Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Watu kwa kulialia tu hamjambo
Ndio maana Mnaambiwa mfanye kazi sio masaa ishirini na nne mpo mitandaoni kumlilia LEGE
jaribuni kushukuru kwa mnachokipata
Huyo LEGE mwenyewe nae anatafuta tonge ili familia yake iende chooni.
Kama vipi nendeni kwa Danny mzee wa kupaka mate kila kitumbua
Ncha ya kisu imegota kwenye mfupa, let them come..., via Ali kiba.
Jana kuna member nilikua nasoma post yake huku, amesema ametoka kucheza draft akakimbilia humu kuona kama LEGE amerusha "kitu". Nilikaa nikawaza sana, sikupata jibu sijui ni asilimia ngapi tunaofatilia hii story au wapo katika mfumo huo wa maisha.
 
Ncha ya kisu imegota kwenye mfupa, let them come..., via Ali kiba.
Jana kuna member nilikua nasoma post yake huku, amesema ametoka kucheza draft akakimbilia humu kuona kama LEGE amerusha "kitu". Nilikaa nikawaza sana, sikupata jibu sijui ni asilimia ngapi tunaofatilia hii story au wapo katika mfumo huo wa maisha.
Mkuu hata sa hivi nimechoropoka mchezoni nilikiwa nachaji simu home. Nikasema muda huu kutakuwa na episode kadhaa za kusoma huku nakabenbeleza kabebi kangu kalale lakini nimeambulia patupu. Lege siamini kama umetuelibariki hivi!
 
Huyu Elli naona hizo ndulenge alizozibeba hazikumstahili kabisa maana anaendekeza njaa kupita maelezo. Namchukua kinyama yaani. Kawa mnoko kinoma noma
 
Mkuu hata sa hivi nimechoropoka mchezoni nilikiwa nachaji simu home. Nikasema muda huu kutakuwa na episode kadhaa za kusoma huku nakabenbeleza kabebi kangu kalale lakini nimeambulia patupu. Lege siamini kama umetuelibariki hivi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23], sawa mkuu nimetambua uwepo wako
 
Back
Top Bottom