Pentagon yaogopa kupeleka ndegevita za Marekani Ukraine; yahofia biashara yake ya ndege hizo itaharibika!

Pentagon yaogopa kupeleka ndegevita za Marekani Ukraine; yahofia biashara yake ya ndege hizo itaharibika!

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Pentagon imeendelea kuruka viunzi suala la kupeleka ndegevita za kimarekani nchini Ukraine. Pentagon yasema suala la kuipatia Ukraine ndegevita za kimarekani lipo mezani lakini kuzipeleka hadi kufika nchini Ukraine itachukua miaka tele.

Mwambieni Biden aache kuruka viunzi, ni muda muafaka sasa apeleke Ukraine hayo 'mabatibati' yake ya SIMBADUMU waliyoyapa jina ati 'ndegevita' yakadunguliwe vibaya na Urusi na dunia nzima ijue madhaifu ya mabatibati hayo. Eti 'itachukua miaka mingi ndege hizo kufika Ukraine', kwani zinatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine!

Basi Biden apeleke walau ndege za nchi nyinginezo za NATO, tuna hamu ya kushuhudia walau ndege za wanachama wa NATO zikidondoshwa kama kumbikumbi.
======


SmartSelect_20220826-091948_Chrome.jpg
Screenshot_20220826-092152_Chrome.jpg
Screenshot_20220826-092239_Chrome.jpg

SmartSelect_20220826-092528_Chrome.jpg
 
Hiyo ni tafsiri yako Ila Pentagon wenyewe wameshasema itachukua muda mrefu na sababu ni kwamba hizo ndege sio Toyota IST kwamba unaelekezwa Leo kesho upo nayo road. Hizo ndege zinahitaji mafunzo ya muda mrefu kabla ya kukabidhiwa kwa nchi husika (mteja) kumbuka Turkey kabla ya kutolewa kwenye F-35 program marubani wake walikua wapo Marekani wanapokea mafunzo jinsi ya kutumia hizo ndege. Baada ya kutolewa kwenye program na marubani wake wote wakatimuliwa na mafunzo ndo yakaishia hapo.

US Air Force halts Turkish F-35 pilot training amid Russia dispute

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
Hana akili, itakuwa anatafsiriwa na kilaza wa lugha ya malkia
Hiyo ni tafsiri yako Ila Pentagon wenyewe wameshasema itachukua muda mrefu na sababu ni kwamba hizo ndege sio Toyota IST kwamba unaelekezwa Leo kesho upo nayo road. Hizo ndege zinahitaji mafunzo ya muda mrefu kabla ya kukabidhiwa kwa nchi husika (mteja) kumbuka Turkey kabla ya kutolewa kwenye F-35 program marubani wake walikua wapo Marekani wanapokea mafunzo jinsi ya kutumia hizo ndege. Baada ya kutolewa kwenye program na marubani wake wote wakatimuliwa na mafunzo ndo yakaishia hapo.

US Air Force halts Turkish F-35 pilot training amid Russia dispute

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
 
Mpaka sasa bado sijaona saana umuhimu wa ndege vita kwa upande wa ukraine. Hadi kufikia sasa Russia ameshindwa kuteka hata 40% ya Ukraine, na sehemu alizoshikilia bado mapambano yanaendelea na kwingine Ukraine ameanzisha mashambulizi.

Kitu kikubwa anachotaka Ukraine ni kupewa Air Defence Systems bora pamoja na MRLS za masafa marefu. Russia ameacha kutumia ndege, vifaru mara kwa mara na magari vita, ila anatumia makombora ya masafa marefu. Na hii ni baada ya kuona ndege zake hazifui dafu pale Ukraine.

Ukraine atahitaji Air Defence ili kuzima mashambulizi ya Russia, huku na yeye apewe silaha za kushambulia ili kuweza kukomboa kile alichopoteza, hayo masuala ya ndege nafikiri ni kwa baadae sana kama US alivyoona, tusisahau pia Kurusha ndege ni cost kubwa, sasa kwa hali ya Ukraine ya sasa anapata wapi pesa ya kurusha hizo ndege? Pengine ndio maana US ameona muda bado wa Ukraine kupewa ndege vita hizo.
 
Hiyo ni tafsiri yako Ila Pentagon wenyewe wameshasema itachukua muda mrefu na sababu ni kwamba hizo ndege sio Toyota IST kwamba unaelekezwa Leo kesho upo nayo road. Hizo ndege zinahitaji mafunzo ya muda mrefu kabla ya kukabidhiwa kwa nchi husika (mteja) kumbuka Turkey kabla ya kutolewa kwenye F-35 program marubani wake walikua wapo Marekani wanapokea mafunzo jinsi ya kutumia hizo ndege. Baada ya kutolewa kwenye program na marubani wake wote wakatimuliwa na mafunzo ndo yakaishia hapo.

US Air Force halts Turkish F-35 pilot training amid Russia dispute

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Mkuu ukibishana na hawa pro Russia utajikuta unapanik maana huwa weng wao sana vufu tuu ,
 
Mpaka sasa bado sijaona saana umuhimu wa ndege vita kwa upande wa ukraine. Hadi kufikia sasa Russia ameshindwa kuteka hata 40% ya Ukraine, na sehemu alizoshikilia bado mapambano yanaendelea na kwingine Ukraine ameanzisha mashambulizi.

Kitu kikubwa anachotaka Ukraine ni kupewa Air Defence Systems bora pamoja na MRLS za masafa marefu. Russia ameacha kutumia ndege, vifaru mara kwa mara na magari vita, ila anatumia makombora ya masafa marefu. Na hii ni baada ya kuona ndege zake hazifui dafu pale Ukraine.

