Hahaha, nyie jamaa banaArooo usirete za kureta...kama wewe narara usifikiri kila mtu anarara....
Anataka kutukosesha uhondo haha tutamshughulikia ohooHahaha, nyie jamaa bana
Wamarekani wameshambadili akili tusimlaumu sana...peniela mwenyewe alikiri kujikuta anaipenda tu hyo kaziMathew mpaka sasa naamini anafanya kazi yake kizalendo ana uchungu na nchi yake but John no
Brain wash...Wamarekani wameshambadili akili tusimlaumu sana...peniela mwenyewe alikiri kujikuta anaipenda tu hyo kazi