Pengo kwenye Muungano

Pengo kwenye Muungano

Huu Si muungano ni uvamizi Na ndiyo milele Hakuna linaloweza kuwa.hata siku moja
Punda (Tanganyika) afe, mzigo (muungano) ufike.
Vinginevyo kama hamkubali muundo huu wa sasa wa muungano basi tufanye maboresho kwamba tuanze awamu mpya ambapo Zanzibar ipotee (kama Tanganyika) ili zibaki Tanganyika (ifufuliwe) na muungano, nadhani hii pia inawezekana pia, kwahiyo kutakuwa na serikali ya Tanganyika na serikali ya muungano.
 
“In Tanzania, it was more than one hundred tribal units which lost their freedom; it was one nation that regained it.” Julius Kambarage Nyerere, from his Stability and Change in Africa speech given to the University of Toronto, Canada, 2 October 1969.

Kabla ya Usultani Zanzibar mimi naamini kuliwa na nchi (siyo taifa) tatu na siyo mbili zilizo kwenye muungano huu nazo ni Pemba, Unguja na Tanganyika. Kudhihirisha ukweli huu ambao wengi hawaujui jaribu kuvunja huu muungano leo utaona hizo nchi tatu zinaibuka Tanganyika, Unguja na Pemba. Hii ni #UN-KWEPABLE
.
Hivyo ndivyo unavyofundishwa Na Kardinal wenu Pengo? Zanzibar ni nchi ya Kiislamu watu wameoana sana Na wana sehemu zao Za kuzikana. Wanaoleta upuuzi huu ni hawa kutoka Tanganyika Na wengi wao ni wakristo waliotumwa kuja kutubatiza. Tunawajua vizuri.
 
Punda (Tanganyika) afe, mzigo (muungano) ufike.
Vinginevyo kama hamkubali muundo huu wa sasa wa muungano basi tufanye maboresho kwamba tuanze awamu mpya ambapo Zanzibar ipotee (kama Tanganyika) ili zibaki Tanganyika (ifufuliwe) na muungano, nadhani hii pia inawezekana pia, kwahiyo kutakuwa na serikali ya Tanganyika na serikali ya muungano.
Lengo lenu ni kuridhia maneno ya Pengo ? Kuulinda uvamizi uliopewa Jina la muungano Kwa hali yoyote Kama mlivyoambiwa Na Yesu kwenye biblia yenu?
 
Hivyo ndivyo unavyofundishwa Na Kardinal wenu Pengo?
I can define Union format using Arithmetic Philosophy for you to understand easily like this may be:

In mathematics, a binary quadratic form is a quadratic homogeneous polynomial in two variables where a, b, c are the coefficients. When the coefficients can be arbitrary complex numbers, most results are not specific to the case of two variables, so they are described in quadratic form.

So if you can't understand texts try numbers based on the above Mathematical linguistic expression.
 
I can define Union format using Arithmetic Philosophy for you to understand easily like this may be:

In mathematics, a binary quadratic form is a quadratic homogeneous polynomial in two variables where a, b, c are the coefficients. When the coefficients can be arbitrary complex numbers, most results are not specific to the case of two variables, so they are described in quadratic form.

So if you can't understand texts try numbers based on the above Mathematical linguistic expression.
Mathematic ya kufuata amri ya kanisa kuuwa watu Na kumwaga damu kulazimisha uvamizi kila baada miaka mitano , eti Yesu kaamrisha mauwaji hayo kuuwa wapinga Ukristo Na Muungano
 
Mathematic ya kufuata amri ya kanisa kuuwa watu Na kumwaga damu kulazimisha uvamizi kila baada miaka mitano , eti Yesu kaamrisha mauwaji hayo kuuwa wapinga Ukristo Na Muungano
Disclaimers No. 8 ya JF

Epuka kutukana, kushambulia au kukwaza wengine: Maandiko ya chuki na yenye mrengo wa kuwashambulia watu hayatovumiliwa na JamiiForums. Wachukulie (waheshimu) wengine kama ambavyo wewe unataka uchukuliwe (uheshimiwe). Hivyo, kuleta andiko ambalo litachochea muitikio hasi kwa watu wengine inashauriwa kuepukwa.

