Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka

Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka

Kwa kweliii kama uzuri hata ndege tausi anao banaaa, uzuri hata ng'ombe anao tulilie bahati aiseeee

Bahati ndo mpango mzima....muheshimiwa anaburudika nae kwa mavituz huku anaimbiwa.

Halafu mtoto inaelekea anajua kulalamika kama nini.
 
NDO vile binamu, watu na bahat zao, we huoni siku izi cheusi dawa mwasiti ahangaiki na kutoa single kama zamani? Hana njaa bibie ana uhakika na maisha, sema ndo ajipange maana muheshimiwa mwenyew ndo vileee tenaaa

Ukiishi kwa kutegemea bahati YATAKUKUTA
 
Heheeeeee usiringie uzur ringia bahati jamani.....bi mdashi yule na pua zilivyomtanuka lakin mwanasiasa kaozea pale ingawa jana kasema ni dada yake.

Zzk nasikia nae ni transfoma sasa kazi ipo wajameni.Sam missago nae anapumzika kwa huyu bibi kiroboto nae??makuuubwa haya jamani

Hilo nalo neno unaweza kuwa mzuri steel huna bahati na kama jepesi ana transfoma atakuwa kashawasambazia wote
 
Heheeeeee usiringie uzur ringia bahati jamani.....bi mdashi yule na pua zilivyomtanuka lakin mwanasiasa kaozea pale ingawa jana kasema ni dada yake.

Zzk nasikia nae ni transfoma sasa kazi ipo wajameni.Sam missago nae anapumzika kwa huyu bibi kiroboto nae??makuuubwa haya jamani

Kwani wewe unadhani Amina Chifupa na Meddy Mpakanjia wamekufa kwa homa ya mafua ya ndege?

Connect dots zako jibu utalipata, halafu mtu mwenye mafanikio ya kimaisha kama Zitto kutokuwa na mke ni jambo ambalo linahitaji akili za maiti ndio utakubaliana naye, something is very wrong with Zitto
 
Akili Za watu wengine ovyo kweli Kama wamenyweshwa maji ya chooni.
Eti anampima mtu kujieleza kwa kipindi cha kipuuzi cha Mkasi. Kwa maswali gani hasa?!
Ova.
 
Bahati ndo mpango mzima....muheshimiwa anaburudika nae kwa mavituz huku anaimbiwa.

Halafu mtoto inaelekea anajua kulalamika kama nini.

Na hutu twenye sura kavu tukikuibia mumeo au mpenzi wako umeishaa ni hatari kitandaniii
 
Kwani wewe unadhani Amina Chifupa na Meddy Mpakanjia wamekufa kwa homa ya mafua ya ndege?

Connect dots zako jibu utalipata, halafu mtu mwenye mafanikio ya kimaisha kama Zitto kutokuwa na mke ni jambo ambalo linahitaji akili za maiti ndio utakubaliana naye, something is very wrong with Zitto

Ugonjwa tu haumzuii yeye kuoa labda kama kuna tatizo lingine coz hao hao anaowati.a ndo wakuwaoa....nasubir hiyo movie lake na mwasiti.

Kuhusu hawa marehemu ilisemekana hivyo ingawa Tuwaache wapumzike tu ila orodha inatisha mno.
 
Habari ndo hiyo....kama jokate na uzuri wote ule lakini kaambulia mtaji wa kuuza ndala.
Nicheke mie ninenepeeee

Yule naye baada ya kujiona miss na kujulikana akajifanya ana kipaji cha kila kitu mara kile mara nini dio kwamba hana bahati hajiheshimu mwenyewe ndo mana anatanga ana fanya vitu kama hajaenda shule mara leo mwimba kitorondo angekaa chini afikiri
 
Yule naye baada ya kujiona miss na kujulikana akajifanya ana kipaji cha kila kitu mara kile mara nini dio kwamba hana bahati hajiheshimu mwenyewe ndo mana anatanga ana fanya vitu kama hajaenda shule mara leo mwimba kitorondo angekaa chini afikiri

Yaani kaishiwa tena kapotea.....mji aliuvamia kwa pupa,mwache asugue gaga!!
 
Ugonjwa tu haumzuii yeye kuoa labda kama kuna tatizo lingine coz hao hao anaowati.a ndo wakuwaoa....nasubir hiyo movie lake na mwasiti.

Kuhusu hawa marehemu ilisemekana hivyo ingawa Tuwaache wapumzike tu ila orodha inatisha mno.

Kwani Amina nae ni kale ka ugonjwa ketu
 
Akili Za watu wengine ovyo kweli Kama wamenyweshwa maji ya chooni.
Eti anampima mtu kujieleza kwa kipindi cha kipuuzi cha Mkasi. Kwa maswali gani hasa?!
Ova.

Kipindi cha kipuuzi kinahudhuriwa na wapuuzi na kutazamwa na wapuuzi pia, hivyo basi mpuuzi wa kwanza ni Zitto Kabwe kwa kushiriki kipindi cha kipuuzi na mpumbavu wa pili ni wewe msukule wake kwa kuangalia kipindi cha kipuuzi.
 
Kwani wewe unaishi wapi? au na wewe ulilishwa matangopori kwamba wauza sembe ndio wametengeneza kifo chake?

Mi nipo huku kijijini hata network ya kusuasua hapa nilipo nipo juu ya mti
 
Back
Top Bottom