Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

huna kitabu cha kikosi cha kisasi cha msiba?? harafu kama utakosa kabisa vitabu vya msiba ukisoma vya joram kiango ndio mle mle coz kaiga baadhi ya story za msiba??

au kuna mdau mwenye kitabu cha mashimo ya alan kotaman
Natafuta MTUHUMIWA ya tuwa vipi unacho? You know what I'm sayin
 
Kwenye msshimo ya mfalme Suleiman kuna mtu anaitwa Umbopa. Huyu jamaa ndiye aliyevuka maji ya shingo bila ya Pu,mbu kulowa. Watu huwa wanamkosea na kumchanganya na Umsolopagaazi Mwana wa Makumazani, akeshaye usiku asiyepitwa na jambo.
Niazime hiyo kitu ya amsolopagaazi jina tu linsnihamasisha kusoma
 
Nikasema nije kuchungulia kama wiki mbili za kifungo zimekwisha
 
Mkimbizi, nilikisoma nikiwa form2. Ni kitabu kzuri sana. Kule yupo Tiga Mumba, it's a very interesting story!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom