Peniela (Story ya kijasusi)

Kuna bahadhi ya mambo ukiyabashiri yanakuja kama ilivyo......
Tusubiri tuone
 
Asante sana LEGE, nimefika hapa. Very interesting.
 
Shukrani.. kwa hadithi LEGE ila usisahau kushusha jioni mzigo wa kutosha ili tuipokee weekend tukiwa tunasoma storry na siyo bar
 
We lege kwakweli nakulaumu kwa kunifanya macho yaniume na nilale saa tisa kisa nasoma story yako
 
Thenks LEGE Leo siku ya 4 sijasoma jambo lolote jr zaidi ya hii story Na nimeweza kulingana Na walio iyona kuanzia Mwanzo
Thenks tena ngoja nisubirie hiyo ijayo maana tusha maliza swala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…