Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili ndilo tatizo la waroman.Tuliwaambia haya makanisa ya kufokafoka yamekuja kuuharibu Ukristo mwamba imara pekee wa Ukristo utabakia kwenye Ukatoliki.
SDA kwisha, makanisa ya kilokole kwisha.makanisa hayana tofauti na kumbi za disco, wanawake wanavaa singlend na vimini suruari nyimbo za Dunia ndo nyimbo za injili
inasikitisha unafananisha roho na mananasi na mapapai.Tuambie hali nzuri ya kiroho inafananaje ?
Halafu kila roho inaupekee(uniqueness ) wake kama mimea. Mimea haiwezi kufanana ndio maana kuna mapapai,maembe,machungwa,maparachichi n.k . Kama unaona roho za wakatoliki zinatofautiana na zenu usilazimishe mfanane.
Our Souls will never be the same,we have our own Godly-uniquiness.
unachoshindwa kujua mungu wakati wote anapotuma mtu ama mjumbe ni kutokana na watu kuanzisha imani imani nje na neno lake.Hii ni vita ya ukristo dhidi ya ukristo , mkiambiwa kuwa na dini ni zaidi ya kuwehuka mnatoa milio kama Nokia .
nadhan hujajua ao woote ni pentekote.Hao siyo pentecostal unaowasema aisee! Ni manabii wa uongo
1 timotheo 4Ok Safi, kuzidishiwa huwezi kuzidishiwa kabla, utazidishiwa humohumo kwenye huduma yako. Mnachofanya ninyi Ni wivu kuona mtu kazidishiwa. Sababu za mtu kuzidishiwa Ni kwamba Mungu anaweza kufanya kitu Cha ajabu ajabu tu na ukafanikiwa. Mfano Ni yakobo kwa labani ambapo ilikuwa Ni Jambo dogo tu mifungo ikazaa wenye marakaraka Kisha akafanikiwa Hadi watoto wa labani wakaanza kulalamika kwamba yakobo amemtapeli baba yao.
Mwamposa amezidishiwa siku za nyuma ameuza udongo mbeya milioni Mia Tisa Hadi mashehe wakaanza kulalamika ooh! Ameuza udongo tu hela yote hiyo.
Jaribu na wewe kuuza udongo uone Kama utafanikiwa.
Mungu akiamua ufanikiwe anaweza tumia jambo la kawaida lkn likawa sababu ya kufanikiwa, anaweza tu kukwambia uza maziwa ukauza mpaka wateja ukawakimbia.
Kwa hiyo wewe umetumwa na na nani mkuu?unachoshindwa kujua mungu wakati wote anapotuma mtu ama mjumbe ni kutokana na watu kuanzisha imani imani nje na neno lake.
yesu alikuja alipingana na maakanisa ya wakati huo mpaka wakamtimua kanisani.
watu walioshika dini na torati na vitabu vya manabii ila wakajitengenezea taratibu zao za udhehebu nje na neno la mungu, ni sawa na tulipo sasa. na usidhan yeesu amebadilika hata akija leo ata kuwa yule yule atavunja meza zenu za biashara na minada makanisan n.k
umeongea ukweli mtupu!!!,,,YESU alipokuwa anahubiri alikuwa bize na INJILI,hakuwa na mali,nyumba wala mtoto,na wala sijui aliwahi kubadilisha kanzu yake,,,,,YESU alipigika kiuchumi mpaka shetani akaona fursa,,akampandisha kileleni{juu}akamwambia ukinisujudu vitu vyote unavyoviona vitakuwa vyako,lakini YESU alikataa,,,leo hii hawa wanaukwasi wa ajabu,wanamiliki majumba,mpaka ndege!!!,,,hakika wengi wao wataenda motoni!!!
kuna dhehebu na kuna kanisa.
Mafundisho ya mashetani yapi weka video tuyaone, acha ubishi1 timotheo 4
Roho asema waziwazi kwamba katika siku
za mwisho baadhi ya watu wataiacha
imani na kufuata roho zidanganyazo na
mafundisho ya mashetani
Ibrahimu alikuwa tajiri, yusuph, daudi, Suleiman, nk. Haitakiwi mtu wa Mungu uwe fukara Ni kutokutambua haki zako. Sasa akitokea nabii akafundisha namna ya kujua haki zako ili uwe tajiri Basi huyo ameshakuwa freemasoama hakika.
biblia inasemamali na fedha na falme zzote za ulimwengu huuu ni za shetani.
na shetani kwa kujua ilo alimwambia yesu ukinisujudia izi mali na falme na kila kitu ni vyangu nitakupa.
hakusema uongo mpaka alipomwambia nisujudie ss nikupe. yesu angesujudu kweli angepewa.
ndio mana biblia inasema ukiupenda huu ulimwengu na mambo yake upendo wa mungu haupo ndani mwako hata chembe.
sasa jiulize umo makanisani wanapohubiriwa mafanikio.
kipofu hawezi kumuongoza kipofu mwenzie, wote watadumbukia shimoni
Roma ndio imeutunza Ukristo kwa zaidi ya miaka 2025 hadi sasa duniani na wao ndio walioamua Biblia hii ndo ndo itumikeili ndilo tatizo la waroman.
mungu hakuchagua mwamba uwe taasisi.
mwamba ni ufunuo wa neno lake. na juu ya uo mwamba atalijenga kanisa lake.
roman haikuwepo wakat huo
Wewe kweli ni goswe. Aina ya wamatumbi kama wewe wapo wengi .yeye aliyenituma ananijuaa
Roman ipi unayoizungumzia? Kama ni Roman Catholic haina hali mbaya kiasi cha kuifananisha na pentekoste.hali ya roman ni mbaaya mno. kuliko inavyowezakuelzeka
Ndio utuambie sasa kamanda kwani ni siri?kuna sehemu moja tuu ambayo mungu alichagua kuabudiwa.
mungu haabudiwi kila sehemu.
ama hakika roman ni vipofu kweli kweli.Roman ipi unayoizungumzia? Kama ni Roman Catholic haina hali mbaya kiasi cha kuifananisha na pentekoste.
Roman Catholic ni moja ya taasisi kubwa sana yenye nguvu katika kila nyanja hapa Duniani.
Sio sawa kuilinganisha Roman Catholic na pentekoste
romani mna shida sanaRoma ndio imeutunza Ukristo kwa zaidi ya miaka 2025 hadi sasa duniani na wao ndio walioamua Biblia hii ndo ndo itumike