Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

...baado nawaza ikiwa rais atamuona peniela itakuwaje?? Je atatoka na kisaduku mle ndani?? Je rais ataedeleza udhaifu wake kwa peniela ......na VIP kuhusu Mathew na anitha ambao wapo inje wakisubri nn kitamtokea peniela mule ndani?? .....Anna kasahambiwa ukweli wa mambo na Mathew VIP atamuani elibariki ikiwa baba yake (Dr Josh ) amemsafisha?? ....je Dr josh atakubari mpango wa ujumbe wa marekani kuhusu mgombea urais??? ....Je Mathew akimpata elibariki atamuacha hai?? ...VIP John amezikwa au baado km kazikwa anazikwa wapi tz au marekani??...VIP kuhusu kirusi Anna atajua kilipofichwa ikuru??
Nawaza mambo kwa kina na baado majibu sina .....LEGE pekee ndiyo ameshikiria hatima ya maswali haya machache kati ya mengi niliyonayo
 
Uswahili una maana tatu
01.Ni mtu wa pwani(anaeishi pwani)
02.Ni mtu anaependa kukaa vibarazani na kupiga soga
03.Ni mtu anaeongea kiswahili

[emoji125] nadhani nimekujibu [emoji125]
Uswahili uwe mtu???? Hiii sasa kali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
MKAO WA KULA PENIELA RASMI INAKUWA HEWANI WEEK END JMOSI .PUNGUZE MUNKARI WAKUU NA TUOMBEANE UZIMA. NA ASIPIGWE BURN MTU.
Sasa ukiondoka hapa katikati ndo tutakuwa tumeikosa? Dah
 
utafikiri kalipia? wakati hiyo story ipo kuleee kwenye group yake ya watsapp so mvivu wa kwenda kuitafuta mwepesi wa kulala mika
0758844240 niunge kwenye hiyo group hatakama kunakulipia poa tu
 
IMG-20161005-WA0002.jpg


MZIGOO HUO HAPO KAMA UTAHITAJI KUMUUNGA MKONO MWANDISHI SIO MBAYA JAPO UKIMCHANGIA PESA YA WINO TUU.SIO LAZIMA LKN MAANA WENGI WALIKUWA WANA HOJI NI VIPI MTUNZI ANAFAIDIKA NA KUNUFAIKA?? KWA HIYO SEASON 1 TUU NI 4500 TZS.

namba ya mtunzi 0764294499. au kama ukitaka kulipia ili aweze kukutumia ili uondokane na kero ya kuja kuchungulia jf nayo sawa mcheki hapo.but mzigo now utamwagwa mwanzo mwisho.

na wale mlio kuwa mnalalamika kuwa nawazingua bandiko hilo toka kwa mtunzi so kuweni wapole
 
LEGE
umefanya nikapewa barua ya onyo kazini, haitoshi umesababisha mke wangu anione simjari, hukuishia hapo umesababisha kukatri na kubadili ratiba yangu ya kulala, hukuridhika na hayo yoooooooote ukanifanya kijakazi wa simu yangu,
Ukaenda mbari zaidi ukanifanya ninunue kifaa cha kutunzia moto, yani benki ya nguvu,
Sikutarajia kama utanigeuza mgonjwa wa macho.

Ukaona haitoshi ukabadili mawazo kichwani mwangu kwa kuifuatlia hadithi hii na kutumia mbio nyingi ili nifike hapa mlipo, nilianza peji hii ujurasa wa kwanza na wakati nikiangalia nadaiwa peji miambili.

Kilichoniacha hoi nikawa mlevi na kuwa mtumwa wa hili

Mwisho wa siku umeniacha solemba huku nikiwa naikaribia furaha yangu, kuuona ushindi wa mathew na sasa nikeathirika kwa kuwa mahututi wa ugonjwa ambae tabibu wake ni LEGE na tiba yake ni hadithi ya pamela.


