Peniela (Story ya kijasusi)

Mkuu umesema kuwa peniel itabidi isubri kwa siku kadhaa, je ni kwa mda upi, maana mm ckuwahi kusoma kabla ya hii....so kwangu hii naifuatilia.....lini utashusha mzigo?
nazani baada ya wiki 2 au moja hivi siunajua uandishi ni fani na kuna mambo mengi so ni lazima kunakufanyiwa editing n.k

na huwa inategemea huyo aliyepewa kuisoma na kuisahihisha ana kasi gani ya kuisoma.ila baada ya wiki moja mambo yatakuwa fresh kbs
 
Nitavipataje hivyo vitabu vya tuwa please
 

Bad news
 
Ok ngoja niendelee kusoma ile before i die... Japo peniel kaniingia balaaaa...
 
Mimi Bw ni Husein Tuwa jamaa yuko vizuri balaa ktk hii tasnia
 
Mwenye Pahala ambako naweza Soma Riwaya ya Mkimbizi Mwanzo mwisho Mtandaoni Anielekeza Tafadhali
kulikuwa kuna page ya kusoma lkn naona washa isitisha na hata hivyo kule online walikuwa hawajaiweka yote kama ilivyokamilika kwenye kitabu hivyo fanya mpango upate tuu kitabu mkuu
 
Simu ya kifo ni Faraji Katalambula.

Nimekuinbox mkuu hivyo vya Msiba navihamu sana.
 
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…