KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
peniela
epsod 0
ni lini nitamuona peniela..?
alijiuliza kenzy
kidogo alishituliwa na muito wa simu yake sekunde ya pili simu ilikuwa kiganjani,
baada ya kuipokea ilisikika sauti ikisema "hallow kenzy ni mimi peniela uko wapi..?"
kenzy alijibu nipo nyumbani we uko wapi..?.
nipo kwenye gari naelekea kwangu lkn kuna watu nahisi wananifuatilia na yaonyesha wanania mbaya alijibu penny..!
baada ya kusikia maneno yale kenzy alinyanyuka haraka na kurukia funguo ya gari
huku akitoka nje
simu ikiwa bado sikioni kenzy akamuuliza peniela
nitajie maeneo uliopo..?
nipo barabara ya mwendapole alijibu penny..
okay nyoosha na hiyo barabara sasa hivi ntakuwa hapo,nenda mwendo wa kawaida na fanya kama haujawashtukia..ten minutes i will be there.
sawa kenzy fanya haraka me naogopa alijibu penny
Loading....
initializing....
error
epsod 0
ni lini nitamuona peniela..?
alijiuliza kenzy
kidogo alishituliwa na muito wa simu yake sekunde ya pili simu ilikuwa kiganjani,
baada ya kuipokea ilisikika sauti ikisema "hallow kenzy ni mimi peniela uko wapi..?"
kenzy alijibu nipo nyumbani we uko wapi..?.
nipo kwenye gari naelekea kwangu lkn kuna watu nahisi wananifuatilia na yaonyesha wanania mbaya alijibu penny..!
baada ya kusikia maneno yale kenzy alinyanyuka haraka na kurukia funguo ya gari
huku akitoka nje
simu ikiwa bado sikioni kenzy akamuuliza peniela
nitajie maeneo uliopo..?
nipo barabara ya mwendapole alijibu penny..
okay nyoosha na hiyo barabara sasa hivi ntakuwa hapo,nenda mwendo wa kawaida na fanya kama haujawashtukia..ten minutes i will be there.
sawa kenzy fanya haraka me naogopa alijibu penny
Loading....
initializing....
error