Uchaguzi 2020 Pengo la kukosekana Slaa na Lowassa laonekana wazi CHADEMA

Uchaguzi 2020 Pengo la kukosekana Slaa na Lowassa laonekana wazi CHADEMA

Lisu alipaswa mwaka huu apumzike kwanza.....maaana anaonyesha kupaniki sana hadi wafuasi wanaogopa......anaonekana yuko desperate .....bado hajatulia vizuri, bora angeshauriwa mwaka huu apumzike tu ajipange na ajiandae kiakili na mwili....maana zoezi la uchaguzi mkuu sio lele mama.
mwaka huu chadema itashindwa vibaya sana haijawahi kutokea ktk chaguzi zozote za nyuma
ANATUFOKEA BADALA YA KUHUTU BIA DUUU
 
Kwa mazingira ya kisiasa yalivyo tangu 2015 mpaka leo hakika Lile nyomi la mbagala limetuma message kwa watawala kwamba upinzani hauwezi kufa
Nyomi? Wewe utakua siyo mzima. Wenzio Jana wamelala na stress, we unaleta propaganda za kijinga
 
Kama hana mvuto wa kisiasa kwanini mnatumia nec kupanga matokeo, hadi wananchi tunachaguliwa viongozi wetu.. Nchi inamambo sana hii
Wafate sheria na sio NEC mlishaambiwa aatu wenunwapate msaada wa kisheria lakini hamtakia kusikia CCM wanachukuwa form kisha kwa pamaoja wanaenda kujaza wakisimamiwa na wanasheria wao, sasa nuinyi huyo TL na Kibatala sijui wana kazi gani huko?
 
Huu ndio ukweli ambao chadema wanaujua lakini hawataki watu wauseme .
Chadema ni vinega.
 
Kwa mwaka huu tunaenda na CHAUMA. Mtu pekee anaetarajiwa kutoa upinzani kwa mzee RUNGWE kwa mbaaali sana labda ni JPM tu.
 
Piga Chini,Chadema ni taasisi ya Umma ina wanachama nchi nzima, Kuwepo kutokuwepo kwa Slaa na Lowasa hakupunguzi wanachama wengine.#YEHODAYA hujakuwepo katika uzinduzi wa kampeni za Chama Makini ndio sababu unawayawaya!

Bendera za Chadema kutokuonekana mitaani si sababu yenye mantiki maana hata vyama vingine vina bendera lakini hakuna wanachama.

Chadema kinazidi kuungwa mkono na watanzania walio wengi mara baada ya kuonekana chama hiki kina nia ya dhati ya kuwakomboa watanzania katika madhila ya utawala wa kibabe uliodumu kwa zaidi miongo sita.
 
mm nililiona hili mapema sana. kwanza kumbuka hata walivyokuwa anakusanya wadhamini hakuwa na umati wowote kwani watu walikuwa wakishangaa pikipiki wanapita barabarani na masokoni alafu anasema amepokelewa na umati kumbe watu walikuwa wakimshangaa. hili nilijua mapema sana. alafu hana mvuto yuko paparapara sana na kuangaliangalia km vile mtu anaiba kitu fulan kutazama huku na kule yaan hajatulia kabisa
 
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za Chadema Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya Chadema daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya Chadema
Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo!!!!?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Kura 2M akizipata nipigwe ban.



MAGUFULI4LIFE.
 
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za CHADEMA Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya CHADEMA daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya CHADEMA. Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Nakubaliana nawe mkuu. Ni sawa na huku Kyela, CHADEMA bila Abraham MWANYAMAKI mgombea Ubunge 2015, hakuna mtikisiko, ushindani na mvuto wa Uchaguzi Mkuu 2020.
 
Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha

Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za CHADEMA Chadema people's power ziliimbwa

Siku za mikutano ya CHADEMA daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya CHADEMA. Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma

Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba

Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno

Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo?

Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema

Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.

Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Hakuna Pengo labda unazungumzia Pengo Askofu wa Dar
 
Back
Top Bottom