Jukwaa la Entertainment.Kuna mdau nlimuuliza kama anaweza kunisaidia link ya jf, ambayo ntasima hii story bila app ya jf, mfn kwenye habari mchanganyiko au jokes, ili nisitumie aply ya jf maana kuna vitu sivipati,
Kama unafaham pia mkuu nisaidie, maana nmeenda kule education hakuna ..
Mwacheni Baba Jesca jamani yeye yuko busy kuifanya Tz ya viwanda, kwa sasa ameanza na bombadia Joshua yeye anawaza tumbo lake na Penny tu.Na mm pia nikimuona Baba jesca kwenye runinga namkumbuka Dr joshua moja kwa moja.
Na mm pia nikimuona Baba jesca kwenye runinga namkumbuka Dr joshua moja kwa moja.
Asante mkuu kwa kuliona, itasababisha hii story isifike, tunaruhusiwa kuhakiki ila kwa weledi mkubwa,TUSIENDE HUKO WAKUU
Rosemary atampa kibano cha hali ya juu, gari, simu, computer vyote kaondoka navyo Anitha.Fernandez kawa bwege.nashukuru sana kwa ubwege wake!!
Husein Tuwa namkubali Sana huyo Bw Contact zake please Nimepoteza some of his novelshahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nikajua kina josh washakuficha....hivi tulikuwa tunatafuta mwasiliano na kina mathew tujuw tutakupataje....???
Rais MstaafuKwa Deus
Mzigo Upi Mnapenda kushushiwa Kati ya Hizi
serena
before i die
miss tanzania 1&2
beyond pain
bring back our girls part 1
i died to save president part1
i was wrong 1
i do season 1
Maamuz Juu Yenu ila Ukisha tajwa na Mmoja. basi usirudiwe kutajwa bali Upewe Like
Ili tusijaze threed
Hazijakamilikahukumbuki methew tayari ana zile kanuni ! na ziliibiwa kutoka ikulu
Don't forget kwambaHuyo bishop hahusiki na mission ya CIA ya kupata kirusi Aby. Tupo hapo kumuenzi na kukamilisha ndiyo za rafiki (John Mwaulaya).
Jukwaa la wakubwa mamanguStory ya Danny naipata wapi guys?!
Basi hujaelewa mkuuKwahiyo kanuni hizo zilichukuliwa toka kwa John au Sabina mkuu? Halafu ukifuatilia vizuri kanunuzi hizo hazihusiani na kirusi Aby..!!!
BACK TANGANYIKA
I die to save the presidentWenye Like nyingi ndo utaoshushwa Kwenu
Mimi namfananisha na Chloe kwenue 24 alivyo msaada kwa Jack Bawathe devil is back lazima wahakiwe tu...
saluti kwa Anita huyu Dada namfananisha na bankolf kwenye Nikita
Mkuu kwa app ya jf naipata kwenye jf ipi maana nmetafuta kwenye sports hakuna, niambie ni jf ip?
Mkuu naitafuta sana miss tanzania niliishiaga nusu tafathali sanaaa nitag ilipo.Mzigo Upi Mnapenda kushushiwa Kati ya Hizi
serena
before i die
miss tanzania 1&2
beyond pain
bring back our girls part 1
i died to save president part1
i was wrong 1
i do season 1
Maamuz Juu Yenu ila Ukisha tajwa na Mmoja. basi usirudiwe kutajwa bali Upewe Like
Ili tusijaze threed