miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Kwa kweliii kama uzuri hata ndege tausi anao banaaa, uzuri hata ng'ombe anao tulilie bahati aiseeee
Bahati ndo mpango mzima....muheshimiwa anaburudika nae kwa mavituz huku anaimbiwa.
Halafu mtoto inaelekea anajua kulalamika kama nini.