mambo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 2,371
- 5,602
Mkuu
acha hizoAfadhali hadithi imesimama maana tangu ianze sikuweza kufanya Kazi yoyote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha hizoAfadhali hadithi imesimama maana tangu ianze sikuweza kufanya Kazi yoyote!
Seach apo riwaya ya Uchu utaipata na utojuta kusomaIko api iyo uchu
Nimeiona ipo mbali sana nimeona ata uvivu kuanza kusoma acha tu inipiteSeach apo riwaya ya Uchu utaipata na utojuta kusoma
Usipoipata nambie nikucopie linkSeach apo riwaya ya Uchu utaipata na utojuta kusoma
Poa kuna dem umo anaitwa Bibiane utam wake peniela akasomaNimeiona ipo mbali sana nimeona ata uvivu kuanza kusoma acha tu inipite
EenhPoa kuna dem umo anaitwa Bibiane utam wake peniela akasoma
mkuu kupata vitabu vya msiba ni ishu sana lakini kama unataka story hiyo ya HOFU soft copy unaweza kuipata .nikutumieHata mm nilianza kusoma Riwaya za ujasusi nikiwa darasa la nne. Kuna kitabu kungine cha Msiba kinaitwa Hofu sioni mkikiongelea.
huna kitabu cha kikosi cha kisasi cha msiba?? harafu kama utakosa kabisa vitabu vya msiba ukisoma vya joram kiango ndio mle mle coz kaiga baadhi ya story za msiba??Hofu cha Msiba ninacho alie mwanza ani inbox nimuazime.
mimi pia naomba unitumie kama hutojae mkuumkuu kupata vitabu vya msiba ni ishu sana lakini kama unataka story hiyo ya HOFU soft copy unaweza kuipata .nikutumie
Kikosi cha kisasi ninacho na njama ila vipo Morogoro kwa sasa nilicho nacho karibu ni Hofu. Vitabu vya msiba vingi ninesoma ila vya Joram Kiango nilisom simu ya Kifo nadhani kama kumbukumbu zangu ziko sahihi. Hicho cha Allan niewahi kukisikia ila sijakisoma.huna kitabu cha kikosi cha kisasi cha msiba?? harafu kama utakosa kabisa vitabu vya msiba ukisoma vya joram kiango ndio mle mle coz kaiga baadhi ya story za msiba??
au kuna mdau mwenye kitabu cha mashimo ya alan kotaman
Ile story Innocent anasaidia watu kuliko uwezo wakeMkuu LEGE shusha mzigo uliopo kwa sasa then hayovmarekebisho mengine si yako mwishoni?Mimi sibanduki hapa ile simulizi nyingine haina mvuto kama hii.So asilimia kubwa bado tuko humu mkuu so WENGI WAPE.....concentrate na humu kwa Peniela LEGE
mkuu unaniwezeshaje au kama waweza nifanyia mpango juu ya hivyo vitabu vya msiba hasa hicho cha kikosi cha kisasi. au kama waweza niuzia nambie bei gani tufanye biashara au tufanye biashara mbadilishanoKikosi cha kisasi ninacho na njama ila vipo Morogoro kwa sasa nilicho nacho karibu ni Hofu. Vitabu vya msiba vingi ninesoma ila vya Joram Kiango nilisom simu ya Kifo nadhani kama kumbukumbu zangu ziko sahihi. Hicho cha Allan niewahi kukisikia ila sijakisoma.
Mkuu umesema kuwa peniel itabidi isubri kwa siku kadhaa, je ni kwa mda upi, maana mm ckuwahi kusoma kabla ya hii....so kwangu hii naifuatilia.....lini utashusha mzigo?mkuu kupata vitabu vya msiba ni ishu sana lakini kama unataka story hiyo ya HOFU soft copy unaweza kuipata .nikutumie