Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Penzi kigugumizi lachafua hali ya hewa! Anusurika kifo

Hata kama mwanaume ni rijali huwezi simamisha kwa ndugu wa damu.
We hujawah sikia mtu anakula dada yake na mwingine hata mzazi wake! Na je kuhusu binamu!
 
Sema wakuu kwa sheria za tanzania hamna mwanaume kubakwa
 
Acha kumtusi mwenzako Saint Anno II njoo huku uone ulivotukaniwa
Huyo jamaa nilimsoma sikutaka nibishane nae anaonekana anasoma siyo ili aelewe anasoma ili abishane.

Ukisoma post aliyoni-quote sikuzungumza kukaa na dada sijui mama etc hata main post kule juu inazungumzia kijana kuwa na mahusiano na wanawake wengine siyo ndugu sasa yeye mambo ya ndugu kayatoa wapi hapa!?
 
Huyo jamaa nilimsoma sikutaka nibishane nae anaonekana anasoma siyo ili aelewe anasoma ili abishane.

Ukisoma post aliyoni-quote sikuzungumza kukaa na dada sijui mama etc hata main post kule juu inazungumzia kijana kuwa na mahusiano na wanawake wengine siyo ndugu sasa yeye mambo ya ndugu kayatoa wapi hapa!?
Pole sana mkuu i can feel your pain!
 
Pole yake itakua waliweka madawa ya nguvu kwenye hivyo vyakula
 
Vitu hivi hatari jamani yaani unapelekewa moto na warembo mpaka unasiziii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa ana ubavu dhaifu umkute mwenye ubavu kisha mashine iwe ya three phase mamamaaaeeee wangekiona cha moto.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamaa ana ubavu dhaifu umkute mwenye ubavu kisha mashine iwe ya three phase mamamaaaeeee wangekiona cha moto.
Huwezi bato la mbususu 3 hata mzabzab anajua ni kifo hicho!
 
Back
Top Bottom