Mwambie huyo dogo
mtarimbo asikariri kama kasuku, asome maelezo haya hapa chini toka Uingereza yenyewe, waingereza wanakiri kuwa kama si Stalin (kiongozi wa USSR/Urusi) basi Hitler asingeweza kuangushwa vitani (WW2) na Uingereza wala Marekani.
View attachment 2337772