategic Social Amenities were owned by the Church for universality NOT unilaterality. Get amazed by the following:

Health Services
1. Bugando Medical Centre owned by Catholics.
2. Ndanda Mission Hospital owned by Catholics.
3. Kilimanjaro Medical Centre owned by Lutherans.
4. Mbeya Referal Hospital owned by Moravians.
5. Muhimbili Hospital was originally for Anglicans.
6. Shirati Referal Hospital owned by Mennonites.
7. Kolandoto Mission Hospital owned by African Inland Church Tz.
All the above time memorial.

Education Services
1. St. Francis Pugu owned by Catholics (Rais Big Ben alipita hapa).
2. St. Mary's Tabora school owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Mwl. Nyerere).
3. Minaki school owned by Anglicans.
4. Ndanda Secondary owned by Catholics (hapa ndipo palimpika Rais Big Ben).
5. Ikizu School (Butiama District) owned by Seventh Day Adventists (hapa ndipo palimpika msomi maarufu duniani Prof. Philemon Sarungi)
6. Cardinal Rugambwa School owned by Catholics.
7. St. John's Mazengo School owned by Anglicans (now St. John's University).
All the above time memorial.

What did your religion offer for Tz since pre and post independence? Zanzibaris (Hizbus inclusive) schooled in those facilities, medically treated in the hospitals, got employment therein afterwards!

Rais Mkapa anafungia Mwembechai Killings, Kanisa launga mkono!


HABARI za kufungiwa kwa kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania na kwamba kinasomwa kwenye mtandao wa mawasiliano wa kimataifa kupitia kwenye kompyuta (Internet) zaelekea kuzua 'kiwewe' cha aina yake nchini.

Wananchi waliozungumza na AN-NUUR wameeleza kwamba wamesikitishwa na baadhi ya taarifa za habari na maoni ya baadhi ya watu kwamba badala ya kuzungumzia mantiki ya hoja na haja ya kufungia kitabu hicho, uzito unaelekezwa kwenye kutaka kupotosha hisia na mawazo ya wananchi.

Tunajua maadhali Mhe. Rais amekipiga marufuku, si ruhusa tena kukitangaza wala kuzungumzia maudhui yake.

Lakini tunadhani na sisi tuna haki ya kutoa maoni yetu juu ya kauli za baadhi ya watu kufuatia kupigwa marufuku kitabu hicho.

Mrengo wa habari zinazoandikwa kuhusu kitabu hicho zimejaa juhudi ya kutaka kupotosha mawazo na hisia za wanachi kwa lengo la kuchochea na kupandikiza mawazo ya baadhi ya watu wanaotaka kuona Waislamu nchini wanafanywa wananchi wa daraja la pili.

Kitendo cha kukiita kitabu hicho kuwa ni cha Waislamu kina lengo la kujenga dhana kwamba kila kitu kilicho cha Waislamu ni halali kunyimwa haki nchini. Dhana hiyo yaweza kuwa imejengeka kwenye vichwa vya baadhi ya watu wanaofaidika na dhulma ambazo Waislamu wamekuwa wakidai kufanyiwa nchini Tanzania.

Tunadhani Watanzania wangependa kujadili sheria za kupiga marufuku machapisho kama zinafaa kuendelea kuwepo nchini katika zama hizi za demokrasia, ukweli na uwazi kwa mwananchi kutoa maoni yake na wengine kupewa haki ya kuchambua maoni hayo ili kujua ukweli na uongo uliomo katika machapisho hayo.

Kutoa anwani potofu ya kukiita kitabu hicho kuwa ni cha "Waislamu" kunalengo la kuwatoa wananchi kwenye mada ya kujadili umuhimu wa kuwepo baadhi ya sheria miongoni mwa zile 40 ambazo Tume ya Jaji Nyalali iliona zimepitwa na wakati.

Tunaamini kwamba wanaopandikiza anwani hizo wanataka kupotosha fikra za Watanzania ili waamini kuwa jambo lolote la Waislamu, kuonewa ni sahihi.

Watanzania walio wengi hapana shaka wana mwamko na uwezo mkubwa wa kutambua propaganda za maonevu zenye lengo la kutaka kutugawa kwa misingi ya chuki za kidini.

