Pentagon is ready to destroy Iran atomic bomb

Pentagon is ready to destroy Iran atomic bomb

Hawa wamarekani wanataka tu kuchota mafuta na kuharibu globally economy hasa wa mchina na mrusi ili yeye azidi kuwa juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote mnaoshabikia Vita , hakika hamjui madhara halisi ya Vita.Usiombee Vita!. Ikitokea vita ya Irani na Marekani kila mtu Dunia itamuathiri, mfano tarajia lita moja ya Petroleum kuwa Tsh 3000. Tarajia mabadiriko ya Kitabia nchi, tarajia inflation ya bidhaa kutoka usa,china,uae, nk. Ndg usiombe vita au njaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna vita ya kimya kimya, Kubweka huwa kuna faida na hasara zake.
1. Kubweka kunaweza kumtisha adui
na kutaka suluhu au hata kujisalimisha

2. Kuwaonyesha wananchi kiwango walichokerwa na kuwahamasisha, kuwatia molari wapiganaji...
Kumbuka speech ya Nyerere (nia tunayo, sababu tunayo na uwezo tunao)
Hii ilitia hamasa wanajeshi, polisi, migambo na kuleta tumaini kwa wananchi wa kawaida kuwa kumbe tuko salama, ilhali baadhi ya wapiganaji walikuwa peku, wamevaa misuli na hawana mbinu za kupigana.
Hivi mfano Iran angekaa kimya bila kujitunisha kifua kujibu malipizi,na akaamua kufyatua adui zake kimya kimya angepungukiwa nini,
Sifa za mtoto wa paka kujifanya simba zinaenda kusababisha nyumba nzima kuchomwa moto

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi kumbe mpaka muda huu unafikiri uamuzi ya kuivamia Iran ni maamuzi binafsi ya trump!??

Sent using Jamii Forums mobile app

Pentagon inasema ‘Rais kaelekeza ‘

Bunge la Marekan linasema uamuzi kama ule ulipaswa kupata baraka za Bunge halafu Mchambuzi wa Jf unabisha sasa Mie ntaweza kweli kukushawishi ubadili msimamo?
 
Wanawake kibao tu wanamidevu vingunguti unataka kusemaje?
Ungesoma kwa kuelewa usingeuliza hili swali,
Nimesema Ndevu ni "Moja ya alama za mwanaume" narudia tena "moja ya alama za mwanaume"
naona kwa akili yako umeelewa kua ukiwa na ndevu tu basi tayari unakua mwanaume!
kwa kawaida ndevu ni kwa mwanaume,

Ukiona mwanaume anajisifia kutokua na ndevu au kukejeli wanaume wenye ndevu basi tambua kua huyo mtu ana tatizo sehemu.
 
Ungesoma kwa kuelewa usingeuliza hili swali,
Nimesema Ndevu ni "Moja ya alama za mwanaume" narudia tena "moja ya alama za mwanaume"
naona kwa akili yako umeelewa kua ukiwa na ndevu tu basi tayari unakua mwanaume!
kwa kawaida ndevu ni kwa mwanaume,

Ukiona mwanaume anajisifia kutokua na ndevu au kukejeli wanaume wenye ndevu basi tambua kua huyo mtu ana tatizo sehemu.
Atakuwa na viashiria vya mchezo wa wamarekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungesoma kwa kuelewa usingeuliza hili swali,
Nimesema Ndevu ni "Moja ya alama za mwanaume" narudia tena "moja ya alama za mwanaume"
naona kwa akili yako umeelewa kua ukiwa na ndevu tu basi tayari unakua mwanaume!
kwa kawaida ndevu ni kwa mwanaume,

Ukiona mwanaume anajisifia kutokua na ndevu au kukejeli wanaume wenye ndevu basi tambua kua huyo mtu ana tatizo sehemu.
Kiungo kimoja na ni pekee kinachomtambulisha mwanaume nacho ni uume.
No combination of nothing.

Nina maana kama ndevu hata wanawake wanazo, kama upaja na wanawake wanao.
 
Biashara ya siraha sasa imepamba moto.

Hiyo midege na mabomu kila siku Viwanda vinazalisha! Mnadhani zitatumikaje?

Hapa ni mwendo wa siasa, biashara na utawala tu.
Hata wakati wa Obama yalitokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom