Tea Party
JF-Expert Member
- Oct 5, 2019
- 658
- 1,133
Mkuu Kuna majukwaa mengi humu! Haya Ya Mondi Na Tanasha humu ndo mahala Pake.
Nakushauri kama unataka mambo serious Nakushauri uende jukwaa la afya au jukwaa la Siasa utayakuta. Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri kama unataka mambo serious Nakushauri uende jukwaa la afya au jukwaa la Siasa utayakuta. Nawasilisha.
Bi shosti unajua na kujielewa sana..watu wanaacha kuhangaikia ya kwao yanayooenda mrama mishipa ya shingo inawatoka kuzungumzia ya huyo
chezea chezea na kutupa pembeni ukikuchoka
Sent using Jamii Forums mobile app