Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Ukilinganisha sehemu zilizowekwa Leo na zilizopita, utaona kuwa mwandishi amepunguza baadhi ya vitu. Which means kitabu kitakuwa na vitu vingi zaidi ya hivi vinavyishushwa kupitia kopi laini
 
Ukilinganisha sehemu zilizowekwa Leo na zilizopita, utaona kuwa mwandishi amepunguza baadhi ya vitu. Which means kitabu kitakuwa na vitu vingi zaidi ya hivi vinavyishushwa kupitia kopi laini

Nimegundua pia,sehemu zilizopita zilikua zimeshiba haswa ila za sasa hivi ni fupi.
 
Duuuh umenikumbusha 24hrs nilitesekaa sana nilizikusanya zotee 1-8 sikuwa nsweza fanya chochote. Juzi mjinga mmoja kaniibia external drive yangu siba tena aisee.
Pole sana. Jack Bauer ni sheeeda. Lakini nadhani imeendelea sana kama uliishia no 8
 
hahahaha mathew kapatikana leo dooh

peny kila anapopenda panakuwa pamoto.
 
Jamani hamu yangu ilikuwa Peniela awe na Mathew halafu Anitha na Jason khaaaaaa
 
Nguvu ya papuchi sio kwa wanaume wajinga ila kwa rijali yoyote unapokutana na mtoto mkali hata kama unamke lazima uzime fegi
 
SEHEM YA 6

“ Kama si Peniela kuniamsha baada ya Abel kupiga
simu ningejikuta nimelala hadi kesho saa mbili asub
uhi.Na hii
imesababishwa na mambo aliyonifanyia Peniela.Yule
mmwanamke anajua mno kunipa raha.Anajua kucheza na
mwili wangu.Naapa sintomuacha Peniela hata iweje.Ye
ye
ndiye mwanamke pekee ambaye ninataka kuishi naye ba
ada
ya kumaliza kipindi changu cha uongozi lakini...” Aka
waza Dr
Joshua na kitu Fulani kikamstua alipokikumbuka
“ Yale maneno aliyonieleza Peniela kuhusu Elibarik
i ni
ya kweli? Nani nimuamini kati ya Elibariki na Penie
la?
Akajiuliza
“ lakini namuamini Peniela Hawezi
kunidanganya.Maneno yote aliyonieleza Elibariki ni
ya uongo
kutaka kunifarakanisha na mwanamke ninayempenda kum
be
wao ndio wenye nia ovu na mimi.Elibariki ni chui mw
enye
ngozi ya Kondoo.Sikupaswa kabisa kumuamini.Hata mim
i ni
likuwa na mashaka naye sana.Kumbe yeye na Rosemary
Mkozumi wanashirikiana kunihujumu? Hili ninaweza ka
bisa
kuliamini.Dah ! yaani kila mtu anayenizunguka ni msa
liti nani
nitamuamini? Kigomba nae nilimuamini mno lakini kum
be
naye ana mipango yake ya siri ya kunizunguka na Jac
ob
Kateka.Haya yote yanatokea kwa sababu ya kirusi ki
le.Nahisi
kina laana na ndiyo maana toka nilipoanza mchakato
wa
kukiuza matukio yamekuwa yanatokea
mfululizo.Nimempoteza mke wangu,mwanangu na watu
wangu wa karibu niliowaamini kama Captain Amos amba
o
waligeuka wasaliti.Ngoja nifanye haraka haraka nimp
atie
Hussein mzigo wake ili nipate nafasi nzuri ya kulis
hughulikia
lile suala la serikali ya Marekani” akawaza Dr Josh
ua akiwa
garini kurejea nyumbani.
“ Abel Mkokasule ....” Peniela akasema kwa sauti
ndogo akiwa amekaa kitandani baada ya Dr Joshua
kuondoka.
“ Ni nani huyu Abel Mkokasule? Kabla Dr Joshua
hajainuka na kwenda kujificha bafuni nilisikia huyo
mtu
anasema kwamba anataka kumpa taarifa kuhusu Kigomba
na
Jacob Kateka.Who is Jacob Kateka? Ana mahusiano gan
i na
kigomba? Is Dr Joshua spying on Kigomba? Nahisi hiv
yo.Kama
ni kweli Dr Joshua anamchunguza Kigomba ambaye ni
mshirika wake wa karibu basi lazima kuna jambo lina
endelea
kati yao.Mathew anatakiwa kulifahamu jambo hili al
ifanyie
uchunguzi “ akawaza Peniela na kulala.
