Pentagon yaogopa kupeleka ndegevita za Marekani Ukraine; yahofia biashara yake ya ndege hizo itaharibika!

Pentagon yaogopa kupeleka ndegevita za Marekani Ukraine; yahofia biashara yake ya ndege hizo itaharibika!

Mpaka sasa bado sijaona saana umuhimu wa ndege vita kwa upande wa ukraine. Hadi kufikia sasa Russia ameshindwa kuteka hata 40% ya Ukraine, na sehemu alizoshikilia bado mapambano yanaendelea na kwingine Ukraine ameanzisha mashambulizi.

Kitu kikubwa anachotaka Ukraine ni kupewa Air Defence Systems bora pamoja na MRLS za masafa marefu. Russia ameacha kutumia ndege, vifaru mara kwa mara na magari vita, ila anatumia makombora ya masafa marefu. Na hii ni baada ya kuona ndege zake hazifui dafu pale Ukraine.

Ukraine atahitaji Air Defence ili kuzima mashambulizi ya Russia, huku na yeye apewe silaha za kushambulia ili kuweza kukomboa kile alichopoteza, hayo masuala ya ndege nafikiri ni kwa baadae sana kama US alivyoona, tusisahau pia Kurusha ndege ni cost kubwa, sasa kwa hali ya Ukraine ya sasa anapata wapi pesa ya kurusha hizo ndege? Pengine ndio maana US ameona muda bado wa Ukraine kupewa ndege vita hizo.
Ndege ni muhimu maana inaweza ingia hadi ndani ya adui na kufanya mashambulizi haraka
 
Mpaka sasa bado sijaona saana umuhimu wa ndege vita kwa upande wa ukraine. Hadi kufikia sasa Russia ameshindwa kuteka hata 40% ya Ukraine, na sehemu alizoshikilia bado mapambano yanaendelea na kwingine Ukraine ameanzisha mashambulizi.
Kwani wewe nani hadi kuona kwako umuhimu wa ndegevita kwa Ukraine ndio iwe kigezo cha Ukraine kuhitajia ndege hizo?!...

Hizo pombe za 'Wanzuki' mnazojifundisha kunywa zinawalevya vibaya mpaka mnahisi nyie ndio majenerali wa jeshi la Ukraine na mnaweza kuamua maswala ya jeshi la Ukraine
SmartSelect_20220826-181944_Chrome.jpg
 
Hiyo ni tafsiri yako Ila Pentagon wenyewe wameshasema itachukua muda mrefu na sababu ni kwamba hizo ndege sio Toyota IST kwamba unaelekezwa Leo kesho upo nayo road. Hizo ndege zinahitaji mafunzo ya muda mrefu kabla ya kukabidhiwa kwa nchi husika (mteja) kumbuka Turkey kabla ya kutolewa kwenye F-35 program marubani wake walikua wapo Marekani wanapokea mafunzo jinsi ya kutumia hizo ndege. Baada ya kutolewa kwenye program na marubani wake wote wakatimuliwa na mafunzo ndo yakaishia hapo.

US Air Force halts Turkish F-35 pilot training amid Russia dispute

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa
 
Jamaa waoga ile mbaya...Pentagon yadai eti F-35 hata wakiidhinisha kupelekwa Ukraine zitachukua miaka tele kufika Ukraine...sasa sijui hizo 'ndegevita mchongo' zitakuwa zatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine 😆😆🤣🤣😄😄😇😇😇
Wewe unaifahamu F-35 kweli! Hiyo sio ndege ya kupelekwa Ukraine, ikafanye nini wakati hata MIG-29 za mwaka 1980 ndio zinainyanyasa Russia.

Kwa sasa F-35 haina vita vya kupigana labda wapewe zile F-15.
 
Pentagon imeendelea kuruka viunzi suala la kupeleka ndegevita za kimarekani nchini Ukraine. Pentagon yasema suala la kuipatia Ukraine ndegevita za kimarekani lipo mezani lakini kuzipeleka hadi kufika nchini Ukraine itachukua miaka tele.

Mwambieni Biden aache kuruka viunzi, ni muda muafaka sasa apeleke Ukraine hayo 'mabatibati' yake ya SIMBADUMU waliyoyapa jina ati 'ndegevita' yakadunguliwe vibaya na Urusi na dunia nzima ijue madhaifu ya mabatibati hayo. Eti 'itachukua miaka mingi ndege hizo kufika Ukraine', kwani zinatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine!

Basi Biden apeleke walau ndege za nchi nyinginezo za NATO, tuna hamu ya kushuhudia walau ndege za wanachama wa NATO zikidondoshwa kama kumbikumbi.
======


View attachment 2335141View attachment 2335142View attachment 2335143
View attachment 2335144
kuwa pro russia raha sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe unaifahamu F-35 kweli! Hiyo sio ndege ya kupelekwa Ukraine, ikafanye nini wakati hata MIG-29 za mwaka 1980 ndio zinainyanyasa Russia.

Kwa sasa F-35 haina vita vya kupigana labda wapewe zile F-15.
Funga kopo lako na kuropokaropoka hapa hovyo...

