Peniela (Story ya kijasusi)

Daah, yaani interval ya Jana jioni na Leo nimekuta nimepigwa gap la hatari. Wadau, Nimejitahidi sana kuwakimbiza Leo mchana hadi nimewapata, japokuwa njiani nimekumbana na changamoto za mbonji ndo maana nimechelewa kuwapata mapema.
Karibu mkuu tunasubiri mzigo wajioni uwekwe tujiandae na kazi kesho.Nimemuita sana LEGE lakini kimyaaaa
 
MKUU LEGE jitokeze hadharani umwage vipande 5 au zaidi ili tulale maana kesho job na giza limeingia nakusubiri wewe tu.Je unakuja ama...m..?
 

LEGE pls weka vitano vya kumalizia siku

LEGE kesho monday pls fanya mapema tumalize

LEGE weka 5 pcs tumalize siku


LEGE delegate basi kwa watu wako kama uko busy

LEGE nataka nijitayarishe kwa job kesho naomba uje uweke 5 pcs .....pls



Dah ni kweli kabisa na Mathew akianza kula mzigo itakuwa balaa maana naye ana ukame wa muda.Lakini Peniella naye kama ameamua kutulia asichanganye

Mkuu mimi hata wasup facebook instagram kote niacha niko hapa namsubiria LEGE utafikiri ameniweka kwenye kichupa....poor me

LEGE LEGE LEGE LEGEEEEE its time tupia vitano vya usiku

54,897 ndio viewers wa simulizi hili mpaka sasa mkuu LEGE.na replies ni kama mia tisa na sasa ili usitupoteze hakikisha unakuwa consistency...MKUU LEGE UPO.Umehamishia JF kwenye thread yako tumekukubali sasa usichezee bahati kama hizi mkuu .

Haha haha hahaaa ukicheche upo lakini nafikiri atafika mahali atatulia dah ingekuwa inaacha alsma angekuwa na majipu kabisa

Ila Rosemary ana jeuri sijapata ona...dah


LEGE mwaga vitu mkuu

LEGE weka 5 pcs

LEGE weka 5pcs or more

LEGEE LEGEE


LEGE njoo ushushe vitano vya usiku

LEGE its almost time shusha vitu tujitayatishe kwa kazi kesho

LEGE wote tuko hapa tunasubiri pls shusha 5 or more tulale


Ues Kamkabidhi vizuri Mathew na hiyo ngoma otachezwa sawasawa

Dah sijui kwanini sipendi fumanizi litokee lakini siku Peniela akishikwa na Mathew nafikiri ataimba nyimbo za kichina maana Mathew ana ukame balaa

Karibu mkuu tunasubiri mzigo wajioni uwekwe tujiandae na kazi kesho.Nimemuita sana LEGE lakini kimyaaaa

Wameshamuwahi dah alikuwa anacheza kotekote

MKUU LEGE jitokeze hadharani umwage vipande 5 au zaidi ili tulale maana kesho job na giza limeingia nakusubiri wewe tu.Je unakuja ama...m..?
Dah!!! Kiongozi!!
Naona umejimilikisha Thread nzima.
Ila hauoni kuwa unamtengezea LEGE notifications nyingi isivyo lazima? Anaweza aka ignore hizo notifications na mwisho akajikuta ana ignore notifications muhimu kwake.
Kikubwa na kizuri ni kuwa yupo responsible ni vizuri tumuamini, hajawahi kutuangusha.
 
Ina maana mathew...hana nye....g... maana kaaaziii...mpaka ...basii...!!!!.ni kauzu zaidi ya dagaa jamaaa....hanaga shobo na papuchi anajua wanapotezaga umakini...kwenye kazi....turejee kwa ngoswe.."penzi kitovu cha uzembe"...
Joshua,kagomba,eli na joson...wamehalibu/wanaharibu kazi kwa ajili ya sambusa manyoya.....
 
Mkuu nashukuru kwa ushauri.hata hivyo nikiwa kama member alafu hapa ni free nikajikuta nafanya hivyo kwa sababu tu leo niko na hii story tu otherwise nikiwa busy sina muda wa kufanya hivi.Implications zote ulizoongelea nilizifikiria kabla ya kuandika lakini nilijisikia kufanya hivi kwa leomkuu. cheers
 
Pia mkuu nafikiri ni haki yangu ilimradi sijamtukana mtu zaidi ni kwamba hii story nimeipenda na sidhani kama mtu ukiwa free na kupenda kitu na kuchangia ndio umejimilikisha mkuu kila mtu hapa yuko free.Lakini mtu pekee niliyemtaja sana ni LEGE kama amedhurika hilo naweza kumuomba msamaha.
 
Sasa eva wivu wa nini...??..kwani yeye hana mupenzi...???...kashamind flag ya mathew the intelligence..
 
Sasa eva wivu wa nini...??..kwani yeye hana mupenzi...???...kashamind flag ya mathew the intelligence..
Mkuu kwa mawazo yangu nafikiri Eva anamuuliza Mathew kama kaka anamtakia mema maana anaona kukaa bila mwanamke kunaweza kukaleta matatizo saicologicaly kwa mawazo yangu ninavyoona
 
Hahahh kamtaman peniela
 
Mshakhara wa dhambi bado haujabdilika ni ule ile..MAUTI..
Pole henry.....
 
56,998 wameview thread yako mkuu LEGE na zaidi ya 1,000 wamechangia thread yako.Congratulations LEGE.Baada ya kukupa habari hizo ambazo hata wewe unaweza kuziona .tushushie mzigo mzigo mpya basiiiiiii
 
56,998 wameview thread yako mkuu LEGE na zaidi ya 1,000 wamechangia thread yako.Congratulations LEGE.Baada ya kukupa habari hizo ambazo hata wewe unaweza kuziona .tushushie mzigo mzigo mpya basiiiiiii

Mkuu ww ni Ke au Me?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…