****************
Mlio wa simu ulimuamsha Dr Joshua toka
usingizini.Tayari imekwisha timu saa kumi na dakika
nane za
alfajiri.Mpigaji alikuwa ni Dr Kigomba.
“ Hallow Kigomba” akasema Dr Joshua
Mheshimiwa samahani kwa kukupigia muda huu bu I
have a bad news” akasema Dr Kigomba
“ Kuna taarifa gani mbaya Kigomba?
“ Nimepigiwa simu sasa hivi Jacob Kateka mkuu wa
idara ya usalama wa taifa amepata ajali mbaya usiku
huu
wakati akirejea nyumbani kwake na inasemekana yeye
na
dereva wake hali zao ni mbaya sana na tayari wameki
mbizwa
hospitali .Mimi niko njiani sasa hivi naelekea huko
hospitali
kupata uhakika wa hali zao”
Dr Joshua akavuta pumzi ndefu akakaa kimya kidogo
na kusema
“ Hizi ni taarifa za kustusha sana .Nashangaa kwa
nini
mpaka sasa sijataarifiwa kuhusu suala hilo.Naomba u
nipe
taarifa za hali zao mara tu utakapowasili hospitali
” akasema
Dr Joshua
“ Sawa mzee nitakutaarifu mara moja nitakapofika
hospitali” akasema Dr Kigomba na kukata simu.Dr Jos
hua
akatabasamu
“ Good job Abel.Napenda sana kuwatumia vijana
wachapakazi kama huyu.Kazi yoyote ukimpatia unakuwa
na
uhakika itakamilika kama unavyotaka.I hope Jacob is
dead.Mipango yao yote waliyoipanga na Kigomba imekw
ama
na ndiyo maana Kigomba amechanganyikiwa .Na hii ni
taa
nyekundu kwake asipobadilika naye lazima nitamuondo
a.He
should never try to cross me !!” Dr Joshua akainu
ka
kitandani na kwenda katika kabati dogo zilimo chupa
kadhaa
za mvinyo ,akamimina mvinyo mkali katika glasi na
kugugumia wote huku amefumba macho
“ Sasa baada ya Jacob ,watakaofuata ni Elibariki n
a
mshirika wake Rosemary Mkozumi.Hawa wawili wanajifa
nya
wema kwangu kumbe ni nyoka wa vichwa viwili.Hawa na
o
natakiwa kuwaondoa haraka sana” akawaza Dr Joshua n
a
kuchukua simu akampigia Abel Mkokasule
“ Hallow mzee” akasema Abel baada ya kupokea
simu
“ Abel nimepokea taarifa usiku huu kuhusu Jacob”
“ Samahani mzee kwa kutokutaarifu mapema kuhusu
kazi uliyonituma hadi ukapata taarifa toka kwa watu
wengine.”
“ Usijali kuhusu hilo.You did a good job.Nashukur
u
sana kwa kazi uliyoifanya.Hata hivyo bado nataka u
endelee
kuwafuatilia Kigomba na jaji Elibariki.Kwa jaji Eli
bariki nataka
uchunguze anakutana na akina nani na halafu nitakup
a
maelekezo nini cha kufanya”
Sawa mzee nitafanya hivyo.” Akajibu Abel
“ Once again,thank you Abel.Thank you so much.”
Akasema Dr Joshua na kukata simu na ndipo akakumbuk
a
kusoma jumbe kadhaa katika simu yake ambazo hakuwa
amezisoma bado.Moja ya ujumbe ulitoka kwa Anna
,akimtaka waonane asubuhi kuna jambo la muhimu la
kuzungumza.
“ Anna mwanangu amebaki na ukiwa mkubwa sana
baada ya kuondokewa na mama na dada yake.Natakiwa
kufanya kila linalowezekana kuhakikisha kwamba anak
uwa
na furaha tena” akawaza Dr Joshua na kurejea tena
kitandani.Baada ya dakika kumi Dr Kigomba akampigia
simu
na kumtaarifu kwamba Jacob Kateka na dereva wake
wamefariki dunia mara tu baada ya kufikishwa hospit
ali.Uso
wa Dr Joshua ukachanua kwa tabasamu .