Lakini linalotushangaza zaidi hatuoni ni vipi uongozi wa Kanisa Katoliki ujitokeze kuisemea serikali na uamuzi wa Rais Mkapa katika kukifungia kitabu hicho.

Katibu wa Kardinali Polycarp Pengo, Padri Andrew Luanda amealiambia gazeti moja kuwa "Waislamu hawana sababu ya kulalamika kwa sababu Rais amekipiga marufuku kitabu hicho kwa kutumia mamlaka aliyopewa kikatiba". Katibu huyo wa Pengo akanukuliwa akisema; "Sheria zetu ziko wazi na zinampa uwezo Rais kuchukua hatua fulani katika mambo kadhaa ilimradi mambo hayo yawe yanahatarisha usalama wa jamii".

Aliyepiga marufuku kitabu ni Rais Mkapa. Hata kama kungekuwa na watu wanaohoji uamuzi huo wa Rais, yeye Padri wa Kanisa Katoliki anahusika vipi? Au yeye ndiye pia Mwandishi wa Rais!

Mauaji ya Mwembechai yamechochewa na Padri wa Kanisa Katoliki, Lwambano.

Serikali ikaitikia uchochezi wake, polisi wakaua. Kardinali Pengo akahalalisha mauaji yale akidai hata jiwe linaua.

Leo Mhe. Rais anapiga marufuku maelezo ya Waislamu juu ya mauaji hayo, Padri Mkatoliki anasherehesha amri ya Rais!

Hii si hali ya kawaida. Na Mwandishi hakukosea kwenda kumhoji yeye. Anajua wapi pa kuthibitisha linalokubalika nchini hapa na lisilokubalika. Hakupata taabu kwenda kwa Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani au wenye kitabu chao, bali kwa Pengo.

Amejisemea Dkt. Sivalon, Ukatoliki ulivyojikita katika siasa na serikali imekuwa kama kitu kimoja. Maamuzi na matendo ya serikali huonekana kama ya Kanisa.

--
JuuRUDI
 
Rais Mkapa anafungia Mwembechai Killings, Kanisa launga mkono!


HABARI za kufungiwa kwa kitabu cha Mwembechai Killings and the Political Future of Tanzania na kwamba kinasomwa kwenye mtandao wa mawasiliano wa kimataifa kupitia kwenye kompyuta (Internet) zaelekea kuzua 'kiwewe' cha aina yake nchini.

Wananchi waliozungumza na AN-NUUR wameeleza kwamba wamesikitishwa na baadhi ya taarifa za habari na maoni ya baadhi ya watu kwamba badala ya kuzungumzia mantiki ya hoja na haja ya kufungia kitabu hicho, uzito unaelekezwa kwenye kutaka kupotosha hisia na mawazo ya wananchi.

Tunajua maadhali Mhe. Rais amekipiga marufuku, si ruhusa tena kukitangaza wala kuzungumzia maudhui yake.

Lakini tunadhani na sisi tuna haki ya kutoa maoni yetu juu ya kauli za baadhi ya watu kufuatia kupigwa marufuku kitabu hicho.

Mrengo wa habari zinazoandikwa kuhusu kitabu hicho zimejaa juhudi ya kutaka kupotosha mawazo na hisia za wanachi kwa lengo la kuchochea na kupandikiza mawazo ya baadhi ya watu wanaotaka kuona Waislamu nchini wanafanywa wananchi wa daraja la pili.

Kitendo cha kukiita kitabu hicho kuwa ni cha Waislamu kina lengo la kujenga dhana kwamba kila kitu kilicho cha Waislamu ni halali kunyimwa haki nchini. Dhana hiyo yaweza kuwa imejengeka kwenye vichwa vya baadhi ya watu wanaofaidika na dhulma ambazo Waislamu wamekuwa wakidai kufanyiwa nchini Tanzania.

Tunadhani Watanzania wangependa kujadili sheria za kupiga marufuku machapisho kama zinafaa kuendelea kuwepo nchini katika zama hizi za demokrasia, ukweli na uwazi kwa mwananchi kutoa maoni yake na wengine kupewa haki ya kuchambua maoni hayo ili kujua ukweli na uongo uliomo katika machapisho hayo.

