mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,967
- 6,465
Mh! Tuwekeane dau, alafu Elibariki atakuwa Rais au waziri mkuuWale washazoeana sana kama dada na kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh! Tuwekeane dau, alafu Elibariki atakuwa Rais au waziri mkuuWale washazoeana sana kama dada na kaka
Danny anazingua tu. Mtunzi mvuvu Wa kufikiri hivyo zaidi ya nusu ya story kaamua kuizungushia camera ili akina dani waone kila kitu.Wale washazoeana sana kama dada na kaka
Alafu ujue Mathew ni mutu ya kazi bhana sio kama Danny anataka kulala na kila mwanamke "alafu akipiga mzigo mara moja tu anamuita mke"
Sasa kazi anayo sijui kasilimu lini maana pale tu keshakuwa na wake watatu Livna Yemi na naniliuuu (Hawa)
Ngoja waje kukuporomosheaDanny anazingua tu. Mtunzi mvuvu Wa kufikiri hivyo zaidi ya nusu ya story kaamua kuizungushia camera ili akina dani waone kila kitu.
Inaboa sana ile story.
Alafu story yenyewe ya upande mmoja tuDanny anazingua tu. Mtunzi mvuvu Wa kufikiri hivyo zaidi ya nusu ya story kaamua kuizungushia camera ili akina dani waone kila kitu.
Inaboa sana ile story.
Na kweli wana mitusi wale wa kule lol utadhani gigy moneyNgoja waje kukuporomoshea
Mtunzi; legeNimekuta notifications za kutosha nikajua Lege kaleta uhondo kumbe ni watu wanatuma mapicha[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji379][emoji379][emoji379]
Weeeh wakili huyu pamoja na kumchukia ana gari kaliiiSimpendi Jason kwa ukuda kama mtoto wa kike
Kwenye mguu chini huyu wako kaunguaNmeanza kuisoma hii storry kuanzia juzi, now ndo nmeimaliza..!
We mbere huyu ndo Peniela sasa, siyo yule uliyejitungia.View attachment 400820
[emoji2] haya bhanaa naona umeshatengeneza image ya Penuela akilini mwako...Kwenye mguu chini huyu wako kaungua
Umesahau makezi yakee adi unatuma hii picha ee,? Kaungua????
Ebu acha hizo bwana
Kwenye mguu chini huyu wako kaungua
Umesahau makezi yakee adi unatuma hii picha ee,? Kaungua????
Ebu acha hizo bwana
Ndo image ulonayo mkuu hii?[emoji2] haya bhanaa naona umeshatengeneza image ya Penuela akilini mwako...
Angalia isije ikawa tofauti, alafu Peniela akawa huyu[emoji116] View attachment 400823