Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka


Wanaumia sana utakuta msomi anakaa kibamba anaamka saa 10 alfajiri anawahi Posta Nmb anakaa dirishani mpaka saa 10 anawamalizia wateja wa ndani mpaka saa 11 anaanza kubalance mpaka saa 1jioni anaanza kuangaikia usafiri kufika kibamba saa 4 usiku.muda wote huo anamfanyia kazi mwanadamu mwenzie.kufika nyumbani anapiga bao moja kutokana na uchovu.ratiba inaendelea mpaka ijumaa.jumamosi anafanya kazi mpaka saa 7 mchana.akitoka hapo anaenda kwenye vikao vya harusi jioni.jioni ndio anaenda club sababu kesho yake haendi kazini.sasa akimuona diamond abanwi na mtu yeyote yeye kila siku ni shangwe mapovu ya hasira yanawatoka.mwishoni
 

Ukweli unabaki palepale.... Kuna tofaut kubwa kati ya msomi na asyesoma

tatizo lako unadhani kuwa maisha ni pesa na ngono/uzinzi

pole sana

hatusikii BILL GATES ANATUMIA UTAJIRI WAKE KUBADILI VIMWANA NA KUFANYA UZINZI

Halafu tuambie huyo msomi anayekaa kibamba anaenda kufanya kazi NMB posta maana naona tunaanza kuongopeana
 


Ha ha kima utawajua tu wakiona tope...

Utajifariji Sana najua shule huna ndo mana kila ufanyalo unataka kujilinganisha na wasomi ha ha ha ha poor you!!!

Hivi gari kali na majumba makubwa mjini anamiliki domo hadi achukiwe??

Hivi kwa kipi hasa MTU umchukie? Nani kasema hana kitu? Au ubutu wako Wa akili unatafsiri MTU duni ni yule mwenye low income tu? Binafsi sichukii au sijilinganishi na wasanii Kama nyinyi mnavyohangaika kujinasibisha na wasomi...

Mfano Mimi na wengine tunaweza ishi miaka bila kusikiliza mziki Wa kishenzi na maisha yakaendelea ila wote Mimi na hao lower calibers lazima tupate Huduma za wasomi ili tuishi....

Huyo domo kavuma kanikuta Nina maisha yangu na atafifia ataniacha na maisha yangu...

Tabu kwenu akina binamu nyama ya hamu kutwa kuwaza ngono na upuuzi mnaosikiliza kwenye vibaraza vyenu vinavyonuka...

Hao wasomi ndo wanaowagongeeni vinuka chupi wenu tena wanawaendea hadi kwa waganga ili watunzwe hapa mjini...

Sikatai na nipo proud nimeajiriwa na ajira imenifanya niishi standard life bila kuwa affiliated na upuuzi wowote...

Sote tunaweza kuwa na PESA ila si wote tunaweza kwenda shule....

Pole Sana kamwe usifikiri unaweza pata standard ya usomi labda degree za kufunua kaniki kwa waganga....

Siwezi mchukia MTU asonisaidia kitu ila hapa tunatoa description ya jinsi gani wewe na hilo kundi lako mlivyo Duni na mnavyohenyeka kwa maisha yalojaa laana tupu....

Mtoto alokulia malezi ya kukataliwa na baba...alokua Kama uyoga pori....anayeishi kwenye duara la zinaa tu mi nimchukie kwa lipi?

Mbwa alookota mnofu umkimbize wanini wakati unajua hawezi Fanya lolote zaidi ya kula na kunya??

Poor you!!!!
 
Ukweli unabaki palepale.... Kuna tofaut kubwa kati ya msomi na asyesoma

tatizo lako unadhani kuwa maisha ni pesa na ngono/uzinzi

pole sana

hatusikii BILL GATES ANATUMIA UTAJIRI WAKE KUBADILI VIMWANA NA KUFANYA UZINZI

Kaka tatizo la kupenda ngono ni la waafrica wote mbona inajulikana duniani kote.kuna mama mmoja yupo wizara ya afya alienda Italia na watz wenzake kwenye mkutano wa W.H.O.akaniambia yaani alikuwa anaona aibu maana msafara wao waliongozana na vitoto vya sekondari wanaambiwa ni waandishi wa habari.yaani kila Sikh wanapomaliza mkutano wazungu walikuwa wanaenda sehemu za utalii na sehemu za makumbusho muhimu ili kujifunza tamaduni za Italy ila wabongo walikuwa wanawahi hoteleni na waandishi wa habari.kuna mtu kapost leo hapa jf majina ya watoto 18 wa mkulu.kuna siku nipo Dodoma kanisani mchungaji akasema wabunge waliokuja na wake zao wasimame tuwapigie makofi ya kuwapongeza amini usiamini hakusimama hata mmoja wakati kulikuwa na wabunge zaidi ya kumi.kuna mtu asiyejua kipindi cha bunge biashara ya ngono inakuwa juu Dodoma.hakuna mtu asiyejua hosteli za vyuo ni kama gesti bubu.
Hawa wote hamuongelei nyie na diamond tu kama sio chuki ni nini
 
Huyo kiboga muda tu tunajilia...ANAPAKULIKA KISAWA SAWA....wht ELIMU she has..?? Perhaps sexology..nina zake..kachafu sana haka...!!!
 