Kutoa anwani potofu ya kukiita kitabu hicho kuwa ni cha "Waislamu" kunalengo la kuwatoa wananchi kwenye mada ya kujadili umuhimu wa kuwepo baadhi ya sheria miongoni mwa zile 40 ambazo Tume ya Jaji Nyalali iliona zimepitwa na wakati.

Tunaamini kwamba wanaopandikiza anwani hizo wanataka kupotosha fikra za Watanzania ili waamini kuwa jambo lolote la Waislamu, kuonewa ni sahihi.

Watanzania walio wengi hapana shaka wana mwamko na uwezo mkubwa wa kutambua propaganda za maonevu zenye lengo la kutaka kutugawa kwa misingi ya chuki za kidini.

Lakini linalotushangaza zaidi hatuoni ni vipi uongozi wa Kanisa Katoliki ujitokeze kuisemea serikali na uamuzi wa Rais Mkapa katika kukifungia kitabu hicho.

Katibu wa Kardinali Polycarp Pengo, Padri Andrew Luanda amealiambia gazeti moja kuwa "Waislamu hawana sababu ya kulalamika kwa sababu Rais amekipiga marufuku kitabu hicho kwa kutumia mamlaka aliyopewa kikatiba". Katibu huyo wa Pengo akanukuliwa akisema; "Sheria zetu ziko wazi na zinampa uwezo Rais kuchukua hatua fulani katika mambo kadhaa ilimradi mambo hayo yawe yanahatarisha usalama wa jamii".

Aliyepiga marufuku kitabu ni Rais Mkapa. Hata kama kungekuwa na watu wanaohoji uamuzi huo wa Rais, yeye Padri wa Kanisa Katoliki anahusika vipi? Au yeye ndiye pia Mwandishi wa Rais!

Mauaji ya Mwembechai yamechochewa na Padri wa Kanisa Katoliki, Lwambano.

Serikali ikaitikia uchochezi wake, polisi wakaua. Kardinali Pengo akahalalisha mauaji yale akidai hata jiwe linaua.

Leo Mhe. Rais anapiga marufuku maelezo ya Waislamu juu ya mauaji hayo, Padri Mkatoliki anasherehesha amri ya Rais!

Hii si hali ya kawaida. Na Mwandishi hakukosea kwenda kumhoji yeye. Anajua wapi pa kuthibitisha linalokubalika nchini hapa na lisilokubalika. Hakupata taabu kwenda kwa Waziri Mkuu, Waziri wa Mambo ya Ndani au wenye kitabu chao, bali kwa Pengo.

Amejisemea Dkt. Sivalon, Ukatoliki ulivyojikita katika siasa na serikali imekuwa kama kitu kimoja. Maamuzi na matendo ya serikali huonekana kama ya Kanisa.

--
JuuRUDI
Jeez!

The substandard Newspaper for incitement; that I don't allow into my eye sight as nothing classical one can refer for academic purpose. It has limited circulation with lean sales proceeds. Not Newspedia to rely on.
 
Jeez!

The substandard Newspaper for incitement; that I don't allow into my eye sight as nothing classical one can refer for academic purpose. It has limited circulation with lean sales proceeds. Not Newspedia to rely on.

I know, you rely on this newspaper

Pengo anakwambia ,

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo
 
Zanzibar ina Rais, ina wimbo wa taifa, ina bendera ya taifa na ya Rais, ina Baraza la Wawakilishi, ina Baraza la Mapinduzi, ina Valantia, Mafunzo na KMKM, ina Serikali Kamili ya Mapinduzi SMZ, ni taifa kamili lililoungana na Tanganyika kutengeneza Tanzania bila kupoteza utaifa wake.

Mojawapo ya sifa za Rais ni kuamuru majeshi yoooote ya Ulinzi na Usalama kwa cheo chake cha Amiri Jeshi Mkuu. Tanzania ina Amiri Jeshi Mkuu mmoja tu anayeamuru majeshi (JWTZ, JKT, Polisi, Magereza, Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi; Katiba ya JMT Ibara ya147 (2) na (4) ingawa ibara ndogo ya 4 haijataja Jeshi la Mgambo, Jeshi Usu la Uhifadhi, Mafunzo Znz, Valantia na KMKM) ambaye ni Rais wa Muungano (isome Ibara ya 147 pamoja na Ibara ya 148 inayohusu madaraka ya Amiri Jeshi Mkuu ili upate muktadha mzuri):-

1. Je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vinaamuriwa na Amiri Jeshi Mkuu (Rais wa JMT)? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ (Zanzibar) ambaye siyo Amiri Jeshi Mkuu?

