Pentagon yakiri droni za Iran ni "pasua kichwa" kwa Ukraine, USA🇺🇸 na NATO, hakuna 'kinetic interceptors' za kuzidungua!

Pentagon yakiri droni za Iran ni "pasua kichwa" kwa Ukraine, USA🇺🇸 na NATO, hakuna 'kinetic interceptors' za kuzidungua!

Pentagon yakiri kuwa droni zinazonasibishwa na Muajemi (Iran) zimekuwa "pasua kichwa" kwa Ukraine, US na NATO kwa ujumla. Afisa mwandamizi wa Pentagon amesema droni hizo zinachoma vibaya magarivita ya NATO yaliyopelekwa Ukraine (armored vehicles), mifumo ya ulizi wa anga, mikusanyiko ya wanajeshi wa Ukraine pamoja na zana za mizinga za NATO zilizopelekwa Ukraine (artillery).

Afisa huyo mwandamizi wa Pentagon ameongezea kuwa ni vigumu kujikinga dhidi ya mashambulizi ya droni hizo, kwani Marekani NATO wote hawana 'kinetic interceptors' zenye kuweza kudungua droni hizo.

Akichambua zaidi uwezo wa droni hizo, afisa huyo wa ngazi ya juu wa Pentagon amedokeza kuwa droni hizo zinazohusishwa na Uajemi ni za ajabu. Kwani mbali ya uwezo wake uliotukuka wa kushambulia na kuchoma zanavita mbalimbali ikiwemo mifumo ya Ulinzi wa anga, pia zinafanya missions za sampuli tofauti tofauti ikiwemo kukusanya taarifa za kiintelijensia (intelligence), kufatilia zana na majeshi ya adui (surveillance) , na uchunguzi wa maeneo yenye majeshi ya adui (reconnaissance) na hivyo kuyafanya majeshi ya Ukraine na zana zao kuwa hatarini kushambuliwa na droni hizo wakati wowote.

Taarifa hii imeripotiwa na Marekani yenyewe (The National Interest)
=====

View attachment 2398192
A senior Pentagon official did not confirm the exact number of Shahed 136 drones being used to support the Russian effort but made it clear that such an initiative would not be surprising. The Iranian “kamikaze” drones are a loitering munition that can attack from ranges as far as 2,500 kilometers away.

Thousands more Iranian drones may be headed to Ukraine as Russian forces continue to use them to attack armored vehicles, air defenses, troop concentrations, and mobile artillery.

“We do know that Iran has provided Russia with drones for use on the battlefield in Ukraine. While I don't have anything specific to provide in terms of potential future deliveries, it would not -- we would not be surprised were that the case,” a Pentagon official told reporters during a background briefing.

These kinds of weapons present a serious threat to Ukrainian forces as they can be quite difficult to defend against. Large numbers of swarming drones would be quite difficult to target with any kind of kinetic interceptor. These systems also operate at a lower altitude and can be organically launched from dismounted units in close proximity. Finally, these kinds of drones could conduct intelligence, surveillance, and reconnaissance (ISR) missions as well, making Ukrainian armored vehicles, formations, or artillery systems vulnerable to attack.

Zamani hawa viumbe walifikiri maarifa na elimu ya dunia yanapatikana na yamefungiwa kwenye jamii yao pekee. Nje ya jamii yao wanaona hakuna la maana linaloweza kufanyika. Sasa Putin anawaonesha show za kibabe mpaka wanabaki hoi.
 
Moja ya sababu inayofanya drones za US kudukuliwa kwa urahisi ni ziko high tech,, yaani zinategemea sana real time data uplink kwa maana kuwa inapokea comand toka home base au operater in real time, na live data downlink, kwamba inatuma data kuhusu target to thebase in really time, ndo maana drone ya US , israel inaweza kuzunguka( loitering)on target hata kwa masaa 30 ikisubiri command ya kuattack,, Russia bado hawajawa na hii technology,,
Lakini hii technology inazifanya drones kuwa rahisi kudukuliwa,
Advantage yake, ni US na israel tu ndo wana drone zinazoweza kuwinda mtu specific hata kwa wiki zikikusanya taarifa au zikitafuta mda mwafaka wa kushambulia
"Russia bado hawajawa na hii technology"

Ngoja Pro Russia wenzako waje kukushambulia mpaka ukome[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe tunakubaliana Urusi level zake ni kuteswa na Ukraine. Sasa Ukraine haipo kwenye nchi zinazojaribu au kufikiriwa kuwa superpower. Hiyo ni ligi ya Ndondo kama inashindikana hatuwezi toa timu kuipeleka ligi kuu
Mara ya mwisho USA aliteswa sana na Japan kilichotokea dunia imeandika vita sio lipstick useme unajipaka tu.Wote tumekuwa mashabiki maandazi.
 
Hizi drones hazina camera, wala sensors mfano anti radiation, wala siyo laser guided,, hizi ni pre programmed,, yaani flight path yake to the target iko pre programmed, hivyo kuidukua ni ngumu maana imeshakuwa fed with infor na cordinates za target , so kwanza haiwezi piga moving targets,, sababu haina sensors, na ndo maana ni very cheap,
Haihitaji data uplink, so haidukuliki
kinachotakiwa in kichapo tu sijui hazina mini hazipigi moving haijalishi hayo
 
Isingekuwa vikwazo, Iran ingekuwa kati ya mataifa yenye nguvu (nyingi sana) duniani.
Bila vikwazo inawezekana angekuwa kama Sisi tu matatizo Huwa yanakuongeza akili km Sisi nchi yetu inavyoyumba Sasa hv utashandaa tukiwekewa vikwazo ndio tutaendelea maana hakuna wa kumtegemea lazima mjitume
 
Bila vikwazo inawezekana angekuwa kama Sisi tu matatizo Huwa yanakuongeza akili km Sisi nchi yetu inavyoyumba Sasa hv utashandaa tukiwekewa vikwazo ndio tutaendelea maana hakuna wa kumtegemea lazima mjitume

Embu tujifunze kutokana na vikwazo kwa Zimbabwe.
 
Back
Top Bottom