atakutumia kwa njia ya watsapp.sema usijipe presha ww soma hizo 4 hapahapa then season ya 5 mfuate kule lkn kma unavyojua kwenye group huko hupewi yote kwa mara moja kwa siku unapewa season sehem 1 or 2 tuu basi.kwahiyo atanitumia kwa njia gani sijaelewa yani kwa email au? (Soft copy or hardcorpy)
Wapi uko na mm nije kuchukua machungwaLege ubalikiwe ukitoka job pita kibandani kwangu apa nnapouzia machungwa uchukue ya juice
Gud neeeezeeeeeMKAO WA KULA PENIELA RASMI INAKUWA HEWANI WEEK END JMOSI .PUNGUZE MUNKARI WAKUU NA TUOMBEANE UZIMA. NA ASIPIGWE BURN MTU.
Mkuu s1 pekee ni tsh 4500 kwa hyo kwa s5ntahitaji 22000?View attachment 412354
MZIGOO HUO HAPO KAMA UTAHITAJI KUMUUNGA MKONO MWANDISHI SIO MBAYA JAPO UKIMCHANGIA PESA YA WINO TUU.SIO LAZIMA LKN MAANA WENGI WALIKUWA WANA HOJI NI VIPI MTUNZI ANAFAIDIKA NA KUNUFAIKA?? KWA HIYO SEASON 1 TUU NI 4500 TZS.
namba ya mtunzi 0764294499. au kama ukitaka kulipia ili aweze kukutumia ili uondokane na kero ya kuja kuchungulia jf nayo sawa mcheki hapo.but mzigo now utamwagwa mwanzo mwisho.
na wale mlio kuwa mnalalamika kuwa nawazingua bandiko hilo toka kwa mtunzi so kuweni wapole
Pitia ukurasa moja moja utaziona ipo mpaka series 4. Ila 5 ndo tupo kwenye folenjamani hizo season 4 mbona sizioni mpaka natamaani kulia.
Sorry,kwanini asifanye elfu tano(5,000) kama kiingilio cha kwenye group kwa maana mtu akishalipia anakuwa added kwenye hilo group na kusoma story yote kuliko iyo 4500 per Season naona ni kubwa mno Sorry lakini ni ushauri tu brotherndio maanake mkuu ukiwa mpenzi wa story unajikamua tuu haina jinsi lkn zile za mwanzo alikuwa anauza 3000
Asante nimepitia niko katikati nadhani mpaka jumamosi ntakuwa na nyie.. asante sana.Pitia ukurasa moja moja utaziona ipo mpaka series 4. Ila 5 ndo tupo kwenye folen
Kwa jumamosi huwezi kutufikia, ila kaza buti na piga moyo konde.Asante nimepitia niko katikati nadhani mpaka jumamosi ntakuwa na nyie.. asante sana.
Wkend hiii napata henessy yangu taratibu nikisubiri mahaba ya mtoto Peniela ...Dah nimemmiss sana mtotoz.Mkuu LEGE jumamosi na jumapili tukimaliza mzigo uniambie kinywaji unachotumia nikutumie popote utakapokuwaππππππππ
Mwenye link ya riwaya ya HOFU naomba aniwekeeAfadhali sasa
Dah mkuu hata sijui mkuu but what I knw is umetuonjesha asali hatuna budi kuchonga mzingasio kweli mkuu hii ni wiki ya 2 na ndani ya wiki hii mambo yatakuwa fresh mkuu usiwe na wasi mambo mazuri hayataki haraka.
ww siumeiona story hiyo ilivyo kwa makadilio yako unafikiri mpaka ilipofikia iliandikwa kwa mda gani?.