Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nadhani wema na team yake wote wamevamia Jf kuja kumtetea bahasha wao kazi ipo nahisi kabisa matumbo ni aunt ezekiel,mtvbase ni wema mwenyewe waliobaki hao ndio zile team zake zote
Serikali haijawahi kuwaheshimu au kuwathamini watu wasioenda shule , na ndio maana wasanii wakiumwa hawapewi hata elfu mbili ya panadol, ila wasomi wanapelekwa INDIA au GERMANY kutibiwa, bongo fleva/movie mnafia kwenye nyumba za kupanga, wenzenu wanatibiwa bure tena nchi za nje, ahahahaah ahahahaaha ahahaha NAIPENDA TANZANIA.
Mkuu wasifie tu wasomi lakini wao na wanasiasa ndio wanaongoza kuiangamiza nchii hii.mikataba yote mibovu ni wasomi waliosaini,juzi bunge la katiba mwigulu alipigania tax exemption ambazo hazina maana ziondolewe lakini wasomi wanasiasa wamekwamisha huo mswada.umewahi kujiuliza kwanini serikali inashindwa kesi kila siku ni kwasababu mawakili wa serikali wanahongeka sana.ndio maana hata magufuri aliposhindwa kesi na wale wavuvi sikushtuka kwasababu ninajua nyuma ya pazia.hata TRA hawajawahi kushinda kesi kubwa sababu ni hizohizo.nenda halmashauri wasomi wanakula hela za halmashauri mpaka Huduma za msingi zinakosekana.
Wakati la saba haibi chochote nchi hii
Nadhani wema na team yake wote wamevamia Jf kuja kumtetea bahasha wao kazi ipo nahisi kabisa matumbo ni aunt ezekiel,mtvbase ni wema mwenyewe waliobaki hao ndio zile team zake zote
Mkuu wasifie tu wasomi lakini wao na wanasiasa ndio wanaongoza kuiangamiza nchii hii.mikataba yote mibovu ni wasomi waliosaini,juzi bunge la katiba mwigulu alipigania tax exemption ambazo hazina maana ziondolewe lakini wasomi wanasiasa wamekwamisha huo mswada.umewahi kujiuliza kwanini serikali inashindwa kesi kila siku ni kwasababu mawakili wa serikali wanahongeka sana.ndio maana hata magufuri aliposhindwa kesi na wale wavuvi sikushtuka kwasababu ninajua nyuma ya pazia.hata TRA hawajawahi kushinda kesi kubwa sababu ni hizohizo.nenda halmashauri wasomi wanakula hela za halmashauri mpaka Huduma za msingi zinakosekana.
Wakati la saba haibi chochote nchi hii
Serikali haijawahi kuwaheshimu au kuwathamini watu wasioenda shule , na ndio maana wasanii wakiumwa hawapewi hata elfu mbili ya panadol, ila wasomi wanapelekwa INDIA au GERMANY kutibiwa, bongo fleva/movie mnafia kwenye nyumba za kupanga, wenzenu wanatibiwa bure tena nchi za nje, ahahahaah ahahahaaha ahahaha NAIPENDA TANZANIA.
Watu wanamchukia diamond kwa wivu kwa kisingizio cha elimu.Michael Owen aliwahi kusema kama ingekuwa kusoma ndio njia pekee ya kufanikiwa asingekuwa na pesa na heshima kwenye jamii maana anasema akipewa kitabu asome hata dk 5 hamalizi atasinzia tu
wewe wema usituleteee mambo yako ya bongo movie hebu rudini instagram huku mnatujazia server tu kenge nyie
Tunatofautiana kwa hoja na tutakubaliana kwa hoja.Mimi ni auditor siwezi kutukana unajua professional ethics.kama una professional yoyote kama lawyer,auditor,supplier,doctor utakuwa umesoma hili somo.ebu nitajie 5 common professional ethics and due care ambazo professional anatakiwa kuwa nazo.maana ukingengeuka unaadhibiwa na professional body
wewe kenge maji kama kenge wengine mnaofananisha shule na nyimbo zetu za mchiriku pdidy mwenyewe bilionea anajua umuhimu wa shule na ana phd wewe kenge unasema nini kwani wewe domo anakupa nini kama sio kucheza viduku na kuharibu watoto wa taifa la baaadae ndio maana nimekwambi rudi instagram kashindane na wauza pachuchi wenzio sio huku Jf kenge mkubwa
Tunatofautiana kwa hoja na tutakubaliana kwa hoja.Mimi ni auditor siwezi kutukana unajua professional ethics.kama una professional yoyote kama lawyer,auditor,supplier,doctor utakuwa umesoma hili somo.ebu nitajie 5 common professional ethics and due care ambazo professional anatakiwa kuwa nazo.maana ukingengeuka unaadhibiwa na professional body
Watu wanamchukia diamond kwa wivu kwa kisingizio cha elimu.Michael Owen aliwahi kusema kama ingekuwa kusoma ndio njia pekee ya kufanikiwa asingekuwa na pesa na heshima kwenye jamii maana anasema akipewa kitabu asome hata dk 5 hamalizi atasinzia tu
Ndio maana nakwambia wewe kenge unabisha umekuwa lecture sasa unanipa assingment Jf sina haja kukujibu auditor mbuzi kama wewe kwahiyo kutaja professional yako itakubadilisha kuwa kenge.....una haja kujua professional yangu maana nipo mbali na upuuzi wako uliosoma kenge wewe
Ndio maana nakwambia wewe kenge unabisha umekuwa lecture sasa unanipa assingment Jf sina haja kukujibu auditor mbuzi kama wewe kwahiyo kutaja professional yako itakubadilisha kuwa kenge.....una haja kujua professional yangu maana nipo mbali na upuuzi wako uliosoma kenge wewe
Ndio maana nakwambia wewe kenge unabisha umekuwa lecture sasa unanipa assingment Jf sina haja kukujibu auditor mbuzi kama wewe kwahiyo kutaja professional yako itakubadilisha kuwa kenge.....una haja kujua professional yangu maana nipo mbali na upuuzi wako uliosoma kenge wewe
Kupitia Gazeti la Makorokocho leo mezani tumepata story ya muda mrefu ya penzi la siri kati ya Ommy Dimpoz na Jokate aka Kidoti.