Ooooooooooooh LEGE hivi kwa hili hukunionea huruma nikakura ujumbe mzito eti mpaka wiki mbili mbele, hapana lege plz niokoe katika ugonjwa shauku

Walaka huu nauandika nikiwa naamanisha kutoka katika chemba za moyo wangu, plz lege malizia tafadharo bora utupie moja kusha useme huu ndio mwisho wa story uli niwe huru katika kifungo, sina amani ,nakosa raha lege, irudishe furaha tangu mahala pake, kwani iliwekwa mda mlefu kama kirusi cha Aby 16. Hivyi usiitoe haraka kama Dr , lege nakuomba jari hisia na afya za watu zinazozorota kwa kuikosa furaha yao,

Watu tunatamani kushuhudia hatma ta
Mathew na kundi lake,
Team sc41
Dr Joshua na genge lake
Madam Rosy na kundi lake,
Nzee Deusi na nia take
Huyu mmalekani na nia yake
Dr kigomba na kundi lake



Na mwisho kabusa hatima ya kirusi kileee


Plz LEGE tuwekeweee[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Semeni nyie nikisema mimi naambiwa nina Keleleeeeee.LEGE unaona destruction ya life za watu uliyosababisha.
 
View attachment 412354

MZIGOO HUO HAPO KAMA UTAHITAJI KUMUUNGA MKONO MWANDISHI SIO MBAYA JAPO UKIMCHANGIA PESA YA WINO TUU.SIO LAZIMA LKN MAANA WENGI WALIKUWA WANA HOJI NI VIPI MTUNZI ANAFAIDIKA NA KUNUFAIKA?? KWA HIYO SEASON 1 TUU NI 4500 TZS.

namba ya mtunzi 0764294499. au kama ukitaka kulipia ili aweze kukutumia ili uondokane na kero ya kuja kuchungulia jf nayo sawa mcheki hapo.but mzigo now utamwagwa mwanzo mwisho.

na wale mlio kuwa mnalalamika kuwa nawazingua bandiko hilo toka kwa mtunzi so kuweni wapole
kwahiyo atanitumia kwa njia gani sijaelewa yani kwa email au? (Soft copy or hardcorpy)
 
...baado nawaza ikiwa rais atamuona peniela itakuwaje?? Je atatoka na kisaduku mle ndani?? Je rais ataedeleza udhaifu wake kwa peniela ......na VIP kuhusu Mathew na anitha ambao wapo inje wakisubri nn kitamtokea peniela mule ndani?? .....Anna kasahambiwa ukweli wa mambo na Mathew VIP atamuani elibariki ikiwa baba yake (Dr Josh ) amemsafisha?? ....je Dr josh atakubari mpango wa ujumbe wa marekani kuhusu mgombea urais??? ....Je Mathew akimpata elibariki atamuacha hai?? ...VIP John amezikwa au baado km kazikwa anazikwa wapi tz au marekani??...VIP kuhusu kirusi Anna atajua kilipofichwa ikuru??
Nawaza mambo kwa kina na baado ibu sina .....LEGE pekee ndiyo ameshikiria hatima ya maswali haya machache kati ya mengi niliyonayo
Mmmmh inaonekana mie nimepitwa sana niliishia season 1 sehemu ya 10 kumbe iliendelea??? mbona hata sioni muendelezo
 
utafikiri kalipia? wakati hiyo story ipo kuleee kwenye group yake ya watsapp so mvivu wa kwenda kuitafuta mwepesi wa kulala mika
kumbe kuna group ya whassap kabsaa sasa mtu akiungwa leo ataipata kweli au inakuwaje?
 
Ulishaambiwa hii ni simulizi ambayo kila unachokitegemea huenda tofauti kabisaaaaa


Kwa season zote nne zilizoisha hakuna hata mmoja kati yetu aliyekuwa anajua kinafuata nini
jamani hizo season 4 mbona sizioni mpaka natamaani kulia.
 
Lege ubalikiwe ukitoka job pita kibandani kwangu apa nnapouzia machungwa uchukue ya juice
 
Lege ubalikiwe ukitoka job pita kibandani kwangu apa nnapouzia machungwa uchukue ya juice
hahahha haina shida mkuu niandalie yakutosha nifanye maandalizi ya week end hiyo jmosi hakuna kutoka na j2 ni mwendo wa peniela mpaka ifike mwisho.

nikimalizana na peniela nahamia kwa hussen TUWA WIMBO WA GAIDI.nikishika kitabu hakuna kukiweka chini nazani tutaonana baada ya wiki kadhaa mbele huko mbele.naviporo vingi sana vya kupasha moto
 
Back
Top Bottom