2. Na kama Rais wa JMT hana Mamlaka kuamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, vinaamuriwa na nani?

3. Je, ni vibaya kama tukifanya marekebisho ya Katiba ili Rais wa Znz ambaye (naomba nitumie neno huenda) ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM aitwe Amiri Jeshi wa Vikosi vya SMZ (tumuongezee hiyo title) ili kuweka perspective vizuri kwa vikosi vya SMZ kuamuriwa na Amiri Jeshi pia kama ilivyo itifaki ya majeshi duniani kote? Kwahiyo Rais wa Znz atakuwa na titles za Rais wa SMZ, Mwenyekiti wa BMZ (Baraza la Mapinduzi Zanzibar), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na AMIRI JESHI WA VIKOSI VYA SMZ (kwa minajili ya itifaki tusimuwekee neno #Mkuu kwenye maneno “Amiri Jeshi Mkuu”).

4. Katiba ya Muungano (ambayo inafanyakazi Znz pia) inazuia mtu, shirika, kikundi isipokuwa serikali kuanzisha majeshi soma Sehemu ya Nane, Sura ya Tisa (Majeshi ya Ulinzi), Ibara ya 147, Ibara ndogo ya (1), uk. 203. Sasa basi, Ibara hii imetaja serikali ndiyo inayoruhusiwa kuunda majeshi lakini haijabainisha ni serikali ipi, ya JMT, ya SMZ au zote?

5. Na kama ni hivyo je, vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM vimeanzishwa na nani? Vinaamuriwa na nani? Anayeviamuru ana wadhifa wa Amiri Jeshi au Amiri Jeshi Mkuu? Je, vikosi hivyo si vinafanyakazi ndani ya mipaka ya JMT? Nani anaamuru ulinzi wa mipaka ya nchi (JMT)?

6. Kama suala la Ulinzi na Usalama ni suala la Muungano je, ni Rais wa JMT ndiye anayeamuru vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM? Au vinaamuriwa na Rais wa SMZ ambaye siye Amiri Jeshi Mkuu na wala siye Rais wa Muungano?

7. Kama tukiruhusu Rais wa Zanzibar awe Amiri Jeshi kwa vikosi vya Mafunzo, Valantia na KMKM je, Zanzibar itakuwa na Waziri wake wa Ulinzi (wa vikosi?)

Mwenye ufahamu na Katiba ya Zanzibar atujuze.

Tuko tayari kujifunza ambayo siyo dhambi hii.
Kwanza Zanzibar haina waziri wa ulinzi. Raisi wa Zanzibar ndiye mwenye mamalaka na Vikosi vya SMZ
Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ (Masoud Ali Mohamed). Huyu ndiye anaye shughulikia vikosi vyote vya SMZ
Vikosi vya SMZ vimeanzishwa na serikali Ya Zanzibar.
Vikosi Vya SMZ havihusiki kulinda mipaka.

Zanzibar kuna:
Jeshi la kujenga uchumi hawa wanahusika zaidi katika kusaidia wanachi kwenye maafa .
Jeshi la magereza ni kulinda Jela zetu.
Jeshi la zimamoto kwa mafaa ya moto na mengine
Jeshi la KMKM ni kama coast guard.
Jeshi la Valantia ni wanmgambo au polisi jamii.

kamanda mkuu wa vikosi hivi ni Raisi wa Zanzibar. Msimamizi ni waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ
 
Kwanza Zanzibar haina waziri wa ulinzi. Raisi wa Zanzibar ndiye mwenye mamalaka na Vikosi vya SMZ
Waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ (Masoud Ali Mohamed). Huyu ndiye anaye shughulikia vikosi vyote vya SMZ
Vikosi vya SMZ vimeanzishwa na serikali Ya Zanzibar.
Vikosi Vya SMZ havihusiki kulinda mipaka.

