matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
Kabisa cousin....awajiuliz kwann bungen haingii std seven.....
Hizi product tunazozizungumzia za udsm mzumbe saut tumain.....maji marefu ana elimu gani?mh bweg.e wa kilwa ana elimu gani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa cousin....awajiuliz kwann bungen haingii std seven.....
Hapa naomba nikukosoe..
Kwamba unaamin mafanikio ni hela bila shaka
lakini tukumbuke MWALIMU NYERERE ANASIFIKA KUWA ALIKUWA MSOMI
LAKINI ALICHAGUA KUTUMIA ELIMU YAKE KUIJENGA TZ.. NA SI KUJILIMBIKIZIA HELA
LAKIN STILL KILA MTU ANATAMBUA KUWA NYERERE NI MSOMI HASWA
UKWELI UNABAKI KUWA maisha si hela ngono ulevi nk.. Hizi zote ni anasa tu ambzo kila.mtu anaweza kuzifanya kama tu akiamua kuzifanya
lakini si kila mtu anaweza kuwa profesa
wa jalalani mwenzangu ni wewe...unayekalia maneno ya kigodoro hapa afu unajiita msomi..au pengine mnadhan wasomi ni nyie tu humu?kujigamba na kujibetua betua domo lako eti we msomi afu ukawa una maneno mabaya na kejeli hali ya juu kuliko hao unatuita the so cold wa ushenzini ni laana tosha!
Hizi product tunazozizungumzia za udsm mzumbe saut tumain.....maji marefu ana elimu gani?mh bweg.e wa kilwa ana elimu gani?.
wa jalalani mwenzangu ni wewe...unayekalia maneno ya kigodoro hapa afu unajiita msomi..au pengine mnadhan wasomi ni nyie tu humu?kujigamba na kujibetua betua domo lako eti we msomi afu ukawa una maneno mabaya na kejeli hali ya juu kuliko hao unatuita the so cold wa ushenzini ni laana tosha!
Hapa hakuna anayewakejeli tunawapa kweli tupu yaani tunaonyesha real life mliyonayo....
Hapa ndo sehemu pekee ambayo naweza kutana na kima Wa aina tofauti tofauti kwakuwa Mimi nanyi hatuwezi onana pengine labda ofisini napo hatuwezi pata mda...
Mbaya zaidi hata kwenye hiyo mikusanyiko ya kishenzi ya kusikiliza nyimbo za shombo huwa siji so hii ndo sehemu mwafaka Wa kuwaeleza ukweli...
Hapa hakuna anayewakejeli tunawapa kweli tupu yaani tunaonyesha real life mliyonayo....
Hapa ndo sehemu pekee ambayo naweza kutana na kima Wa aina tofauti tofauti kwakuwa Mimi nanyi hatuwezi onana pengine labda ofisini napo hatuwezi pata mda...
Mbaya zaidi hata kwenye hiyo mikusanyiko ya kishenzi ya kusikiliza nyimbo za shombo huwa siji so hii ndo sehemu mwafaka Wa kuwaeleza ukweli...
izo shahada ndio tunazisema hapa zimesaidia nini zaidi ya kusubiri kukinga mwisho wa mwezi.....wewe unamtukana diamond hana shule,mwenzio katoa ajira kibao,ana mpiga picha,ana wacheza show,ana mameneja watatu,ana baunsa,ana designer wote awa anawalipa kutokana na muziki wake....watu wanadrive riziki zinatoka kwa uyu uyu mnaemwita mswahili wa tandale....we. msomi umefanya nini zaidi ya kutema matusi tu hapa..
Miss Tanzania 2006 top 5 yote baba mmoja mama mmoja
Wema
Wolper
Jocket
Lisa johson
.......
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Hata mm nna kipaj japo sio cha uimbaj nlikitumia kipaji changu vzur tu bila kuwaza kwenda shule mwisho wa siku nlioona kipaji kinanisaidia ya leo tu nikawaza je yakesho...... nkaamua kwenda shule coz shule inanafas yake mkuu....we unazan ukiwa mwanamzk ikatokea bahat mbaya ukaumwa mziki utaendea??? au inatokea umezeeka unazan kuna mafao ya wasanii??? tatizo unawaza ya leo uwaz ya kesho......
Hapa nakuponda nyundo tu kima upate akili huwezi jifananisha na msomi kwa namna yoyote ile..
Wewe wakujifananisha nao pengine kushindana nao ni wale mlokua mkiazimana nguo halafu ukawapiku...ulokua ukiwaomba chumvi na kujisaidia kwao ukawapiku na kuwa juu yao labda hao unaweza jilinganisha nao...