***************
Mlango wa chumba cha Anna ukagongwa akainuka
na kwenda kuufungua akakutana na baba yake
wakasalimiana kisha Anna akawaomba radhi marafiki
zake
watatu waliokuwamo mle chumbani kumfariji watoke k
idogo
kwani ana maongezi muhimu na baba yake.
“ Vipi maendeleo yako Anna? Akauliza Dr Joshua
baada ya kubaki wawili mle chumbani
“ Ninaendelea vizuri japokuwa siko sawa kama
nilivyokuwa kabla ya matukio haya mfululizo kutokea
.”
Akasema Anna
“ Yes I k now.Hii ni mipango ya Mungu na
mafundisho yanatufundisha kwamba tujifunze kushukur
u
kwa kila jambo.Tushukuru kwa haya yaliyotupata kat
ika
familia yetu.Anna haya ni mapito tu katika maisha a
nd I
promise you that Im with you and we’ll get through
this
together.’ Akasema Dr Joshua
“ Muangalie kwanza anavyoongea kama malaika
lakini kumbe ni shetani mwenye mkia” akawaza Anna
akimtazama baba yake kwa macho makali
“ Anna leo tunamalizia shughuli za hapa na tutareje
a
ikulu kuendelea na maisha yetu ya kawaida.Asubuhi h
ii
tutakwenda kuwasha mishumaa katika kaburi la dada y
ako
halafu tutarejea hapa kumaliza taratibu kisha tutak
wenda
ikulu.Nimepata ujumbe wako unasema kuna jambo la
muhimu la kuongea.I’m here now tell me”
“ Ndiyo baba kuna jambo nataka tuzungumze”
akasema Anna
“ Ok karibu .I’m here to listen”
“ Ni kuhusu Elibariki” akasema Anna na kumstua Dr
Joshua
“ Nimeonana na jaji Elibariki jana usiku.Nilitaka
kufahamu kuhusu kilichotokea kwani siku chache zili
zopita
alikuwa anatafutwa na jeshi la polisi kwa kusababis
ha kifo
cha dada lakini ghafla amejitokeza toka mafichoni
na
zikafuata taarifa toka jeshi la polisi kwamba aliku
wa
ametekwa na majambazi waliokuwa wanamtumia kwa leng
o
la kujipatia fedha na akafanikiwa kutoroka.” Anna
akanyamaza kidogo akameza mate kulainisha koo lakin
i kabla
hajaendelea Dr Joshua akasema
“ Do you believe him?
“ Yes I do.I believed him because you did too”
akasema Anna
“ Good” akajibu Dr Joshua kwa sauti ndogo
“ Kuna kitu Elibariki aliniambia ambacho kimenifan
ya
nitake kuonana nawe asubuhi hii ya leo” akasema Ann
a
“ Amekwambia kitu gani? Akauliza Dr Joshua kwa
sauti yenye kuonyesha wasi wasi kidogo
“ Ameniambia kwamba umemuahidi atakuwa rais wa
Tanzania baada ya wewe kumaliza kipindi chako cha
uongozi.Is that true?
“ You know uhhmmm...I.. I Told hime that in order..”
Dr Joshua akajikanyaga katika kujibu swali lile
“ Kama hiyo haitoshi Elibariki aliniambia eti
mmepanga mimi na yeye tuwe na mahusiano na tuoane.H
ilo
nalo ni la kweli?
“ Listen my dear Anna,alichokwambia Elibariki ni k
itu
cha kweli kabisa.Ni kweli alikuwa ametekwa na majam
bazi
ambao walimtumia kutaka kujipatia pesa.Baada ya
kufanikiwa kuwatoroka alinifuata akanieleza nami ni
kampigia
simu mkuu wa polisi kanda ya Dar es salaam nikamuel
eza
kuhusiana na watu hao na usiku huo huo polisi
wakapambana na watu hao wakafanikiwa kuwaua baadhi
na
wengine wakatoroka na hadi sasa msako unaendelea.Kw
a
kitendo cha kishujaa alichokifanya niliona ni mtu a
nayefaa
kabisa kuwa mrithi wangu baada ya kumaliza kipindi
change
cha uongozi kwani katika chama tumeazimia sasa hivi
kuwa
na mgombea kijana kabisa.Niliahidi kulifikisha sual
a hilo kwa
wadau ila sikumpa uhakika wa moja kwa moja .Kuhusu
yeye
na wewe kuwa na mahusiano nilifikiria hilo ili kui
fanya
familia yetu iendelee kuwa katika nafasi za juu za
uongozi.”