Nilikuja kuidharau tasnia ya sanaa nchini baada ya kifo cha msanii nguli wa filamu nchini steven kanumba, wengi tuliaminishwa kuwa kanumba alikuwa tajiri sana, ana nyumba,kampuni na magari ya kifahari, kijana gani ambaye alikataa kuingia bongo movie kwa kuwa tu walituaminisha kuna utajiri wa kutisha? Kila mtu anajua nini kilitokea baada ya kifo cha kanumba, na maisha halisi aliyokuwa akiishi, achilia mbali yale maisha ya kwenye magazeti ya shigongo

Vipi kuhusu wasanii wakongwe kama marehemu kipara, bi kidude, mzee small na mzee gurumo? Serikali iliwafanyia nini kwa ukongwe wao ndani ya sanaa apa nchini kabla na baada ya vifo vyao? Wasanii wanatakiwa waamke, serikali haina mpango nao wowote zaidi ya kuwatumia ki maslahi yap binafsi, ni fungu gani serikali limeweka kwa ajili ya wasanii kabla na baada ya kufa? Ndo wajue kuwa HAWANA UMUHIMU NCHINI, ndio maana serikali haijishughulishi na malalamiko yao yeyote ,tofauti na waalimu wa shule ya msingi, kwa kuwa wanawaona ni mazoba tu na wasiojielewa.

Serikali ya Tanzania haitambui wala kuwathamini wasanii wa Tanzania, ndio maana wafanyakazi wa benki wakajengewa na nyumba za kuishi na sio wasanii wa muziki wala filamu, ndio maana WANAISHI MAISHA YA KIFAHARI, WANAKUFA MASKINI.
 

Ni kweli serikali yetu haiwajali wasanii.kwahili nakubaliana na wewe
 
Ni kweli serikali yetu haiwajali wasanii.kwahili nakubaliana na wewe

Ahsante kwa kunielewa, apa ndo tunapokuja kuona umuhimu wa ELIMU katika maisha. Maisha ya wasanii wa Tanzania yapo mikononi mwao wenyewe, hatma ya maisha yao ni juu yao wenyewe na sio serikali ya kikwete

Hata Leo msanii yeyote akiumwa sidhani kama atasema eti akakope pesa serikalini kwa kuwa tu yeye ni msanii maarufu, ila mwanafunzi wa chuo atakopeshwa, mwalimu wa shule ya msingi atakopeshwa ili kujikimu kimaisha, nashangaa wanavyocheka cheka ovyo na viongozi kana kwamba wamehaidiwa kujengewa nyumba za kuishi mastaa wa filami/muziki, wako wapi wasanii wakongwe wakina Ray c?

KIPAJI kinatolewa na mungu, na kuna ule msemo usemao kipaji chako ndio UTAJIRI wako lakini sio kwa hii nchi ya kikwete ,ni kule kwa obama binamu. Kipaji bila Elimu ni kazi bure tu, Elimu haileti maisha mazuri tu, bali inakupa mwangaza bora katika maisha
 

Na sasa hivi wanawaaminisha watz kuwa dafamond ni tajiri.. Tena magazet ya udaku ndo yanapamba haswa....
 

Binamu naona umeweka umbea pembeni unatoa darasa.Karibu jukwaa la siasa kule.
 
Na sasa hivi wanawaaminisha watz kuwa dafamond ni tajiri.. Tena magazet ya udaku ndo yanapamba haswa....

Si bora hata JIDE yeye mambo ya kupiga show MAREKANI yalishamshindaga, ila maisha yake kaweka safi kabisa, anaishi vizuri na ana miradi ya kueleweka.

Sasa wenzetu wanaofanya show za kulipwa million 200 kwa week toka mwaka 2011 mpaka leo hata walichofanya cha maana hakijulikani , kweli wonders shall never end
 

Mwanzoni nilikuambia wazi kuwa... Utetezi wa namna hii huwezi kuutumia kuhalalisha jambo.. Nilikutolea mfn kuwa huwez kuutumia ufisadi wa wanasiasa kama utetez wa kuhalalisha kukwepa kodi..

Hivyo huwezi halalalisha uzinzi wako au wa diamond eti kwa sababu kuna waafrika wengi wazinzi..

TWENDE KWENYE HOJA YA MSINGI

MSANII NI KIOO CHA JAMII UNAVYOKUWA MAARUFU TUMIA NAFASI YAKO KUFANYA JAMII ITENDE YANAYOFAA NA KUWA MFN WA KUIGWA.. KWA SABABU UNAKUWA NA INFLUENCE KUBWA....

NADHANI NILIELEZA VZURI KTK KOMENTI YANGU

Ndo mana ikazuka hoja kuwa maybe diamond amgekuwa amesoma.kidogo akili yake ingebadilika angejitambua labda
 

wambie kenge hawa!! huyu sijui lunguso sijui lungiso ana shida gan!! sijui Diamond kamlia demu wake?
 

Nimekuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…