Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Ili hadithi iendelee ilibidi iwe hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kumuamini hata afanyaje.... Ila ngoja tuone maana... End justify the means...Taari, ila kwa Wale tunaoona Mbali, at the End Elibariki will emerge as a Hero, Sina shaka yeye atachangia kwa kiasi kikubwa kupatikana kwa Hiki kirusi kinachowindwa.... Lets wait n see, time will tell
na kamwe hawezi kuaminika kwa alio wasaidia na alio wasaliti? hata huyo rose hawezi muamini kamweMazingira kwa jinsi yaluvyo Elibariki ataishia kujiua tu!! Mtu mwenye akili zake timamu kamwe hawezi akaufurahia Uhuru wa aina ile, Uhuru uliopatikana kwa njia za kisaliti...ni heri kuishi ndani ya shimo ukijisaidia humo humo na harufu za vinyesi na mikojo kuliko kuishi katika Uhuru uliopatikana kwa njia za kisaliti.
Mkuu bado 1 ya mchanana kamwe hawezi kuaminika kwa alio wasaidia na alio wasaliti? hata huyo rose hawezi muamini kamwe
Pamoja na yote hayo Daudi1 na wengine nawakumbusha kuwa Elibariki ndio stelling
Sasa kama stelling anauawa poa?
da hii stori ni moto Wa kuotea mbali ingawa imejaa udini hahahaahaha! natania tu
Bado 1 mkuu as u promisedudini kivipi mkuu
Kiwanda gani?Nchi ya viwanda"Tulio jiajiri tupo wengi sana eneo hili...
Kiwanda cha LEGE labda ndo anamaanishaKiwanda gani?
Katia aibu wachagaHakafu Elibariki mchaga mjue...chaaa
da hii stori ni moto Wa kuotea mbali ingawa imejaa udini hahahaahaha! natania tu