“ Kwa nini ukafanya hivyo baba? Kwa nini ukataka
kuyaingilia maisha yangu na kupanga mambo bila
kunishirikisha?I’m not a child anymore..”
“ Anna I’m sorry .I don’t know what I was thinking
at
that time.I Think I was drunk.But forget about that
because it
wont happen anymore.Siwezi tena kumfanya Elibariki
awe
rais wa nchi hii.Baada ya kutafakari kwa kina nimeo
na hana
sifa za kuwa rais kwa hiyo sahau kabisa suala la we
we na
yeye kuwa na mahusiano.” Akasema Dr Joshua kwa ukal
i
kidogo.Anna akamtazama na kuuliza
“ Endapo Elibariki angekuwa chaguo lako la kurith
i
kiti cha urais ,bado ungesisitiza mimi na yeye tuw
e na
mahusiano”
Dr Joshua akakuna kichwa na kusema
“ Ndiyo.Ingekuwa ni kwa faida yako Anna”
“ Faida yangu? What kind of a father are you? Yaan
i
kulazimisha niwe katika mahusiano na mwanaume ninay
ehisi
kutapika nikimuona kwa sababu ya maslahi yako unase
ma ni
faida yangu?Akauliza Anna kwa ukali
“ Anna tafadhali usiongee na mimi katika lugha ya
namna hiyo.I’m your father and I’m the one who deci
des
whats good for you so if I want you to be with Elib
ariki or
whoever I want you cant say No!!! akasema D Joshua
kwa
ukali
“ A father? Have you been a father to us? Where
were you when me and my sister needed a father? Mud
a
wote unashughulika na mambo yako yenye faida kwako.
.”
“ Stop that Anna!! Akafoka Dr Joshua na kusimama
akamtazama Anna kwa hasira
“ Don’t you dare talk to me like that again.Leo
unadiriki kusema eti I wasn’t there when you neede
d me,are
you sure?? Akauliza Dr Joshua kwa ukali.Anna hakuji
bu kitu
“ Anna my dear,ndani ya kipindi kifupi familia ye
tu
imepitia mambo magumu sana.Hii ni mitihani na ili t
uishinde
mimi na wewe lazima tushikamane.Kuna mambo mengi
makubwa na mazuri yanakuja kwa ajili yako.Wewe pek
ee
ndiye uliyebaki furaha yangu.Nitakulinda zaidi ya m
boni
yangu ya jicho.Si muda mrefu topka sasa nitamaliza
kipindi
changu cha uongozi na kwa pamoja tutaizunguka dunia
tukifurahia uumbaji wa mwenyezi Mungu.Kitu kingine
ambacho nataka nikuahidi ni kwamba sintoingilia ten
a
 
SEHEM YA 7

aliyepaswa kwenda kuonana na Deus na kwa kuwa hawez
i
kutoka ndani ya jumba lile itabidi kazi hiyo niifan
ye mimi na
Anitha.Tutakwenda kuonana na Deus Mkozumi” akawaza
Mathew wakati akiandaa mlo wa asubuhi .Kisha maliza
kuandaa akamfuata Anitha chumbani akamuamsha.
“ Wake up pretty angel ....” Akasema Mathew.Anitha
akafumbua macho na kutabasamu
“ C’mon Mathew I was dreaming..” akasema kwa
sauti laini
“Umeiharibu ndoto yangu”
“ I’m sorry Anitha muda wa ndoto umepita.Huu sasa
ni muda wa kazi so wake up” akasema Mathew.Anitha
akainuka huku akiona aibu kidogo kwani alikuwa
mtupu.Akavaa nguo na kumtazama Mathew
“ Thank you Mathew.Sijawahi kuwa na usiku mzuri
kama wa jana.You are real amazing.Last night I felt
like....ouh
gosh I dont know how to explain it” akasema Anitha
.Mathew
akatabasamu na kusema
“ Thank you too but that wont happen again
Anitha.Let us forget what happened and pretend like
nothing
happened”
“ Its ok Mathew it wont happen again .Lakini narud
ia
tena kukushukuru kwa namna ulivyoufanya usiku wang
u
kuwa mzuri.Leo nimeamka vyema na akili yangu imetul
ia na
tayari kwa kazi.Lets get back to work” akasema Anit
ha
“ Breakfast is ready” akasema Mathew na baada ya
Anitha kujiswafi wakaelekea kupata kifungua kinywa.