Zanzibar kuna:
Jeshi la kujenga uchumi hawa wanahusika zaidi katika kusaidia wanachi kwenye maafa .
Jeshi la magereza ni kulinda Jela zetu.
Jeshi la zimamoto kwa mafaa ya moto na mengine
Jeshi la KMKM ni kama coast guard.
Jeshi la Valantia ni wanmgambo au polisi jamii.

kamanda mkuu wa vikosi hivi ni Raisi wa Zanzibar. Msimamizi ni waziri wa Nchi, Afisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ
Good! ufafanuzi mzuri sana, ila pana shida ya tafsiri. Ukiishaita jeshi kimataifa itifaki inahitaji liamuriwe na Amiri Jeshi na siyo tu Kamanda. Labda tuviondolee neno jeshi tuviite tu vikosi ambayo hii inaviondolea maana ya jeshi. Na tuking'ang'ania kuviita jeshi/majeshi basi inabidi Rais wa Zanzibar aongezewe cheo cha Amiri Jeshi, kwa mujibu wa Katiba ya JMT hakuwezi kuwa na Maamiri Jeshi Wakuu wawili.
 
Good! ufafanuzi mzuri sana, ila pana shida ya tafsiri. Ukiishaita jeshi kimataifa itifaki inahitaji liamuriwe na Amiri Jeshi na siyo tu Kamanda. Labda tuviondolee neno jeshi tuviite tu vikosi ambayo hii inaviondolea maana ya jeshi. Na tuking'ang'ania kuviita jeshi/majeshi basi inabidi Rais wa Zanzibar aongezewe cheo cha Amiri Jeshi, kwa mujibu wa Katiba ya JMT hakuwezi kuwa na Maamiri Jeshi Wakuu wawili.
Hapo ndipo unapoona wazi kuwa Uvamizi umeleta balaa Tu Na figisu nyingi . Roho Za watu Na damu mnayoendelea kuimwaga inawatafuna. hata bado

 
Maswali kuntu
Kuna mkuu mmoja alichangia mada (nimei-search ili niirejelee nimeikosa) kwamba Rais wa JMT akitaka kutumia vikosi vya SMZ analazimika kumuomba Kamanda wao ambaye ni rais wa Znz.

Swali.
Amiri Jeshi Mkuu wa JMT kumuomba kibali Kamanda wa vikosi vya SMZ kuvitumia si ni insubordination kwa Amiri Jeshi Mkuu? Kwa hierarchy ya kijeshi nani ni mkubwa kati ya Amiri Jeshi Mkuu na Kamanda?

Katiba zetu mbili zina majibu ya hili?
 
Kuna mkuu mmoja alichangia mada (nimei-search ili niirejelee nimeikosa) kwamba Rais wa JMT akitaka kutumia vikosi vya SMZ analazimika kumuomba Kamanda wao ambaye ni rais wa Znz.

Swali.
Amiri Jeshi Mkuu wa JMT kumuomba kibali Kamanda wa vikosi vya SMZ kuvitumia si ni insubordination kwa Amiri Jeshi Mkuu? Kwa hierarchy ya kijeshi nani ni mkubwa kati ya Amiri Jeshi Mkuu na Kamanda?

Katiba zetu mbili zina majibu ya hili?
Huu Si muungano ni uvamizi Na ndiyo milele Hakuna linaloweza kuwa.hata siku moja
 
Huu Si muungano ni uvamizi Na ndiyo milele Hakuna linaloweza kuwa.hata siku moja
“In Tanzania, it was more than one hundred tribal units which lost their freedom; it was one nation that regained it.” Julius Kambarage Nyerere, from his Stability and Change in Africa speech given to the University of Toronto, Canada, 2 October 1969.

Kabla ya Usultani Zanzibar mimi naamini kuliwa na nchi (siyo taifa) tatu na siyo mbili zilizo kwenye muungano huu nazo ni Pemba, Unguja na Tanganyika. Kudhihirisha ukweli huu ambao wengi hawaujui jaribu kuvunja huu muungano leo utaona hizo nchi tatu zinaibuka Tanganyika, Unguja na Pemba. Hii ni #UN-KWEPABLE
.
 
Back
Top Bottom