Uchaguzi 2020 Pengo la kukosekana Slaa na Lowassa laonekana wazi CHADEMA

Uchaguzi 2020 Pengo la kukosekana Slaa na Lowassa laonekana wazi CHADEMA

Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowasa ndio waliipaisha Chadema kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana Chadema siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowasa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za Chadema Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya Chadema daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya Chadema
Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lisu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowasa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lisu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo!!!!?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Basi waipaishe Ccm kwa sasa inayotumia wasanii,kugawa tisheti na kofia na khagha,hata Mimi takwenda kwenye mikutano kwa ajili ya burudani tu
 
Slaa alikua padri na makanisayaliunganna kumpinga Kikwete. Slaa Hakua popular zaidi ya udini ulitumika.
Lissu anakubalika sana kuliko magufuli na ni bora mara milion
Haya wewe wasema. Nasubili nikuone kwenye maandamano ya amani.
Munaanzia wapi kweli?
 
Lisu alipaswa mwaka huu apumzike kwanza.....maaana anaonyesha kupaniki sana hadi wafuasi wanaogopa......anaonekana yuko desperate .....bado hajatulia vizuri, bora angeshauriwa mwaka huu apumzike tu ajipange na ajiandae kiakili na mwili....maana zoezi la uchaguzi mkuu sio lele mama.
mwaka huu chadema itashindwa vibaya sana haijawahi kutokea ktk chaguzi zozote za nyuma

Kama ccm ilivyoishinda cdm kwenye uchaguzi wa SM.
 
Hayo ya lowassa mi cjui ila Slaa ndo aliyeiimarisha CDM sasahivi hata mikutano yao siendi mtu Hana hoja akimbilia nkipigwa risasi 16 cjui anataka kupata naye alipizee au? Zengwe mpaka wajielewe
 
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowasa ndio waliipaisha Chadema kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana Chadema siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowasa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za Chadema Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya Chadema daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya Chadema
Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lisu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowasa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lisu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo!!!!?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema

Nyie ndio mnaolipwa na Dr Zack wa Twitter?
 
Matusi yann kaka?

Siasa amani na upendo....

Hata chadema ikishinda hutapata chochote wala maisha yako hayatabadilika...

Calm down bro[emoji3][emoji3]
Ukitaka kujua wanaccm wote ni majuha, hakuna mwenye wazo tofauti, wote mnakuja na picha hizi hizi. Kila mmoja ana copy hiyo hiyo na kuweka maneno.
 
Kama Chadema haina nguvu mbona mnawaengua wagombea wake bila sababu za maana?

Wacheni kujidanganya, Chadema is here to stay.
 
Ukiniambia Pengo la Dr Slaa nitakuelewa,ila Lowassa hapana.Huyu ndio aliyeifanya CDM sasa hivi iwe hivi,aliiharibu pakubwa mno
 
Slaa na Lowassa, waliwaingiza Chadema cha kike🤣🤣
 
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowasa ndio waliipaisha Chadema kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana Chadema siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowasa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za Chadema Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya Chadema daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya Chadema
Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lisu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowasa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lisu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo!!!!?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema

Pengo la Lowassa/Slaaa!!You must be joking!! Afadhali ungalisema Slaa kwani Lowassa = Membe = Zitto. Act wazalendo imekula kwao! Walivuruga 2015 what else do you expect? Naamini Wazalendo hawapati mbunge hata mmoja Bara labda visiwani ni 4 (nne). CUF = Capital ZERO. CCM haipo tena ICU ile ya 2015!!! Dalili(symptoms) zipo kwani wabunge 18 washapita bila kupingwa kana kwamba hakuna vyama 17 vya upinzani Tanzania. Kama kimoja kimeenguliwa vipi aspirants(wabunge watarajiwa) wa vyama vingine????? Tatizo ni ‘EGOISM’. Period.
 
Back
Top Bottom