Penzi la Diamond kwa Zari linawaumiza wengi


Naogopa nikisikia anaenda sehemu kama songea Hivi anaendaje songea???
 
Hope watamreport his Cyber bullying has gone over Board mdada wa watu kimya sasa Kaka Yake alimuacha sahv wanaumia wakiona Ana furaha Naona walitaka adode

Ngoja niangalie namna bora ya kulifikisha hili suala kwa wahusika wa Instagram. Huyu jamaa lazima tumwadabishe
 
Chibu achana na huyo mzushi, he is just a player hater. Just keep waxing that ass!
 
Namkubali sana brother Diamond,
Hajawahi hata kuwajibu hawa wanaobwekea magetini wanashindwa kung'ata.
Mjanja ni yule anayefanya yake muda wote tu, ya wengine yasimhusu...
 
Sasa kamazina muuma na yeye ni team wema.si ampe na yeye ndio itamuuma vyema.huo ni ubwege kwa mwanaume kugeuzwa kuwadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…