F-35 zilienda kushambulia Iraq kwa Islamic state ambao ni madhaifu na hawakuwa hata na mifumo ya ulinzi wa anga. Kinachozuia ndege hizo kwenda vitani Ukraine kum-face adui mwenye uwezo na nguvu za kijeshi ni kuogopa zitadunguliwa na kudondoshwa kama kumbikumbi kwa kutumia S-400/500 za Urusi na hivyo Marekani kuvuliwa nguo kisha biashara za midoli hiyo kufa rasmi Duniani.
======

Screenshot_20220826-215945_Chrome.jpg
 
Pentagon imeendelea kuruka viunzi suala la kupeleka ndegevita za kimarekani nchini Ukraine. Pentagon yasema suala la kuipatia Ukraine ndegevita za kimarekani lipo mezani lakini kuzipeleka hadi kufika nchini Ukraine itachukua miaka tele.

Mwambieni Biden aache kuruka viunzi, ni muda muafaka sasa apeleke Ukraine hayo 'mabatibati' yake ya SIMBADUMU waliyoyapa jina ati 'ndegevita' yakadunguliwe vibaya na Urusi na dunia nzima ijue madhaifu ya mabatibati hayo. Eti 'itachukua miaka mingi ndege hizo kufika Ukraine', kwani zinatembea kwa mguu toka Marekani hadi Ukraine!

Basi Biden apeleke walau ndege za nchi nyinginezo za NATO, tuna hamu ya kushuhudia walau ndege za wanachama wa NATO zikidondoshwa kama kumbikumbi.
======


View attachment 2335141View attachment 2335142View attachment 2335143
View attachment 2335144
Nyuzi nyingine ni za kiwaki sana.
 
Hiyo ni tafsiri yako Ila Pentagon wenyewe wameshasema itachukua muda mrefu na sababu ni kwamba hizo ndege sio Toyota IST kwamba unaelekezwa Leo kesho upo nayo road. Hizo ndege zinahitaji mafunzo ya muda mrefu kabla ya kukabidhiwa kwa nchi husika (mteja) kumbuka Turkey kabla ya kutolewa kwenye F-35 program marubani wake walikua wapo Marekani wanapokea mafunzo jinsi ya kutumia hizo ndege. Baada ya kutolewa kwenye program na marubani wake wote wakatimuliwa na mafunzo ndo yakaishia hapo.

US Air Force halts Turkish F-35 pilot training amid Russia dispute

Sent from my Mi 9T using JamiiForums mobile app
Kwani zile zilizoenda kumshambulia Libya zile ndege za USA na NATO aliendesha nani?kwann vita ya Ukraine wanataka Ukrainian waendeshe wenyewe waendeshe wenyewe USA wakashambulie tuone majeneza km walivyoenda Libya mnachagua wa kuwaonea

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Funga kopo lako na kuropokaropoka hapa hovyo...

F-35 zilienda kushambulia Iraq kwa Islamic state ambao ni madhaifu na hawakuwa hata na mifumo ya ulinzi wa anga. Kinachozuia ndege hizo kwenda vitani Ukraine kum-face adui mwenye uwezo na nguvu za kijeshi ni kuogopa zitadunguliwa na kudondoshwa kama kumbikumbi kwa kutumia S-400/500 za Urusi na hivyo Marekani kuvuliwa nguo kisha biashara za midoli hiyo kufa rasmi Duniani.
======

View attachment 2335817
Wewe hayo mapipa ya Russia ulishaona wapi zimedungua hata kunguru, Russia anazifanyia tu promo hayo mapipa ili awashike macho watu lakini hayana lolote.
 
Wewe hayo mapipa ya Russia ulishaona wapi zimedungua hata kunguru, Russia anazifanyia tu promo hayo mapipa ili awashike macho watu lakini hayana lolote.
Tulia dawa ikungie....F-16 za Marekani zimenyanyaswa kijinsia na S-300 za kisovieti. Habari toka Wizara ya Ulinzi ya Uturuki (NATO)
 
Acha ujinga wewe USA alifanya nini kwenye WW2.iyo mada wenzako waliumbuka baada ya kuongea maneno kama yako. Bila URUSI tungekuwa tunaongea kijerumani dunia nzima
USA amwogope Russia ? Kamwekea vikwazo,anatoa misaada licha ya biti,eti leo akamwogope super power wa mchongo,kama hujui Russia bila US isingesimama leo maana Hitler alikua ameshawakamata haja, shukuru US kwa msaada kipind kile
 
Acha ujinga wewe USA alifanya nini kwenye WW2.iyo mada wenzako waliumbuka baada ya kuongea maneno kama yako. Bila URUSI tungekuwa tunaongea kijerumani dunia nzima
Mwambie huyo dogo mtarimbo asikariri kama kasuku, asome maelezo haya hapa chini toka Uingereza yenyewe, waingereza wenyewe wanakiri kuwa kama si Stalin (kiongozi wa USSR/Urusi) basi Hitler asingeweza kuangushwa vitani (WW2) na Uingereza wala Marekani.

Screenshot_20220828-212743_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom