Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

 
Jamn ipi nyingine Kali size ya peniela?
Zipo nyingi ila zote za huyu huyu muandishi Patrick ck ... Kuna miss Tanzania. . Etc ..view profile ya gele kisha nenda sehemu ya post zake uki view content utazikuta baadhi ya story za jamaa
 
Duh! yaani kila inapoishia inakupa mushawasha wa kujua nini kinajiri kiukweli mtunzi mpangilio wako nimeukubali endelea unaweza kuwa musiba au Ben mtobwa mpya
ile 7m naona kama imepotea maana inaonekana dokta hana anachojua.
 
ile 7m naona kama imepotea maana inaonekana dokta hana anachojua.
Jamani Mimi natafuta kitabu nimekisahau jina kwa ufasaha ila nakumbuka mhusika mkuu anaitwa Jadu, alikuwa mtu wa maajabu maajabu , nakihitaji sana.
 
Usilete tena hii hadithi yako hapa Jana sijalala na sasa hivi nasinzia sinzia na kuchungulia kipande kingine kama kishaarushwa badala ya kufanya kazi
Huwezi nisomesha hivyo mimi
Fyuuuuuuuu!!!;;!!!!!!!
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom