Sethshalom
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 586
- 1,013
Hii ni atomic ( mother of all nuclear ) linaharibu nchi in one second .hakuna nchi yenye only USAHakuna Vita hapo kwa sasa!
Kinachofanyika ni game ya Kisiasa kwa pande zote mbili
Tayari Iran imefanikiwa kushawishi Utawala wa Iraq kuikataa Marekani kwa kupitisha Azimio rasmi
Marekan imefanikiwa kushawishi NATO na Umoja wa Ulaya kuwa upande wake
Iran nayo imejitoa kwenye makubaliano ya ki nyuclear for Pilitical reasons pia
Sasa hivi America imefanikiwa kwa upande wa kuithibitishia Dunia kuwa Iran ipo Iraq Vitani kwa kuwa Kamanda wake kauawa Iraq sio Iran
Iran imefanikiwa kurejesha Ki Propaganda sana
America imefanikiwa kijeshi
Ki Vita Iran hana ubavu wa kuipiga America ila ana ubavu wa kuitingisha ki Uchumi kitu ambacho America haipo tayari kwa sasa
Wanawake kibao tu wanamidevu vingunguti unataka kusemaje?Ndevu ni moja ya alama za mwanaume,wewe endelea kung'arisha uso kwa kila aina ya cream,
Hizo picha ndio zimekuaminisha kua vita inapiganwa hivyo? ile drone latest isiyoonekana ilitunguliwa hivi karibuni tu ulisikia hilo? Unadhani kuingia anga la Iran ni rahisi sio Eeeh!
Hiyo vita wanaenda kupigania wapi?
Naona watu wana hamu ya vita na swali hili hawajiulizi
Hewani .haitokuwa vita Ila ndege zinavamia nchi in a second shusha bomu zote na zinarudi
Iran, i e tehran n.kHiyo vita wanaenda kupigania wapi?
Naona watu wana hamu ya vita na swali hili hawajiulizi
Wape Moyo Wajichanganye WachakazweLicha ya nguvu nyingi wanaweza kuangamizwa vilevile. Kumbuka sio siku zote mwenye nguvu ndio ashindae. Kila mtu aliamini Daudi anaenda kuuawa na goliati lkn kilichomkuta goliati ni historia. By the way uzi wako ni porojo tu, hauna cha maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni atomic ( mother of all nuclear ) linaharibu nchi in one second .hakuna nchi yenye only USA
Kassim yeye ametangulia sa hizi Anajitafunia zake Mabikra 72 kwa zamu anazichakata.
Hivi mmesahau Sadam .mpaka Dakika ya mwisho alifikiri Usa wanatania .Alivyoamka usiku nchi imeengiliwaVita sio lelemama wewee!
Leo hii bado wanapambana kurudisha gharama za kumtoa Saddam kwa kuwa Hata Vibaraka wao wamewageuka ndani ya Iraq wanashirikiana na IS na Iran kuhakikisha kila tone la Mafuta linalifyonzwa Iraq basi waache damu ya Wanajeshi wao
Vita halisi ni tofauti sana na yale maigizo ya kina Rambo na vandamme
Kassim yeye ametangulia sa hizi Anajitafunia zake Mabikra 72 kwa zamu anazichakata.
Ila Schwarzenegger ni vita kweli. uongo?Vita sio lelemama wewee!
Leo hii bado wanapambana kurudisha gharama za kumtoa Saddam kwa kuwa Hata Vibaraka wao wamewageuka ndani ya Iraq wanashirikiana na IS na Iran kuhakikisha kila tone la Mafuta linalifyonzwa Iraq basi waache damu ya Wanajeshi wao
Vita halisi ni tofauti sana na yale maigizo ya kina Rambo na vandamme
mhhh basi sawaLicha ya nguvu nyingi wanaweza kuangamizwa vilevile. Kumbuka sio siku zote mwenye nguvu ndio ashindae. Kila mtu aliamini Daudi anaenda kuuawa na goliati lkn kilichomkuta goliati ni historia. By the way uzi wako ni porojo tu, hauna cha maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita ni vita hakuna anaeenda vitani akiwa na uhakika 100% kushinda, hata Vietnam au Afghanistan naona kote walilizwa ,may be kwa sababu si watoto wa viongozi wanaokwenda vitani. Hizo ndege zinaweza kuangushwa kama makaratasi dunia ikabaki inashangaa. Merakani ni powerfull lakini ina weaknesses nyingi ,tusubili vita ianze ndio tutajua ukuu wao uko wapi
Licha ya nguvu nyingi wanaweza kuangamizwa vilevile. Kumbuka sio siku zote mwenye nguvu ndio ashindae. Kila mtu aliamini Daudi anaenda kuuawa na goliati lkn kilichomkuta goliati ni historia. By the way uzi wako ni porojo tu, hauna cha maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran atapigwa kipigo ambacho hakitakuja kusahaulika ,watapigwa haraka sana na kwa nguvu nyingi kwa sababu Marekani anaamini anapigana na gaidi linalohitaji kuangamizwa kabla halijaleta madhara
Mnapenda Vita ee
Hii ni atomic ( mother of all nuclear ) linaharibu nchi in one second .hakuna nchi yenye only USA
Hiyo vita wanaenda kupigania wapi?
Naona watu wana hamu ya vita na swali hili hawajiulizi