“ Any news from Peniela or Anna? Akauliza Anitha.
“ Anna kanitumia ujumbe kanitaarifu kuwa atakuja
baadae ila kwa Peniela bado sijapokea taarifa yoyot
e toka
kwake kwani hakubeba simu.Nina wasi wasi sana na usa
lama
wake ndani ya jumba lile”
“ She’ll be fine don’t worry.If anything happens s
he
can handle it” akasema Anitha
“ Lazimaniwe na wasi wasi kwa sababu John
Mwaulaya kabla ya kifo chake alinisisitiza kwamba k
wa
namna yoyote ile hata ikibidi kuweka rehani maisha
yangu
nihakikishe Peniela yuko salama kwa hiyo endapo mpa
ka
mchana wa leo sintapata taarifa yoyote toka kwake
itakwenda kumtoa mle ndani mimi mwenyewe.I don’t kn
ow
wh....” Kaba hajamaliza sentesi yake kengele ya getin
i
ikalia.Mathew akainuka na kwenda katika chumba chen
ye
luninga zilizounganishwa na kamera za ulinzi
“ Kareem !! akasema Mathew na kutoka akaelekea
getini akamfungulia Kareem geti akaingia
“ Karibu Kareem.Naamini Peniela amekutuma”
akasema Mathew
“ Ndiyo nimetumwa na Peniela”
“ Anaendeleaje? Is she safe there?
“ She’s mopre than safe.Amenituma nikuletee huu
mzigo na h ii bahasha” akasema Kareem na kutoka ku
ondoka
Mathew akamuomba asubiri akaenda chumbani na kuchuk
ua
simu akampatia
“ Mpe Peniela hii s imu”
Kareem akaondoka ,Mathew na Anitha wakaelekea
katika ofisi yao na kitu cha kwanza ilikuwa ni kui
fungua ile
bahasha iliyokuwa na karatasi ndogo ndani yake iliy
oandikwa
“ ABEL MKOKASULE..Find out who is he?
Mathew na Anitha wakatazamana.
***************
Taratibu za mwisho za kimila zilikamilika nyumbani
kwa Dr Joshua na hivyo kumpa nafasi Dr Joshua ya k
uondoka
kuendelea na majukumu mengine ya kitaifa.Mtu wa kwa
nza
kuonana naye baada ya kurejea ikulu ni Dr Kigomba
“ Kigomba nimekuita hapa kuna mambo kadhaa
ambayo nataka tongee” akaanzisha maongezi Dr Joshu
a
“ Kwanza kabisa nataka nikupe pole sana kwa kifo
cha Jacob Kateka.Nafahamu wewe na Jacob mlikuwa mar
afiki
wakubwa .Hata mimi kifo chake kilimuumiza sana.Nasu
biri
taarifa za uchunguzi wa kifo chake ili tufahamu nin
i
kilisababisha hiyo ajali.Tumempoteza mchapakazi mzu
ri
sana.Mungu amempumzisha mapema” akasema Dr Joshua
halafu ukapita ukimya mfupi akaendelea
“ Tukiachana na taarifa hizo za kustusha za kifo c
ha
Jacob ,ninataka nikushukuru binafsi kwa ushirikiano
wako
mkubwa katika msiba wa mwanangu.Kazi uliyoifanya n
i
kubwa na mimi na familia yangu tunawiwa deni la
shukrani.Kwa niaba yao nasema ahsante sana Kigomba
.Wewe ni rafiki wa kweli.”
“ Nashukuru sana mheshimiwa rais.Ule ulikuwa ni
msiba wetu sote kwa hiyo juhudi za kila mmoja wetu
zilihitajika” akasema Kigomba
“ Jambo lingine ni kuhusiana na sintofahamu
iliyojitokeza katika ule mpango wetu.Yalijitokeza m
ambo
kadhaa likiwamo na hili la msiba na ndiyo maana
nikasimamisha zoezi zima”
“ Tukiachana na hilo la msiba ,nini kingine kilito
kea?
