Peniela (Story ya kijasusi)

Mkuu hiyo Kisasi ninayo sema sio ile kikosi cha kisasi ya Musiba.
hii ni tofauti ipo humu ililetwa humu na member mwenzetu Willy Gamba 1 ukitafuta utaipata tu kama hujaiona fungua page inayofata katika hiyo searching yako.
Kumbe...arrrrrgh
 
I miss you Peniela.i wish you could be here with me......LEGE plssssss
 
nimekimbia weee nikakuta watu wanasubiri.. hahaha ningejua ningetembea tu
 
hahahha mkuu haina shida usiwe naq hofu .uzuri nilitoa taarifa mkuu zikiisha 2 week hapo ndio inabidi kuuliza kulikoni
LEGE
umefanya nikapewa barua ya onyo kazini, haitoshi umesababisha mke wangu anione simjari, hukuishia hapo umesababisha kukatri na kubadili ratiba yangu ya kulala, hukuridhika na hayo yoooooooote ukanifanya kijakazi wa simu yangu,
Ukaenda mbari zaidi ukanifanya ninunue kifaa cha kutunzia moto, yani benki ya nguvu,
Sikutarajia kama utanigeuza mgonjwa wa macho.

Ukaona haitoshi ukabadili mawazo kichwani mwangu kwa kuifuatlia hadithi hii na kutumia mbio nyingi ili nifike hapa mlipo, nilianza peji hii ujurasa wa kwanza na wakati nikiangalia nadaiwa peji miambili.

Kilichoniacha hoi nikawa mlevi na kuwa mtumwa wa hili

Mwisho wa siku umeniacha solemba huku nikiwa naikaribia furaha yangu, kuuona ushindi wa mathew na sasa nikeathirika kwa kuwa mahututi wa ugonjwa ambae tabibu wake ni LEGE na tiba yake ni hadithi ya pamela.


Ooooooooooooh LEGE hivi kwa hili hukunionea huruma nikakura ujumbe mzito eti mpaka wiki mbili mbele, hapana lege plz niokoe katika ugonjwa shauku

Walaka huu nauandika nikiwa naamanisha kutoka katika chemba za moyo wangu, plz lege malizia tafadharo bora utupie moja kusha useme huu ndio mwisho wa story uli niwe huru katika kifungo, sina amani ,nakosa raha lege, irudishe furaha tangu mahala pake, kwani iliwekwa mda mlefu kama kirusi cha Aby 16. Hivyi usiitoe haraka kama Dr , lege nakuomba jari hisia na afya za watu zinazozorota kwa kuikosa furaha yao,

Watu tunatamani kushuhudia hatma ta
Mathew na kundi lake,
Team sc41
Dr Joshua na genge lake
Madam Rosy na kundi lake,
Nzee Deusi na nia take
Huyu mmalekani na nia yake
Dr kigomba na kundi lake



Na mwisho kabusa hatima ya kirusi kileee


Plz LEGE tuwekeweee[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…