Ukraine atahitaji Air Defence ili kuzima mashambulizi ya Russia, huku na yeye apewe silaha za kushambulia ili kuweza kukomboa kile alichopoteza, hayo masuala ya ndege nafikiri ni kwa baadae sana kama US alivyoona, tusisahau pia Kurusha ndege ni cost kubwa, sasa kwa hali ya Ukraine ya sasa anapata wapi pesa ya kurusha hizo ndege? Pengine ndio maana US ameona muda bado wa Ukraine kupewa ndege vita hizo.
Kabisa mkuu
 
N
Pentagon imeendelea kuruka viunzi suala la kupeleka ndegevita za kimarekani nchini Ukraine. Pentagon yasema suala la kuipatia Ukraine ndegevita za kimarekani lipo mezani lakini kuzipeleka hadi kufika nchini Ukraine itachukua miaka tele.

Mwambieni Biden aache kuruka viunzi, ni muda muafaka sasa apeleke Ukraine hayo 'mabatibati' yake ya SIMBADUMU waliyoyapa jina ati 'ndegevita' yakadunguliwe vibaya na Urusi na dunia nzima ijue madhaifu ya mabatibati hayo. Eti 'itachukua miaka mingi ndege hizo kufika Ukraine', kwani zinatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine!

Basi Biden apeleke walau ndege za nchi nyinginezo za NATO, tuna hamu ya kushuhudia walau ndege za wanachama wa NATO zikidondoshwa kama kumbikumbi.
======


View attachment 2335141View attachment 2335142View attachment 2335143
View attachment 2335144
NAshindwaga kukuelewa maana unaongeaga upupu uliojaa mahaba na masengenyo ya uswahilini,unesoma chuo gan? Aisee,
 
Sio ndege TU,
USA imeogopa kupeleka
Thaad,
Patriot,
landforce na Sasa ndege.
Biden alisema
Raia yoyote wa USA akienda ama asipoondoka Ukraine yatakayomkuta huko Serikali ya USA haitahusika.
Kwa nchi nyingine USA alipekeka kikosi chake hatari kabisa hapa Duniani SEAL.
USA amwogope Russia ? Kamwekea vikwazo,anatoa misaada licha ya biti,eti leo akamwogope super power wa mchongo,kama hujui Russia bila US isingesimama leo maana Hitler alikua ameshawakamata haja, shukuru US kwa msaada kipind kile
 
Pentagon imeendelea kuruka viunzi suala la kupeleka ndegevita za kimarekani nchini Ukraine. Pentagon yasema suala la kuipatia Ukraine ndegevita za kimarekani lipo mezani lakini kuzipeleka hadi kufika nchini Ukraine itachukua miaka tele.

Mwambieni Biden aache kuruka viunzi, ni muda muafaka sasa apeleke Ukraine hayo 'mabatibati' yake ya SIMBADUMU waliyoyapa jina ati 'ndegevita' yakadunguliwe vibaya na Urusi na dunia nzima ijue madhaifu ya mabatibati hayo. Eti 'itachukua miaka mingi ndege hizo kufika Ukraine', kwani zinatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine!

Basi Biden apeleke walau ndege za nchi nyinginezo za NATO, tuna hamu ya kushuhudia walau ndege za wanachama wa NATO zikidondoshwa kama kumbikumbi.
======


View attachment 2335141View attachment 2335142View attachment 2335143
View attachment 2335144
Tunataka F 35 tuzishushe kama mdoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zikatue Kubinka Air Base marubani tuwale mshkaki na kyepe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
 
Tunataka F 35 tuzishushe kama mdoli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zikatue Kubinka Air Base marubani tuwale mshkaki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Jamaa waoga ile mbaya...Pentagon yadai eti F-35 hata wakiidhinisha kupelekwa Ukraine zitachukua miaka tele kufika Ukraine...sasa sijui hizo 'ndegevita mchongo' zitakuwa zatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine 😆😆🤣🤣😄😄😇😇😇
 
Mpaka sasa bado sijaona saana umuhimu wa ndege vita kwa upande wa ukraine. Hadi kufikia sasa Russia ameshindwa kuteka hata 40% ya Ukraine, na sehemu alizoshikilia bado mapambano yanaendelea na kwingine Ukraine ameanzisha mashambulizi.

Kitu kikubwa anachotaka Ukraine ni kupewa Air Defence Systems bora pamoja na MRLS za masafa marefu. Russia ameacha kutumia ndege, vifaru mara kwa mara na magari vita, ila anatumia makombora ya masafa marefu. Na hii ni baada ya kuona ndege zake hazifui dafu pale Ukraine.

Ukraine atahitaji Air Defence ili kuzima mashambulizi ya Russia, huku na yeye apewe silaha za kushambulia ili kuweza kukomboa kile alichopoteza, hayo masuala ya ndege nafikiri ni kwa baadae sana kama US alivyoona, tusisahau pia Kurusha ndege ni cost kubwa, sasa kwa hali ya Ukraine ya sasa anapata wapi pesa ya kurusha hizo ndege? Pengine ndio maana US ameona muda bado wa Ukraine kupewa ndege vita hizo.

Safi sana mtaalamu wa masuala ya kivita upande wa Marekani aliyepo Tandale kwa Bi Nyau
 
Jamaa waoga ile mbaya...Pentagon yadai eti F-35 hata wakiidhinisha kupelekwa Ukraine zitachukua miaka tele kufika Ukraine...sasa sijui hizo 'ndegevita mchongo' zitakuwa zatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine [emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji56][emoji56][emoji56]
Wanaogopa wateja wao wanaweza katisha dili la kununua hayo makopo
 
Back
Top Bottom