Nahitaji sana kufahamu”
“ Kama utakumbuka usiku ule tukiwa
msibani,niliondoka ghafla bila kukutaarifu naelekea
wapi.Nilipigiwa simu na Rosemary Mkozumi akanitaka
niende
nyumbani kwake haraka kuna jambo la maana sana anat
aka
kunieleza.Nilipofika kwake akanikutanisha na jaji
Elibariki.Aliniambia kwamba jaji Elibariki ana mamb
o
makubwa ya kunieleza.Niliondoka naye hadi msibani n
a
baadae usiku ndipo nikakaa naye akaanza kunieleza
mambo.Alisema kamba baada ya kumuacha huru Peniela
alitaka kufahamu kuhusu nani hasa aliyemuua Edson n
a
ndipo alipoanzisha uchunguzi.Kazi hiyo alimpa rafik
i yake
aitwaye Mathew ambaye aliwahi kufanya kazi katika i
dara
yetu ya usalama wa taifa na aliacha baada ya famili
a yake
kuteketea kwa moto.Wakati rafikiye huyo akiendelea
na
uchunguzi Dr Flora akafariki na Flaviana akamuomba
Elibariki
amsaidie kwa kila nama awezavyo kufahamu kilichomuu
a
mama yake.Elibariki naye akamkabidhi kazi hiyo Math
ew
ambaye alifanikiwa kugundua kilichomuua Flora na nd
ipo
akatuletea ile ripoti tuliyoikataa.Mpango wa kumuua
ulishindwa kwani aliokolewa na Jessica Yule aliyewa
hi kuwa
mlinzi wangu kama unakumbuka”
“ Jessica? Kigomba akashangaa
“ Ndiyo,aliokolewa na Jessica”
“ How? Jessica alifahamuje kuhusu mpango ule wa
kumuua Elibariki?
“ Alielekezwa na Amos.He was a traitor.Amos
alikuwa anafanya kazi na Team Sc41”
“ Team Sc41? Ni kampuni gani hiyo? Akauliza Dr
Kigomba
“ Hii si kampuni .Hiki ni kikundi kinachofanya kaz
i
kwa siri hapa nchini kwa ajili ya kulinda maslahi y
a
Marekani.Hata mimi bado sijakifahamu kiundani zaidi
naendelea kutafuta taarifa zake.Kwa mujibu wa Eliba
riki
hawa Team SC41 wanakitaka kile kirusi na Amos ndiy
e
aliyekuwa mtu wao waliyempandikiza.Si yeye peke yak
e bali
na Peniela”.
“ Ndiyo Peniela “ akasema Dr Joshua na ukimya
mfupi ukapita
“ kwa mujibu wa Elibariki walikuwa na timu yao ya
kuhakikisha nao wanakipata kirusi Aby.Timu hiyo ili
ongozwa
na huyo Mathew,akawepo pia Elibariki mwenyewe,Penie
la
na msichana mwingine nimesahau jina.Elibariki alida
i
kwamba baada ya kutafakari sana aliona hataweza
kupambana na mimi kwa hiyo akaamua kuwasaliti wenza
ke
na kumuachia huru Rosemary mkozumi ambaye alikuwa
anashikiliwa katika jumba la Mathew.Alimtumia Rosem
ary ili
kunifikia mimi.Alinielezea mipango yote waliyokuwa
wameipanga ili kukipata kirusi hicho na ndiyo maan
a
nikachukua tahadhari kwa kusitisha kila kitu hadi h
apo
tutakapojipanga upya vizuri ikiwamo kumuondoa Husse
in na
ujumbe wake pale walipokuwa wamefikia na kuwapeleka
sehemu nyingine.Kwa hiyo Kigomba hiyo ni sababu kuu
iliyonipelekea nisitishe kila kitu hadi hapo tutaka
pojipanga
upya”
Ukimya ukatawala mle ofisini,baada ya dakika mbili
Dr Kigomba akasema
“ Ahsante sana Dr Joshua kwa kueleza mambo hayo
mazito lakini kwa nini unieleze sasa? Nilikufuata
zaidi ya
mara moja kutaka kujua nini kimetokea na hukuwa tay
ari
kunieleza chochote.You didn’t even trust me” akasem
a Dr
Kigomba
“ What do you expect me to do Kigomba? I’m
surrounded by traitors so I chose not to trust anyb
ody
especially you Kigomba!! Dr Joshua akawa mkali kid
ogo
“ I sent you to spy n Peniela,what did you do?