MTU aliyekamata system utaishia kusagika nyongo tu kushindana nae huwezi...
Kachome ayo mavyeti,kisha fungua akili utoke ndani ya box.....msomi ajisifii kuajiriwa,na akiajiriwa atoe impact kwa jamii.... unamwita mtu wa ushenzini wakati ametoa ajira kibao,we wa maana kubeba mafaili .
Mpiga picha mwenyewe kifesi?, manager mwenyewe babu tale? Wacheza show wenyewe wakina moze iyobo? Umeona sasa jinsi Ndomo alivyozungukwa na crew ambayo ni NON-PROFFESSIONAL? Yani apo wote wamekimbia ELIMU hao hata mimi ninaweza kuwaajiri na kuwalipa , kwa sababu they are all ignorant and cheap na hiyo hata usiite ni ajira bali ni kabarua tu cha mda.
Yaani mtu hata form four hujamaliza unajiita MANAGER? manager my foot, izi management za ajabu ajabu ndio maana sanaa ya bongo inakufa, yani mtu ukiwa na pesa tu basi ni manager, no education no technical skills kwenye industry unayofanyia kazi, umewaona ma manager wa kina kaka DAVIDO? Wale ndo ma manager wamesoma na wanajielewa vya kutosha na sio ma manager wenu wa manzese uko
Mpiga picha mwenyewe kifesi?, manager mwenyewe babu tale? Wacheza show wenyewe wakina moze iyobo? Umeona sasa jinsi Ndomo alivyozungukwa na crew ambayo ni NON-PROFFESSIONAL? Yani apo wote wamekimbia ELIMU hao hata mimi ninaweza kuwaajiri na kuwalipa , kwa sababu they are all ignorant and cheap na hiyo hata usiite ni ajira bali ni kabarua tu cha mda.
Yaani mtu hata form four hujamaliza unajiita MANAGER? manager my foot, izi management za ajabu ajabu ndio maana sanaa ya bongo inakufa, yani mtu ukiwa na pesa tu basi ni manager, no education no technical skills kwenye industry unayofanyia kazi, umewaona ma manager wa kina kaka DAVIDO? Wale ndo ma manager wamesoma na wanajielewa vya kutosha na sio ma manager wenu wa manzese uko
Ha ha nilishakwambia tunaweza sote tukawa na PESA ila si rahisi sote tukawa na shule...
Mfano babu yangu mzaa baba alikuwa anamiliki assets nyingi tu pale njombe na ludewa ikiwemo mashamba ya mbao na alikua na PESA Sana ila shule hakuwa nayo...
Pili tatizo la huko jalalani mnakosa shule na ustaarabu hilo ndo tatizo mkipanda ndege haooo instagram kutangaza je jiulize kila anaepanda ndege angetangaza pangetosha?
Nyie ni watu ambao hata mkiiba mi siwakimbizi coz najua mwisho Wa sarakasi zenu mnakoishia...
Domo chaaafu...usomi wako haujakusaidia...mwanaume unasimamisha domo ka mwehu...!iq yako ingekua kubwa kama unavodai ungekua biz.
hebu nambie miziki unayosikiliza wewe ni ya kina nani!!?? boya mwenyewe we umeajiriwa tu unatumwa na boss wako kama kenge tu!! mtu aliyejiajiri na anaingiza hata net profit ya million tu kwa mwez amekuzidi mbali sana kenge wee!! sidhan hata kama una kaz mana kutwa nzima naona uko humu kujitutumua tu eti msomi.... kenge kabisa wewe!! ningekuwa karibu na wewe ningekunasa makofi kabisa we kilaza
Wasanii kutwa kuchezewa matak0 na kuhongwa magari na pesa, si wanaume wala wanawake hayo yote ni ukosefu wa elimu, shule imewashinda wanashindwa hata ku manage maisha yao, kutwa kuzurula kwenye ma bar kuomba pesa kwa mapedeshee.
Hawana ELIMU, wafanyaje sasa? , uko ulaya wanakokimbilia wanaishia kufirw@ na kupewa nauli, yani wanaishi kama watumwa, Hata hizo filamu wanazokimbilia hawana ujuzi nao, hawajasoma wanatengeneza filamu bora liende waonekane na kina clement wakawachezee mik*ndu wawape magar ya kutembelea, usupa staa my foot
Mtu kama bakhressa hata degree hana lakini katoa ajira zaidi ya mil.1 Tanzania na watu wamejiajiri kupitia yeye.sio watu wanalingia mavyet tu