Jiepushe kutuma kitu chochote ambacho ni kichafu, chukizo au cha kudhalilisha ambacho kinaweza kuvunja haki miliki ya mtu au haki yake ya faragha (privacy). Ikiwa unajiuliza mwenyewe kama jambo fulani linafaa, yawezekana halifai.

Nimenukuu kama ilivyoandikwa.
 
I can define Union format using Arithmetic Philosophy for you to understand easily like this may be:

In mathematics, a binary quadratic form is a quadratic homogeneous polynomial in two variables where a, b, c are the coefficients. When the coefficients can be arbitrary complex numbers, most results are not specific to the case of two variables, so they are described in quadratic form.

So if you can't understand texts try numbers based on the above Mathematical linguistic expression.
Lengo lenu ni kutubatiza lakini tutapambana nanyi kwa kutumiwa Mathematica.
Gogo tunalitafuna kama mchwa Na limeshaanza kumeguka kidogo kidogo , ni muda tu panapo majaaliwa litaanguka pwaaaaa
 
Disclaimers No. 8 ya JF

Epuka kutukana, kushambulia au kukwaza wengine: Maandiko ya chuki na yenye mrengo wa kuwashambulia watu hayatovumiliwa na JamiiForums. Wachukulie (waheshimu) wengine kama ambavyo wewe unataka uchukuliwe (uheshimiwe). Hivyo, kuleta andiko ambalo litachochea muitikio hasi kwa watu wengine inashauriwa kuepukwa.

Jiepushe kutuma kitu chochote ambacho ni kichafu, chukizo au cha kudhalilisha ambacho kinaweza kuvunja haki miliki ya mtu au haki yake ya faragha (privacy). Ikiwa unajiuliza mwenyewe kama jambo fulani linafaa, yawezekana halifai.

Nimenukuu kama ilivyoandikwa.
Nimemtukana Nani hapo au ukweli unameanza kukuchana maini ?
 
Try understanding issues in a wider spectrum so you may not offend yourself whatsoever.
Usiandike kwa lugha ya watu ambayo hujaisoma vizuri . Andika kwa lugha ya kiswahili kama unakijua ? Usijiaibishe bure


 
Usiandike kwa lugha ya watu ambayo hujaisoma vizuri . Andika kwa lugha ya kiswahili kama unakijua ? Usijiaibishe bure



Mkuu,
Sorry me for my Socratic model of criticism & facts presentation. You may choose to put up with me for I’m helping out your pupilage.
 
Sorry me for my Socratic method of criticism & facts presentation. You may choose to put up with me for I’m helping out your pupilage.
Kajifundishe kuandika kiengereza bado hujui kitu. Waachie wenyewe, usijifanye mtaalamu Hunaga
 
Kajifundishe kuandika kiengereza bado hujui kitu. Waachie wenyewe, usijifanye mtaalamu Hunaga
Mkuu,
Having analyzed you, I’m tempted to think that you have chronic deficiency in linguistic homonyms, homophones and homographs. Difficult to craft you anew at an adult age for “a fool at 40 is a fool forever”
 
Usijiaibishe bure, hujui English bado
Mkuu,
By the way, what is your Alma mater? ((could it be the one that replaced the old Tanesco College?) where students’ “A” scores turn “C” in practical work life!).
 
Kamwambie Pengo Na kanisa lako la kikatoliki Mimi sijasema kitu wala kuandika kitabu cha kanisa kinachozungumzia Uvamizi uliopewa Jina la muungano
Mkuu,
You are a jolted Wordsmith juggling with digital texts to force a meaning like a Songstress or a Poetic-lyricist.
 
Back
Top Bottom