ANATUFOKEA BADALA YA KUHUTU BIA DUUULisu alipaswa mwaka huu apumzike kwanza.....maaana anaonyesha kupaniki sana hadi wafuasi wanaogopa......anaonekana yuko desperate .....bado hajatulia vizuri, bora angeshauriwa mwaka huu apumzike tu ajipange na ajiandae kiakili na mwili....maana zoezi la uchaguzi mkuu sio lele mama.
mwaka huu chadema itashindwa vibaya sana haijawahi kutokea ktk chaguzi zozote za nyuma
Nguvu kubwa ya kwenye keyboardLissu atashinda Ila nguvu kubwa bado itahitajika
Nyomi? Wewe utakua siyo mzima. Wenzio Jana wamelala na stress, we unaleta propaganda za kijingaKwa mazingira ya kisiasa yalivyo tangu 2015 mpaka leo hakika Lile nyomi la mbagala limetuma message kwa watawala kwamba upinzani hauwezi kufa
Ni kweli na pia unatakiwa uachane na hisia na kuangalia ukweli hata kama mchungukuna nyakati zikifika unapaswa kuwa huru ki fikra
Wafate sheria na sio NEC mlishaambiwa aatu wenunwapate msaada wa kisheria lakini hamtakia kusikia CCM wanachukuwa form kisha kwa pamaoja wanaenda kujaza wakisimamiwa na wanasheria wao, sasa nuinyi huyo TL na Kibatala sijui wana kazi gani huko?Kama hana mvuto wa kisiasa kwanini mnatumia nec kupanga matokeo, hadi wananchi tunachaguliwa viongozi wetu.. Nchi inamambo sana hii
Matusi ya nnhauna akili ww, mazingira ya sasa ya kisiasa na nyakati zile yanafanana???.
Kura 2M akizipata nipigwe ban.Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha
Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za Chadema Chadema people's power ziliimbwa
Siku za mikutano ya Chadema daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya Chadema
Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma
Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba
Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno
Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo!!!!?
Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema
Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.
Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Majibu tutayapata jamhuri Dodomahauna akili ww, mazingira ya sasa ya kisiasa na nyakati zile yanafanana???.
Nakubaliana nawe mkuu. Ni sawa na huku Kyela, CHADEMA bila Abraham MWANYAMAKI mgombea Ubunge 2015, hakuna mtikisiko, ushindani na mvuto wa Uchaguzi Mkuu 2020.Tukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha
Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za CHADEMA Chadema people's power ziliimbwa
Siku za mikutano ya CHADEMA daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya CHADEMA. Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma
Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba
Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno
Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo?
Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema
Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.
Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema
Hakuna Pengo labda unazungumzia Pengo Askofu wa DarTukiwaambia kuwa Slaa na Lowassa ndio waliipaisha CHADEMA kisiasa Chadema wanajifanya kubisha
Lakini ushahidi wa wazi umeanza kuonekana CHADEMA siku Kama hizi miaka ya akina Slaa na Lowassa Chadema mitaani kote kulipambwa bendera za Chadema na kila Kona nyimbo za CHADEMA Chadema people's power ziliimbwa
Siku za mikutano ya CHADEMA daladala zilizidiwa uwezo watu walikanyaga kwa miguu toka mbali kuhudhuria mikutano ya CHADEMA. Sasa hivi hadi uzinduzi tu unatia huruma
Tundu Lissu naona keshaanza kupata meseji kuwa Sio popular na Hana nyota ya kuvuta watu wengi kwenye mikutano Kama ealivyokuwa akina Slaa na Lowasa Hana mvuto kabisa yaani crowd pulling ability ambayo Ni muhimu Sana kisiasa kuliko hata hotuba
Lowassa akihutubia sekunde tu lakini umati aliokuwa akikusanya Ni mkubwa mno
Lissu ana hotuba ndeeeeefu kwenye crown ndogo?
Tuliona Enzi hizo za Lowasa na Slaa mikutano Yao inajaa kiasi kuwa Huwezi piga kwa camera ya kawaida mikutano ilipigwa kwa drones zilizorushwa angani lakini Sasa hata ukiwa na Nokia tochi waweza piga mkutano wote wa Chadema
Inadikitisha Baada ya uchaguzi Mbowe ajiuzulu tu apishe mwingine.
Bila kumeza maneno Hali Chadema Ni mbaya mwenye macho hahitaji kuambiwa tazama aangalie tu idadi ya wahudhuriaji kwenye mikutano ya kampeni ya Uraisi ya Chadema