Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Lakini Mathew na Elibariki wanaheshimiana sidhani kama Mathew ataingilia kati dah hili story ni misapraizz ya haja mimi nilifikiri Naomi atafall kwa Mathew Dah Elibariki nomaaa nafikiri anafanana Denzel Washington.Haha haha
 
Sielewi Deus akimuona Peniella itakuwaje maana kila mwanaume anachanganyikiwa dah inaelekea Peniella ni kama Halle Berry lakini chini amejazia zaidi...ni mawazo yangu tu sasa navuta hisia.Na mathew ni mtu wa kazi ila anaonekana akipenda anaoza kabisa ndio mana anaavoid sana kupenda. haha naendelea kuvuta hisia niko deep
 
Mkuu LEGE this is wkend jioni imeshafika shusha mzigo wa mwisho kwa leo angalau shusha vipande vitano then tujitayarishe kwenda job kesho sasa.VYA MWISHO VITANO LEGE PLS
 
LEGE weka vitano vya mwisho kwa leo mimi sitakusumbua tena mpaka kesho
 
chamchana mshapewa hichooo mkuu
Tunashukuru LEGE sana mchana super.sasa LEGE piga vya jioni vitano mkuu tunyooke mpaka kesho hiyo.Fanya mida hii ili tusichelewe kulala mkuu
 
Mkuu LEGE upo..naona mimo ndio nimekuwa teja zaidi ya wenzangu itabidi nitafute kitu kingine cha kufanya vinginevyo nimekwisha kila saa naita LEGEE LEGEE ....
 
John ameua wazazi wa Penny na sio kwa bahati mbaya amekusudia.huyu siwezi kumsupport.damu ya mtu haiendi hivihivi....

Siyo kweli kwamba aliwaua makusudi, alimuua mamake Peniela kwa maelekezo ya babake. Pia alimuua babake baada ya kutofautiana pale darajani, kumbuka baada ya Mwaulaya kufanya mauaji ya mama akamuacha mtoto na kumpigia wakutane darajani babake alipokuja na kuonyeshwa mtoto alimulaumu sana John kwa nini hakumuua mtoto, akawa anamlazimisha amuue, ndipo John akamuua babake na Peniela huku akisema "siwezi kuua kiumbe kisicho na hatia.
Naamini Peniela atamsamehe mzee John na hata kumshawishi Mathew naye amsamehe.
Highly appriciated our LEGE.Hakika wewe ni super star......Hatimaye John amuachia mikoba Mathew.Ndio maana nilisema nahisi kuna surprise inakuja ya John na Mathew....i was right.Now who is who .Muke wa Deus naye yumo kwanye misheni Deus mwenyewe yuko against hapo Muziki unogile.
Umekubaliana nami kuhusu Peniela na Mathew kumsamehe John?
 
Mkuu hiyo nami nimeishtukia hasa nikifikiria Elibariki amedumbukizwa na mtoto Naomi kwenye swimming pool kumbuka naomi ana ukame wa miaka minne alikuwa amafungiwa ndani hivyo yeye kumbaka Elibariki ni sawa tu.Peniela akigundua ataua mtu....
Hahahhh hana tofauti na mathew ukame wao ila paniela ataua
 
Lakini Mathew na Elibariki wanaheshimiana sidhani kama Mathew ataingilia kati dah hili story ni misapraizz ya haja mimi nilifikiri Naomi atafall kwa Mathew Dah Elibariki nomaaa nafikiri anafanana Denzel Washington.Haha haha
Kwenye papuchi hakunaga iyo mathew uzalendo ushamshinda na peni ameshasoma mchezo
 
Mkuu LEGE upo..naona mimo ndio nimekuwa teja zaidi ya wenzangu itabidi nitafute kitu kingine cha kufanya vinginevyo nimekwisha kila saa naita LEGEE LEGEE ....
Hahahahhh
 
Mkuu usicheke unajua hii nayo ni issue serious ....LEGE amenibrain wash mpaka nimeacha kuangalia movie zangu.
Hahahhh kweli umekua zaidi ya teje LEGE ukuje aisee umsaidie mambo hali mbaya
 
Back
Top Bottom