Akauliza Dr Joshua.
“ Nothing...I didn’t do anything wrong Mr
President”akajibu Dr Kigomba.Dr Joshua akamtazama k
wa
macho makali na kusema
“ Kigomba wewe ni mmoja wa watu wangu wa karibu
sana.Please tell me the truth.Ulitembea na Peniela
na
akakupa ile saa ya dhahabu kama zawadi .Is that tha
t true?
Dr Kigomba akamtazama Dr Joshua kwa macho
makali na kuuliza
“ Elibariki ndiye aliyekueleza hivyo? Do you belie
ve
him? After all that you and I we’ve been through yo
u choose
not to trust me and you trust that good for nothin
g
judge?Ahsante sana Dr Joshua.Ahsante sana kwa kucha
gua
kumuamini Elibariki.Kesho asubuhi nitawasilisha kwa
ko
barua yangu ya kujiudhuru ili nikupe nafasi ya kufa
nya kazi na
watu unaowaamini” akasema Dr Kigomba na kuinuka aka
taka
kuondoka
“ It’s not like that Kigomba.Please sit donw.Usiwe
mwepesi kukasirika kiasi hicho” akasema Dr Joshua l
akini
bado Dr Kigomba alikuwa amesimama
“ Sit down Kigomba” akaamuru Dr Joshua na
Kigomba akaketi
“ Nisamehe Kigomba kama maneno niliyoyatamka
yamekukwaza.Sikuwa na lengo hilo.Naomba nikuweke w
azi
Kigomba kwamba Peniela ni mwanamke wangu.” Dr Kigom
ba
akastuka sana akamtazama Dr Joshua kwa sekunde kadh
aa
kisha akasema
“ I didn’t know that”
“ I’m telling you now” akasema Dr Joshua
“ Elibariki aliponieleza kuhusiana na wewe kutembe
a
na Peniela nilichukia sana sana.I love Peniela so m
uch and
she’s mine alone” akanyamaza akamtazama Kigomba na
kuendelea
“ Jana nimekutana na Peniela akanieleza ukweli
wote”
“ Amekueleza nini? akaulizia Kigomba kwa wasi wasi
.
“ She told me the truth”
“ What truth Dr Joshua? Akauliza Kigomba huku wasi
wasi ukimzidi
“ Kuhusu Elibariki.Yale yote aliyonieleza Elibarik
i ni
uongo mtupu.Kumbe amekuwa akishirikiana na Rosemary
Mkozumi kupanga mipango ya kunihujumu.Wanapanga
mipango ya kukipata kirusi na kibaya zaidi alichok
ifanya
Elibariki amekuwa akimtaka peniela kimapenzi kwa ki
singizio
eti yeye ndiye aliyemuachia huru.Baada ya peniela
kumkatalia ,jaji Elibariki alimbaka!!!!..Sura ya Dr
Joshua
ikabadilika na hasira za wazi wazi zikaonekana
“ Kibaya zaidi baada ya kumbaka alimtolea vitisho
vya kumuua endapo atanieleza suala hilo.Juzi usiku
Peniela
alivamiwa na watu nyumbani kwake waliokuwa na lengo
la
kumuua lakini akafanikiwa kutoroka na watu wale
wakaichoma moto nyumba yake wakateketeza kila
kitu.Elibariki is a snake!!! Akasema Dr Joshua kwa
hasira
“ Peniela anaishi wapi kwa sasa?
“ Anaishi kwenye ile nyumba yangu ya
ufukweni.Elibariki ameniudhi sana na nitamfunza
adabu.Alinifanya niwachukie watu wangu wa maana kwa
maneno yake ya uongo” akasema Dr Joshua na kumfanya
Dr
Kigomba ashushe pumzi.
“ Wakati mwingine ukiletewa taarifa kama hizo
unatakiwa kujadiliana kwanza na wenzako” akasema Dr
Kigomba
“ Usemayo ni ya kweli Kigomba.Mambo yetu mengi
yamekwama.Hivi sasa tayari tungekwisha maliza biash
ara
yetu na Hussein.
 
Back
Top Bottom