Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaah kumbe unanionea wivu kuchelewa unataka niteseke kama wewe eeeh?Hatimaye Na Mimi nasubiri kwenye foleni, nilijiona mjanja kuchelewa kuanza kumbe mbele kulikuwa Na likizo ya wiki mbili! Aaaaaghhh!
Hahahaha!, kwa kusubiri huku natamani ningekuwa sijaanza kusoma hii kitu!, inateka akili balaa!, juzi nimenunua gazeti nimeishia kumwachia mshikaji, kisa?, Peniela!, kwenye majukwaa mengine sijapita kabisaaaa,asubuhi hii ndio najua kumbe UKUTA umejengwa vichwani Na sio barabarani ✌!.Aaaaah kumbe unanionea wivu kuchelewa unataka niteseke kama wewe eeeh?
Sitakiiiiiiii nasubiri hadi iishe.
kwahiyo mkuu ulitaka watu wasiendelee kupata burudani nyingine?? ina maana hujui kwa nn peniela haendelei?LEGE, Sasa badala ya kutuwekea kwanza tumalizie peniela, we unatiririsha nyingine. Twambie bas kama hii story huendelei nayo watu tujue tusikusumbue.
Yeah sijajua kwann haiendelei..kwahiyo mkuu ulitaka watu wasiendelee kupata burudani nyingine?? ina maana hujui kwa nn peniela haendelei?
Ok. Asante. Sikulijua hiloAlisema tusubiri wiki mbili,kuna marekebisho yanafanyika na kuongezewa uhondo. Tumpe muda
Miss tz ipo jukwaa gani,semeni basiHatimaye na mom nipo kwenye folen ya kusubir... Ngoja nikajiliwaze na miss tz
EntertaimentMiss tz ipo jukwaa gani,semeni basi
ShunieeeeEntertaiment
AbeehShunieeee
Nimekumic mda sijakuona jamaaniAbeeh
me pia jamaan umepotea sanaNimekumic mda sijakuona jamaani
Riwaaaya nayo imepoaaaame pia jamaan umepotea sana
Tupo kwa miss tanzania uku mpk week 2 ziisheRiwaaaya nayo imepoaaaa
Heshima yako Bosi.....tunakusubirikwahiyo mkuu ulitaka watu wasiendelee kupata burudani nyingine?? ina maana hujui kwa nn peniela haendelei?