Dah ni kweli kabisa na Mathew akianza kula mzigo itakuwa balaa maana naye ana ukame wa muda.Lakini Peniella naye kama ameamua kutulia asichanganyeKwenye papuchi hakunaga iyo mathew uzalendo ushamshinda na peni ameshasoma mchezo
Kumbe sipo peke yangu,mi ni mpenzi wa Jack Bauer kwenye 24hrs kila siku huwa naichungulia kiasi lakini Lege kanifanya niipotezeeMkuu usicheke unajua hii nayo ni issue serious ....LEGE amenibrain wash mpaka nimeacha kuangalia movie zangu.
Mkuu mimi hata wasup facebook instagram kote niacha niko hapa namsubiria LEGE utafikiri ameniweka kwenye kichupa....poor meKumbe sipo peke yangu,mi ni mpenzi wa Jack Bauer kwenye 24hrs kila siku huwa naichungulia kiasi lakini Lege kanifanya niipotezee
Naye yule pamoja kuwa anatumiwa lkn ana ukicheche flanDah ni kweli kabisa na Mathew akianza kula mzigo itakuwa balaa maana naye ana ukame wa muda.Lakini Peniella naye kama ameamua kutulia asichanganye
Haha haha hahaaa ukicheche upo lakini nafikiri atafika mahali atatulia dah ingekuwa inaacha alsma angekuwa na majipu kabisaNaye yule pamoja kuwa anatumiwa lkn ana ukicheche flan