Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani the way ana vyo act hutafikiri ajaenda shule mi ile interview na Salama ndo nilimwona mweupe kichwani vi haraka vya ajabu hafu atakuwa na tatizo huyu ndo mana anatoka na wanaume tofauti hafu wanamwacha hapo yuko na dimpozi kutafta kiki tu ndo hivo huwa hakubaliki
Ukifatili stori za ndani za Jokate utamuona Wema bado ni bikra ... mtoto anajibebesha mizigo huyu hataree sema hana ubia tu na yule mzee wa bamaga.
Kidoti....mbona chuo alikuwa poa tu....kapatwa na nini jamani....?
Kidoti....mbona chuo alikuwa poa tu....kapatwa na nini jamani....?
Sijamuelewa kweli, nashangaa watu wanamdharau ndomo, wakat ni kati ya vijana hot and most wanted na wadada wakali tena classic wa mujini ili tu waonje penzi lake kwa kuwa jamaa ni staa, sasa sijui kwa nini wengine wanamdharau au ni kwa kuwa background yake sio nzuri na hajasoma?
hamna sio background wala nini tatizo hajiheshimu
jokate watu walikua wanampa hadhi sana
Ukifatili stori za ndani za Jokate utamuona Wema bado ni bikra ... mtoto anajibebesha mizigo huyu hataree sema hana ubia tu na yule mzee wa bamaga.
Si bora angetulia tu na january makamba ona anavyogangaika, halafu huyu jokate hapendagi wanaume wale maisha bora i think u get those kind of people jinsi walivyo , most of them wanakuwa ma goi goi, ye jokate anapenda mabeberu sijui wanamfanyaga nini kwenye mambo yetu
Wanaume wa hadhi yake hawataki kabisa hyu bidada,yani inaonyesha jinsi alivyokubuhu kwa mtarimbo
Dah hadi January makamba tayari kazidi aisee si bora Wema hafu sio kwamba hawapendi wenye status nzuri hajawapata ndo mana anatafta yoyote tu naye ana damu ambayo haikubaliki ka ya kunguni sijui
Mdogo wangu warumi,kuna watu wanafikiri elimu zimewasaidia kumbe wao ndio hazijawasaidia. Bado wanazile akili kwamba mtu mwenye degree au mfanyakazi wa ofisi za vioo ni bora sana....Kuna wanawake mwanaume ata awe na pesa vipi ila kama hafanyi kazi bank au kampuni flani kwake bado sio classic. Kuna familia binti yao akipata bwana anapiga dili zake za pesa ndefu ata million 10 per day ila kama uyo bwana ajaajiriwa hawamkubali wanaona hana uhakika wanataka mtu aliyeajiriwa coz wanasema wenyewe security cjui.
ukiondoa hasheem na mbichwa sioni katika list ya waliopiga kidoti anayegusa level za diamond kipesa na kila kitu..
hamna sio background wala nini tatizo hajiheshimu
jokate watu walikua wanampa hadhi sana
She is so cheap now days!
hamna sio background wala nini tatizo hajiheshimu
jokate watu walikua wanampa hadhi sana
hajanielewa tatizo si elimu
tatizo hana hajiheshimu km msanii mkubwa hata km anatengeneza 300 per day
hivi hapa bongo kuna wasanii wangapi au maarufuvhawana elimu and they are respectable?!!
AY,JIDE,CHIEF KIUMBE NK
Jiheshimu,uheshimiwe!!!
Siongelei elimu,wala pesa!