Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmemalizaMapenzi ya Harmonize na Kajala ni kama QNET na KALYNDA.
Wote matapeli watupu ,,walikuwa wanaviziana.
Mabaharia tukishawaelewa muda mrefu sn.
Hapakuwa na mapenzi ya kweli pale.
Tulishagunduwa muda mrefu,,hao ni wa kupuuza.Umemaliza
Yaan km umeandika paragraph kujibu kitu ambacho hujapenda tena baada ya kuisoma yote, jua tu haujawa serious na maisha badoInatusaidia nini sisi members wa JF kujua kuvunjika kwa penzi la watu??yaani mtu mzima unatumia muda wako kuandika JF kuhusu kuvunjika kwa penzi la watu??this is none sense,grow up
ni kama ile statement ya Zari ya ua jeusi watu wakadhani kuwa Zari ndiyo kamuacha Diamond, kumbe bibie ni baada ya kuona bwana hamtaki tena na haeleweki akajiwahi yeye kwenye social media kujionesha yeye ndiyo kamuacha mwenzie
Pole yao
sema tu na wewe haukufanikiwa kupata nafasi hiyo ungeifadi ungeitumiaNimefurahi sana hivi mwanamke kisa njaa unaanzaje kumpenda mtoto mdogo vile? Mastar wa tanzania wana keroooooo.
Asante konde boy tafuta size yako.
Tabia za KISHOGA kwa Mwanaume kuanzisha nyuzi JF zinazohusu maisha ya wapenzi wengine,haya kimbia kachukue nafasi ya Kajala sasa[emoji3]Guys, msione Kajala anaandika magazeti hapo as if yeye ndo kamuacha Harmonize. It's the opposite, this time Harmonize ndio kamuacha Kajala...
Just kuwapa short story ya event ya mwisho kabisa. Show ya mwisho ya Harmonize, Harmonize alikuwa anaongea na simu, yani very busy kwenye simu. Kajala akapanick akawa anamuuliza unaongea na nani? Harmonize akakata na kugoma kumuonesha alikuwa anaongea na nani. Kufika home mnaambiwa bonge la ugomvi, Kajala akatishia nyau akamwambia Harmonize anaondoka anarudi kwake.
We Harmonize mihasira akaingia ndani akapasua perfume zooooote za Kajala. Kajala akaanza kumchamba unapasua perfume zangu unajua nimenunua how much au unajua nani kazinunua? Harmonize akamwambia poa sepa, nenda kwako nimechoka kukubeg beg kama malaika, ondoka sasa hivi? Yani hata pasikuche we sepaaaa.
Kajala hakuamini anachoambiwa akaanza kulia hataki kuondoka. Hakudhani Harmonize angemuambia aondoke wakati siku zote Harmonize anambeg.
Kajala karudi kwake wiki nzima Harmonize hajamtafuta ndio Kajala kuanza kupigia simu watu ambao Harmonize anawaheshimu kuwa waongee naye. Alianza na Majey, Majey kumpigia Harmonize, Harmonize akajibu hataki keshamalizana na Kajala. Kajala akapiga kwa Jembe anaomba amuombee awapatanishe, Harmonize akamgomea na Jembe.
Ni wiki sasa Kajala yuko South Africa, huko kwenyewe alipofika alikuwa anahangaika tu kupatana na Harmonize ila Harmonize akamblock kila sehemu na simu zake hapokei.
Hii statement ya Kajala leo ni kama ile statement ya Zari ya ua jeusi watu wakadhani kuwa Zari ndiyo kamuacha Diamond, kumbe bibie ni baada ya kuona bwana hamtaki tena na haeleweki akajiwahi yeye kwenye social media kujionesha yeye ndiyo kamuacha mwenzie. llichukua muda mrefu mnooo Diamond kuja kufungua mdomo na kuwaambia watu kuwa yeye ndio aliemuacha Zari.
Same thing kimetokea hapa kwa kajala. Na mkumbuke last time Kajala aliachana na Harmonize kimya kimya bila kuandika chochote ndo mjue this time kuna jambo hadi kaja kuji explain.
Ila kubabeki Harmonize kachunwa vizuri tu na Kajala na mwanaye. lle gari moja Paula kaichukulia mkopo ndiyo akaongeza mzigo dukani. Wamemla vihela vyake vya kweli.
View attachment 2440096
Credit: Dada wa Taifa.
Mkuu...Wewe Umeyajuaje yote haya?? Wewe ni Harmonise?? [emoji57][emoji57][emoji57]
Hii uliyoleta ndio tabia ya kishoga sasa kuingia sehemu sio sahihi kwakoTabia za KISHOGA kwa Mwanaume kuanzisha nyuzi JF zinazohusu maisha ya wapenzi wengine,haya kimbia kachukue nafasi ya Kajala sasa[emoji3]
Nayajaza subiri kimbungaNi Samia 2025, imeisha hiyo.
Mimi? Mimi? Nafasi ipi? Kuwa na hamonise? Kisa? Pesa? Hata niwe nimerogwa siwezi kuwa na mahusiano na mtoto ninaemzidi umri.sema tu na wewe haukufanikiwa kupata nafasi hiyo ungeifadi ungeitumia