Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

kwahiyo atanitumia kwa njia gani sijaelewa yani kwa email au? (Soft copy or hardcorpy)
atakutumia kwa njia ya watsapp.sema usijipe presha ww soma hizo 4 hapahapa then season ya 5 mfuate kule lkn kma unavyojua kwenye group huko hupewi yote kwa mara moja kwa siku unapewa season sehem 1 or 2 tuu basi.
 
View attachment 412354

MZIGOO HUO HAPO KAMA UTAHITAJI KUMUUNGA MKONO MWANDISHI SIO MBAYA JAPO UKIMCHANGIA PESA YA WINO TUU.SIO LAZIMA LKN MAANA WENGI WALIKUWA WANA HOJI NI VIPI MTUNZI ANAFAIDIKA NA KUNUFAIKA?? KWA HIYO SEASON 1 TUU NI 4500 TZS.

namba ya mtunzi 0764294499. au kama ukitaka kulipia ili aweze kukutumia ili uondokane na kero ya kuja kuchungulia jf nayo sawa mcheki hapo.but mzigo now utamwagwa mwanzo mwisho.

na wale mlio kuwa mnalalamika kuwa nawazingua bandiko hilo toka kwa mtunzi so kuweni wapole
Mkuu s1 pekee ni tsh 4500 kwa hyo kwa s5ntahitaji 22000?
 
Mkuu s1 pekee ni tsh 4500 kwa hyo kwa s5ntahitaji 22000?
ndio maanake mkuu ukiwa mpenzi wa story unajikamua tuu haina jinsi lkn zile za mwanzo alikuwa anauza 3000
 
ndio maanake mkuu ukiwa mpenzi wa story unajikamua tuu haina jinsi lkn zile za mwanzo alikuwa anauza 3000
Sorry,kwanini asifanye elfu tano(5,000) kama kiingilio cha kwenye group kwa maana mtu akishalipia anakuwa added kwenye hilo group na kusoma story yote kuliko iyo 4500 per Season naona ni kubwa mno Sorry lakini ni ushauri tu brother
 
Wkend hiii napata henessy yangu taratibu nikisubiri mahaba ya mtoto Peniela ...Dah nimemmiss sana mtotoz.Mkuu LEGE jumamosi na jumapili tukimaliza mzigo uniambie kinywaji unachotumia nikutumie popote utakapokuwa😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Wkend hiii napata henessy yangu taratibu nikisubiri mahaba ya mtoto Peniela ...Dah nimemmiss sana mtotoz.Mkuu LEGE jumamosi na jumapili tukimaliza mzigo uniambie kinywaji unachotumia nikutumie popote utakapokuwa😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Hiki kizazi cha digital kama mie .... Nitamaliza kwelii.... Ndefuu khaaa.... Kuna movie au series yake nijuze utanisaidia sana.....
 
sio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.

ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.
Dah mkuu hata sijui mkuu but what I knw is umetuonjesha asali hatuna budi kuchonga mzinga
 
Back
Top Bottom