Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe...arrrrrghMkuu hiyo Kisasi ninayo sema sio ile kikosi cha kisasi ya Musiba.
hii ni tofauti ipo humu ililetwa humu na member mwenzetu Willy Gamba 1 ukitafuta utaipata tu kama hujaiona fungua page inayofata katika hiyo searching yako.
Hofu iko wapi mkuu?? Imeisha??Sema kweli? Mimi nahitaji Hiyo kisasi. Humu IPO UCHU na HOFU sijaona KISASI humu. Copy Hiyo link na kuiweka hapa.
Tunatapatapa wenzio kwa peniela bora ungekua unatembea ukaikuta imeishaNimewakimbiza mpaka nimewakamata ngoja sasa nisubiri muendelezo
hahahha mkuu haina shida usiwe naq hofu .uzuri nilitoa taarifa mkuu zikiisha 2 week hapo ndio inabidi kuuliza kulikoni
Mkuu hata ile miss tanzania umeitelekezahahahha mkuu haina shida usiwe naq hofu .uzuri nilitoa taarifa mkuu zikiisha 2 week hapo ndio inabidi kuuliza kulikoni
Hahahahanimekimbia weee nikakuta watu wanasubiri.. hahaha ningejua ningetembea tu
LEGEhahahha mkuu haina shida usiwe naq hofu .uzuri nilitoa taarifa mkuu zikiisha 2 week hapo ndio inabidi kuuliza kulikoni