Stori hii ilivuja baada ya beef la chini kwa chini kati ya Jokate na mwimbaji mmoja wa kike ambae hawana maelewano mazuri na chanzo kikidaiwa kuwa ni mwanamuziki huyu wa kike (jina lake linaanzia na herufi V(vannesa) kukuta meseji za Mapenzi kati ya Mpenzi wake huyo na dada yetu kidoti.
Chanzo kinasema Kidoti na Ommy Dimpoz walianza mapenzi ya siri kwa siri baada ya dada huyo kuachana na Diamond. Mapenzi hayo yalianzia huko Mikocheni A ambapo Ommy Dimpoz alikua akiishi nyumba ya kushare na kila bibie Kidoti alipokuwa akienda hapo watu walimuona na kuna kipindi dada yetu Kidoti alikuwa akiminya ndani ya gari bila kushuka mahaba yakiwa tele kwenye gari hilo.
Sasa wataalamu wa mambo wanasema dada yetu huyu anaonekana sana maeneo ya Kinondoni kati ka mjengo wa kupanga wa star huyu wa ndagushima chande na mapenzi yao bado inasemekana yanaendelea chini kwa chini lakini nje nje.
Ommy Dimpoz ameingizwa kwenye list ya wanaume walio na mapenzi ya siri na dada yetu Kidoti.
Hivi nikuulize swali Dogo tu kwanini wachezaji wa tanzania haswa football wanaambiwa sio professional prayer.jibu kwanza hili.sio kujitangaza msomi maswali mepesi ya mtaani yanakushindwa
we Mnywabwilo na we ni kenge tu!! huwez kumuita mtu wema wakati unaona jina lake limeandikaa tofauti!! haya niambie hio dawa ya mbu wanakulipa sh. ngap kuweka avatar yao?? yanbningekua karibu na wewe ningekuchomeka utambi, na ntahakikisha ukienda choo hujambi, msomi gan kaz kufuga kitambi, hoja zako za kipuuz hata hazibambi, mjinga ambaye ukijisaidia hujichambi!
we Mnywabwilo na we ni kenge tu!! huwez kumuita mtu wema wakati unaona jina lake limeandikaa tofauti!! haya niambie hio dawa ya mbu wanakulipa sh. ngap kuweka avatar yao?? yanbningekua karibu na wewe ningekuchomeka utambi, na ntahakikisha ukienda choo hujambi, msomi gan kaz kufuga kitambi, hoja zako za kipuuz hata hazibambi, mjinga ambaye ukijisaidia hujichambi!
Kupitia Gazeti la Makorokocho leo mezani tumepata story ya muda mrefu ya penzi la siri kati ya Ommy Dimpoz na Jokate aka Kidoti.
Stori hii ilivuja baada ya beef la chini kwa chini kati ya Jokate na mwimbaji mmoja wa kike ambae hawana maelewano mazuri na chanzo kikidaiwa kuwa ni mwanamuziki huyu wa kike (jina lake linaanzia na herufi V(vannesa) kukuta meseji za Mapenzi kati ya Mpenzi wake huyo na dada yetu kidoti.
Chanzo kinasema Kidoti na Ommy Dimpoz walianza mapenzi ya siri kwa siri baada ya dada huyo kuachana na Diamond. Mapenzi hayo yalianzia huko Mikocheni A ambapo Ommy Dimpoz alikua akiishi nyumba ya kushare na kila bibie Kidoti alipokuwa akienda hapo watu walimuona na kuna kipindi dada yetu Kidoti alikuwa akiminya ndani ya gari bila kushuka mahaba yakiwa tele kwenye gari hilo.
Sasa wataalamu wa mambo wanasema dada yetu huyu anaonekana sana maeneo ya Kinondoni kati ka mjengo wa kupanga wa star huyu wa ndagushima chande na mapenzi yao bado inasemekana yanaendelea chini kwa chini lakini nje nje.
Ommy Dimpoz ameingizwa kwenye list ya wanaume walio na mapenzi ya siri na dada yetu Kidoti.